peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Ukiwa bungeni kataa kulitisha bajeti ya hiyo wizaraMdoli huyu hata vitoto vyenye certificate ya electronic ya pale VETA vinaweza kuujenga.
Mdoli eti mpaka uusogelee usubiri dk kadhaa apate hisia ya kunyoosha mkono .
Mdoli waneupaka rangi ya Tanzania, mdoli hautembei, haujui Kiswahili wala lugha yoyote.
Waliohusika kuununua washikwe wafunguliwe mashitaka ya uhujumu uchumi na udanganyifu kwa umma.
Watanzania wamemaliziwa bandle zao kutazama mdoli ambao hauna maajabu.
View attachment 2992976
Na hatupaswi kuanzia kule walikoanzia wao miaka hiyo, itatuchukua miongo kadhaa kufika walipo wao leo hii, na tutawakuta wako mbali mara 1000 zaidi. Tunapaswa kuigiza wanachokifanya wachina, kuanzia pale walipo sasa na kuboresha zaidi kama tunaweza. Na ni kuhakikishie kuwa hatutokuja kuweza kwani hatujaamua kuwekeza kwenye sayansi na teknolojia. Tumeamua kuwekeza kwenye siasa na blabla, sayansi haitaki blabla hata kidogoAs i said hatuwez lingana na wenzetu wakati wao wapo 20 steps ahead.
Angalia uchumi wao na wetu? Wao wako wapi?
Hatuwez kuendana na speed yao for one simple facts tu, wakati wao ndio wako kwenye industrial revolution sisi ndio tunasaka uhuru. By then tunaupata wako mbali sana techhnological wise hata kiuchumi
Narudia tena we cant keep up with them.
Unachotaka ni tu rely overly kwenye technology ambazo tayari wanazo tuache ku develop home grown?
Kipanya alifanya jambo lake kwa pesa yake na wala si serikali. Na bado anaendela kufanya kwanza mimi namwona alifanya kitu kizuri kwa kunua engine, na vifaa vingine akaunda body yake na kutengeneza gari.Tanzania haiishi vituko. Na lile ''gari'' la Kipanya limeishia wapi?
Bongo bado Sana, twende tukajifunze Korea, Japan, china,Mdoli huyu hata vitoto vyenye certificate ya electronic ya pale VETA vinaweza kuujenga.
Mdoli eti mpaka uusogelee usubiri dk kadhaa apate hisia ya kunyoosha mkono .
Mdoli waneupaka rangi ya Tanzania, mdoli hautembei, haujui Kiswahili wala lugha yoyote.
Waliohusika kuununua washikwe wafunguliwe mashitaka ya uhujumu uchumi na udanganyifu kwa umma.
Watanzania wamemaliziwa bandle zao kutazama mdoli ambao hauna maajabu.
View attachment 2992976
Kwani wewe ulitaka ufanyeje ndio uusifie? Au ulitaka useme "Nataka Serikali ya Tanganyika" ndio uuone wa maana? Ahahahahaha!!!Mdoli huyu hata vitoto vyenye certificate ya electronic ya pale VETA vinaweza kuujenga.
Mdoli eti mpaka uusogelee usubiri dk kadhaa apate hisia ya kunyoosha mkono .
Mdoli waneupaka rangi ya Tanzania, mdoli hautembei, haujui Kiswahili wala lugha yoyote.
Waliohusika kuununua washikwe wafunguliwe mashitaka ya uhujumu uchumi na udanganyifu kwa umma.
Watanzania wamemaliziwa bandle zao kutazama mdoli ambao hauna maajabu.
View attachment 2992976
😂😂😂😂😂Kwani wewe ulitaka ufanyeje ndio uusifie? Au ulitaka useme "Nataka Serikali ya Tanganyika" ndio uuone wa maana? Ahahahahaha!!!
Hata akina The Wilbur Brothers walipoanza kutengeneza ndege walikejeliwa hivyo hivyo, lakini Leo ni malegendari.😂😂😂😂😂
Bongo nyoso.
Yaani kila leo wanatoa mwendelezo wa vituko show
Acha kutetea ujinga.Dunia iko mbali sana hakuna sababu yakuanzia nyuma wakati tuna uwezo wakuanzia walipo wenzetu tukaenda nao mbele. Tuwe serious badala yakutumia akili za kitoto kwenye mambo ya msingi. Huo utoto wangefanya vijana wa veta hakuna ambaye angeshanga ila limefanywa na wizara yenye dhima yakusimamia nakukuza teknolojia. Walikua na muda wakuja na kitu kizuri kwasababu hakukua na uharaka wowote wakutuletea hilo doli.Kumbe huna uzoefu basi huna rights, una videos wakati AI au robots zikiwa kwneye early stages before kufika hapo?
Unadhani waliamka tu na product kichwani? Imetake time kwa wenzetu
My point punguza kuponda kitu ambacho hukifahamu.
Kwetu sisi tuko nyuma, hatuwez shindana na walioko nje ambao wako advance kwa sasa, wewe unachotaka wapeleke kitu kama robot sophia bungeni, kaka nchi hatujafika hapo yet
Japo wamejaribu haimaanishi ni taka taka, unless wewe unaweza tengeneza better one
Gari la kipanya nimeona sehemu wameanza zitumia.Tanzania haiishi vituko. Na lile ''gari'' la Kipanya limeishia wapi?
