Sahihi kbsKwan yeye mleta mada umeujua umri wake?
Alaf swala la umri wa huyo mwanamke na watoto wake, vyote alivijua, na bado akaweza kuishi nae miaka mitatu, hadi wazo la kumuoa likamjia, hajakurupuka.
Na ndio maana ushauri anahitaji umelenga eneo jingine kabisa
Jamaa anasema eti una miaka 24, ni kweli?Sahihi kbs
Ni kweli mkuu?Hahahahaha
Kama ni ramadhani ndio inakuwaisha fikiria tena mkuuJua linazama
34 vs 36
Kwanini asi process taratibu za talaka ?!. Haraka ya nini !Naishi naye huu mwaka wa 3 bila ya ndoa.
Hadithi yake ya nyuma ipo hivi
" Alioelewa akiwa na miaka 17 baada ya kupewa ujauzito na uyo jamaa na wakaishi wote miaka 8 kwenye ndoa na kuzaa watoto wawili.
Sababu ya kuachana uyo jamaa alianza kula madawa ya kulevya ndugu wakampeleka sober akarudi kwa madai ameacha baada ya muda akarudia tena . Uyu mama akarud kwao jamaa akazama kwenye uteja tena .uyu mwanamke akarudi kwao kabisa. Sasa imepita miaka 7 tokea waachane
Mimi
" Anataka nimuoe kwaajili ya hii ramadhan .na nimeishi nae mwaka wa 3 sasa kama mke na mume
Karibuni
Kiwanja chenye mgogoro kinachotembeaNaishi naye huu mwaka wa 3 bila ya ndoa.
Hadithi yake ya nyuma ipo hivi
" Alioelewa akiwa na miaka 17 baada ya kupewa ujauzito na uyo jamaa na wakaishi wote miaka 8 kwenye ndoa na kuzaa watoto wawili.
Sababu ya kuachana uyo jamaa alianza kula madawa ya kulevya ndugu wakampeleka sober akarudi kwa madai ameacha baada ya muda akarudia tena . Uyu mama akarud kwao jamaa akazama kwenye uteja tena .uyu mwanamke akarudi kwao kabisa. Sasa imepita miaka 7 tokea waachane
Mimi
" Anataka nimuoe kwaajili ya hii ramadhan .na nimeishi nae mwaka wa 3 sasa kama mke na mume
Karibuni
Waislamu hawanaga ndoa ndoa zipo Kwa kristo hao wanazinigi tu
Uko sahihi mkuu. Akimuoa wakati ndoa ya awali haijafa basi ndoa yao mpya haitakuwa halali Kisheria.Unataka uoe mke wa mtu hapo. Fatilia taratibu za kisheria, ili talaka itoke mkuu. Nadhan kwa situation hiyo, ndugu wa mume wake wa kitambo, hawatakuwa na ubishi kutoa talaka.