Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Lina mimba, liko maternity bed rest leaveTanzania haiishi vituko. Na lile ''gari'' la Kipanya limeishia wapi?
Ccm sijui wanatuonaje.Mdoli huyu hata vitoto vyenye certificate ya electronic ya pale VETA vinaweza kuujenga.
Mdoli eti mpaka uusogelee usubiri dk kadhaa apate hisia ya kunyoosha mkono .
Mdoli waneupaka rangi ya Tanzania, mdoli hautembei, haujui Kiswahili wala lugha yoyote.
Waliohusika kuununua washikwe wafunguliwe mashitaka ya uhujumu uchumi na udanganyifu kwa umma.
Watanzania wamemaliziwa bandle zao kutazama mdoli ambao hauna maajabu.
View attachment 2992976
Hivi Wakenya hawajaona jamani?Mdoli huyu hata vitoto vyenye certificate ya electronic ya pale VETA vinaweza kuujenga.
Mdoli eti mpaka uusogelee usubiri dk kadhaa apate hisia ya kunyoosha mkono .
Mdoli waneupaka rangi ya Tanzania, mdoli hautembei, haujui Kiswahili wala lugha yoyote.
Waliohusika kuununua washikwe wafunguliwe mashitaka ya uhujumu uchumi na udanganyifu kwa umma.
Watanzania wamemaliziwa bandle zao kutazama mdoli ambao hauna maajabu.
View attachment 2992976
Waziri mwenyewe naye kilazaa tuHalafu tutegemee waziri katika hiyo wizara afanye jambo lolote lamaana kwa wananchi?
Limeliwa na paka.Tanzania haiishi vituko. Na lile ''gari'' la Kipanya limeishia wapi?
Umetoa mashtaka yasiyo na facts, wamenunua wapi mdoli huyo? hao watoto wa veta kwa nn hawakutengenezaMdoli huyu hata vitoto vyenye certificate ya electronic ya pale VETA vinaweza kuujenga.
Mdoli eti mpaka uusogelee usubiri dk kadhaa apate hisia ya kunyoosha mkono .
Mdoli waneupaka rangi ya Tanzania, mdoli hautembei, haujui Kiswahili wala lugha yoyote.
Waliohusika kuununua washikwe wafunguliwe mashitaka ya uhujumu uchumi na udanganyifu kwa umma.
Watanzania wamemaliziwa bandle zao kutazama mdoli ambao hauna maajabu.
View attachment 2992976
Hayo maswali mimi nilitegemea Detective J aje na majibu sahihi.Umetoa mashtaka yasiyo na facts, wamenunua wapi mdoli huyo? hao watoto wa veta kwa nn hawakutengeneza
Lile hata fisi na uchu wao hawali. Kumbuka kuwa mpaka katibu mkuuu wa CCM alikwenda kulishangaa!Limeliwa na paka.
Not my job , wewe si ndio umekuja na allegations right? Nilitegemea ulete taarifa sahihi halaf na mm niweke ninazo zifahamu. It simpleHayo maswali mimi nilitegemea Detective J aje na majibu sahihi.
Tuliza makalio. Akili yako ni ndogo kuelewa kwa nini jana Eunice akitumia alili mnemba (Artificial Intelligence) alikuwa ndiye mkaribisha wageni bungeni na kutoa ile summary ya malengo ya wizara ya mawasiliano.Mdoli huyu hata vitoto vyenye certificate ya electronic ya pale VETA vinaweza kuujenga.
Mdoli eti mpaka uusogelee usubiri dk kadhaa apate hisia ya kunyoosha mkono .
Mdoli waneupaka rangi ya Tanzania, mdoli hautembei, haujui Kiswahili wala lugha yoyote.
Waliohusika kuununua washikwe wafunguliwe mashitaka ya uhujumu uchumi na udanganyifu kwa umma.
Watanzania wamemaliziwa bandle zao kutazama mdoli ambao hauna maajabu.
View attachment 2992976
Nakana.Si mimi.Not my job , wewe si ndio umekuja na allegations right? Nilitegemea ulete taarifa sahihi halaf na mm niweke ninazo zifahamu. It simple
Eunice ni Roboti au sio?Tuliza makalio. Akili yako ni ndogo kuelewa kwa nini jana Eunice akitumia alili mnemba (Artificial Intelligence) alikuwa ndiye mkaribisha wageni bungeni na kutoa ile summary ya malengo ya wizara ya mawasiliano.
Dunia yote inakwenda kiteknolojia kuanzia elimu, utafiti, vita, usafirishaji na hadi huduma kwa wateja.
Kama Tanzania ita zembea au itazubaa kwenye kwenda ana kasi ya dunia basi itaachwa vibaya kwenye mbio za kujenga uchumi mkubwa na ulio bora.
Kama unaona ile robot Eunice ni mdoli basi na wewe ni mdoli pia japo unatembea mwenyewe.
Maana yake ajifunze upya uhalisia na maana ya :-Eunice ni Roboti au sio?