Acha porojo zakizamani, dunia ilishatoka uko.Wekezeni kwenye tafiti na elimu kwasababu kila kitu kipo. Hao unaowasemea wao walianzia kwenye wazo sisi hatujaanzia kwenye wazo bali kucopy mawazo ya wenzetu. Sasa kwanini tusivuke zaidi.Kucopy wazo la mtu alafu ukalifanya kijinga ni ujinga zaidi.Hata akina The Wilbur Brothers walipoanza kutengeneza ndege walikejeliwa hivyo hivyo, lakini Leo ni malegendari.
Sio wenzetu tu ndio wako mbali bali dunia iko kasi sana.Nimekuuliza hapo tena “ una wa kwako bora ambae unaweza mtengeneza”?
usi upload video za wenzetu amabo wako mbali kwa sasa.
Kwa sababu wewe unajua, Kwanini usitoe mfano kwa vitendo kwa hawa wabunifu wetu?Acha porojo zakizamani.dunia ilishatoka uko.Wekezeni kwenye tafiti na elimu kwasababu kila kitu kipo.Hao unaowasemea wao walianzia kwenye wazo sisi hatujaanzia kwenye wazo bali kucopy mawazo ya wenzetu.sasa kwanini tusivuke zaidi.Kucopy wazo la mtu alafu ukalifanya kijinga ni ujinga zaidi.
Mkuu, Mambo ya kurudi miaka 100 nyuma kwa kuhangaika kutengeneza vitu visivyo na maana sababu wengine walipita ni ujinga. Tuchukue watafiti wakatafiti kisha tuendelea na wengine walipo. Mtu unakuta anahangaika na ndege ya mabati inafanana kama mashine ya kutindulia kokoto anakuambia wenzetu walianza hivi, dunia itakuwa inakusubiri tu ukue usambaze machuma chuma yako?Kumbe huna uzoefu basi huna rights, una videos wakati AI au robots zikiwa kwneye early stages before kufika hapo?
Unadhani waliamka tu na product kichwani? Imetake time kwa wenzetu
My point punguza kuponda kitu ambacho hukifahamu.
Kwetu sisi tuko nyuma, hatuwez shindana na walioko nje ambao wako advance kwa sasa, wewe unachotaka wapeleke kitu kama robot sophia bungeni, kaka nchi hatujafika hapo yet
Japo wamejaribu haimaanishi ni taka taka, unless wewe unaweza tengeneza better one
watafiti wako hapa hapa je sera zinawabeba, ni kweli kuna hizi so called “vumbuzi” but in reality hazileti tija, how about wangewachukua hao watu na kuwapeleka mbele, wapewe elimu zaidiMkuu, Mambo ya kurudi miaka 100 nyuma kwa kuhangaika kutengeneza vitu visivyo na maana sababu wengine walipita ni ujinga. Tuchukue watafiti wakatafiti kisha tuendelea na wengine walipo. Mtu unakuta anahangaika na ndege ya mabati inafanana kama mashine ya kutindulia kokoto anakuambia wenzetu walianza hivi, dunia itakuwa inakusubiri tu ukue usambaze machuma chuma yako?
Wewe akili zako zimefanana na huo mdoli hapo mlangoniTuliza makalio. Akili yako ni ndogo kuelewa kwa nini jana Eunice akitumia alili mnemba (Artificial Intelligence) alikuwa ndiye mkaribisha wageni bungeni na kutoa ile summary ya malengo ya wizara ya mawasiliano.
Dunia yote inakwenda kiteknolojia kuanzia elimu, utafiti, vita, usafirishaji na hadi huduma kwa wateja.
Kama Tanzania ita zembea au itazubaa kwenye kwenda ana kasi ya dunia basi itaachwa vibaya kwenye mbio za kujenga uchumi mkubwa na ulio bora.
Kama unaona ile robot Eunice ni mdoli basi na wewe ni mdoli pia japo unatembea mwenyewe.
Acha kutetea ujinga. Maroboti Dunia ya Leo ni mengi na yanafanya hadi kazi ndani na mashambani. Kwani ni lazima sisi tumtengeneze wa kwetu? Kwanini usiende Kwa wenye ujuzi ukampa specifications zako wakakutengenezea? Yule wa NAPE ni mdoli, siyo Roboti.Tuliza makalio. Akili yako ni ndogo kuelewa kwa nini jana Eunice akitumia alili mnemba (Artificial Intelligence) alikuwa ndiye mkaribisha wageni bungeni na kutoa ile summary ya malengo ya wizara ya mawasiliano.
Dunia yote inakwenda kiteknolojia kuanzia elimu, utafiti, vita, usafirishaji na hadi huduma kwa wateja.
Kama Tanzania ita zembea au itazubaa kwenye kwenda ana kasi ya dunia basi itaachwa vibaya kwenye mbio za kujenga uchumi mkubwa na ulio bora.
Kama unaona ile robot Eunice ni mdoli basi na wewe ni mdoli pia japo unatembea mwenyewe.
Mdoli wa kwenye maduka ya nguo.Eunice ni Roboti au sio?
Upo sawa kwenye elimu. Na ndo nlichosema kuwa kuwe na bajeti ya kutafiti jambo husika na fedha za utendaji kwa kiwango cha sasa au zaidi cha soko sio kurudi miaka walipoanzia waliofanikiwa.watafiti wako hapa hapa je sera zinawabeba, ni kweli kuna hizi so called “vumbuzi” but in reality hazileti tija, how about wangewachukua hao watu na kuwapeleka mbele, wapewe elimu zaidi