Aliyeolewa akaachika miaka 7 sasa imepita ila hakupewa talaka, Anataka nimuoe. Je, naweza kumuoa?

Jiandae kwa kesi ya ugoni na kudaiwa fidia ya mamilioni, akavunje ndoa kwanza kisheria ndiyo muendelee na uhawara au ndoa
 
Kwa hiyo unataka umuoe mke wako?Wonderful!
 
Sio yule wa dr year unatafuta ugomvi mkuu ww.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…