Aliyenunua mdoli na kuuweka bungeni ashikwe afunguliwe mashtaka ya uhujumu uchumi

Una uhakika Kila kitu ulimwenguni kimeishagunduliwa? Na kama ni hivyo kwanini Wanasayansi wengi wanasema "The unfolded science is more than 87% of what's known today? Ebu nidadafulie ndugu!
Hebu soma tena kama nimesema kila kitu ulimwenguni kimeshagundulika! Wabongo tuna matatizo ya kutokusoma kwa ufahamu.
 
Watz wanapenda kujadil vitu vyepes vyepes kulingana na akili zao ngoja mweny akili kubwa kuliko nape nitulie
 
Vipi unaonaje Ile tume huru feki ikatumia hiyo Midori kusimaia uchaguzi ili uwe huru na haki

Au mambo ya uchaguzi hayahiitaji technologia ili muendelee kula
 
Ningewasifu kama wangekuwa watanzania. Mnapoteza pesa kwenda SA kuleta midoli? Kule SA hiyo takataka haiingii bungeni, mhuni mmoja serikalini kawatafuta wahuni wenzie wa mitaani SA.

KWANZA ILILETWA KWA AJILI GANI?
 
Tuliza kwanza tukuonyeshe kazi
Hongera kwa kuonyeshwa kazi baada ya kutuliza hayo makalio, endelea hivyo hivyo mkuu maana makalio ni Yako na hakuna wa kukupangia matumizi yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…