Aliolewa akiwa na 17, akaishi kwenye ndoa 8 years, tokea stoke kwenye ndoa mpaka sasa ni 7 years (ndani ya hii miaka 7, pia ipo ile miaka 3 aliyoishi na jamaa)Mathematics!
Aliolewa akiwa na 17yrs, akaishi kwenye ndoa 8yrs, akaikimbia ndoa 7yrs, na wewe ukawa naye kwenye mahusiano 3yrs na anawatoto wawili.
Kwa haraka haraka saivi ana miaka 40, mbona unataka kuuziwa mbuzi kwenye gunia huyo si bibi kabisaaa! Yaani umekosa vijana wenzio mpaka ukaangukie penzi la kibibi? Shtuka mkuu.
N.B mtoto wake wa kwanza atakuwa na miaka 17/18. Kwamujibu wa maelezo yako.
Upo sahihi mtoto wake wakwanza yupo form fourMathematics!
Aliolewa akiwa na 17yrs, akaishi kwenye ndoa 8yrs, akaikimbia ndoa 7yrs, na wewe ukawa naye kwenye mahusiano 3yrs na anawatoto wawili.
Kwa haraka haraka saivi ana miaka 40, mbona unataka kuuziwa mbuzi kwenye gunia huyo si bibi kabisaaa! Yaani umekosa vijana wenzio mpaka ukaangukie penzi la kibibi? Shtuka mkuu.
N.B mtoto wake wa kwanza atakuwa na miaka 17/18. Kwamujibu wa maelezo yako.
Yeah, ndio early 30's yenyewe hiyo
Kwan yeye mleta mada umeujua umri wake?Analyse vp umeniamini alafu unamshauri amuoe mama yake keshokutwa aje aitwe babu?
Mtoa mada ni mdogo kuliko huyo mwanamke anayetaka kumuoa still yuko kwenye mid 20's ndio maana nashangaa sana!Kwan yeye mleta mada umeujua umri wake?
Alaf swala la umri wa huyo mwanamke na watoto wake, vyote alivijua, na bado akaweza kuishi nae miaka mitatu, hadi wazo la kumuoa likamjia, hajakurupuka.
Na ndio maana ushauri anahitaji umelenga eneo jingine kabisa
Wapi ametaja umri wake?Mtoa mada ni mdogo kuliko huyo mwanamke anayetaka kumuoa still yuko kwenye mid 20's ndio maana nashangaa sana!
We muulize atakwambia ila mi nimekupa hint tu.Wapi ametaja umri wake?