BrownRange
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 927
- 1,191
Kama kawa, Kama dawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka saa mbili utajua panafanyika mlinganisho wa baina ya sehemu na utofauti wa masaa maana kama unakumbuka tulifunga wote ila sehemu nyingi za Arabuni tayar wamashathibitisha ...Bongo vp. Ila Quran inasema, mwezi ukionekana mfungue, Sasa haijaeleza ukionekana wapi, wanazuoni mtupe elimu
Chuma kiwepo kesho ndio vizuri, tuunge na jamasMpaka saa mbili utajua panafanyika mlinganisho wa baina ya sehemu na utofauti wa masaa maana kama unakumbuka tulifunga wote ila sehemu nyingi za Arabuni tayar wamashathibitisha ...
Mkuu seriousNimeona hapa Lumumba
Hapo ndiyo nachoka kabisaaaa!Kama kawa, Kama dawa
HaaaaahHapo ndiyo nachoka kabisaaaa!
Ule "Mwezi" wa kufunga, watu hawahangaiki kuutafuta! Ila huu wa kufungua, unatafutwa hata kwa darubini!
Hujui usemalo, katika Uislam mwezi una siku 29 au 30 tu. Hakuna mwezi wenye siku 28 au 31, ndio Quran inasema hivyo, ukifatilia kisayansi utaona ni kweli, Sasa ukitaka watu wasifuate mwandamo wa mwezi ili wakosee. Hii sikukuu sio ya kujipangia, lazima ufuate mwandamo wa mweziSikukuu zisizokua na mbele wala nyuma hizi..
Hata ukionekana ,haitasaidia kitu,ni mpaka Ile jumuia ya CCM ya Bakwata iseme sherehekeeni ndiyo watu wale ubwabwaKama kawa, Kama dawa
AahaahhaaaHapo ndiyo nachoka kabisaaaa!
Ule "Mwezi" wa kufunga, watu hawahangaiki kuutafuta! Ila huu wa kufungua, unatafutwa hata kwa darubini!
😂😂😂Hata ukionekana ,haitasaidia kitu,ni mpaka Ile jumuia ya CCM ya Bakwata iseme sherehekeeni ndiyo watu wale ubwabwa