Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,171
- 34,394
kuufinya tutaufinya tu inshallah sasa kama sjaandaa violoso asbh tunaamkaje??Pole kila raheri yatawezekana na tutaufinya tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuufinya tutaufinya tu inshallah sasa kama sjaandaa violoso asbh tunaamkaje??Pole kila raheri yatawezekana na tutaufinya tu
asanteHongera sana kwakujipanga kufidia
Allah akufanyie wepesi, mambo yatakaa sawa tu.sjapanga kuandaa leo, yan had mudahuu hakuna kitu nimeandaa halaf hata presha sina nawaza hapa ukiandama itakuaje sjui
Jitahidi kama pesa ipo mbona inawezekana tuu best.kuufinya tutaufinya tu inshallah sasa kama sjaandaa violoso asbh tunaamkaje??
Khakhakhaaaa!Hapo ndiyo nachoka kabisaaaa!
Ule "Mwezi" wa kufunga, watu hawahangaiki kuutafuta! Ila huu wa kufungua, unatafutwa hata kwa darubini!
unafikiri shida ni pesa?? hapana ni mimi sina hio mood ya kuandaa kabisa sasa ili nisiande huo mwezi nauombea usionekae leoJitahidi kama pesa ipo mbona inawezekana tuu best.
mpaka muda huu sina hizo taarifa za kuandama kwa mwezi mana sim zingefululiza leo sijisikii kuandaa mimi ile munkar ya kuandaa viti vya eid ndio sina ndio mana nimekaa comfortableAllah akufanyie wepesi, mambo yatakaa sawa tu.
Ume relax kwa sababu huna taarifa rasmi ila ukiipata utakuwa huna namna.
Ni kweli siku kama ya leo huwa inamuweka mtu njia panda, hajui kipi ni kipi, na kwetu huku huwa wanachelewa kutoa taarifa.
Wenzetu huko taarifa inatolewa mapema tu maghrib ili watu wajue moja.
iwe kadhi au yeyote sisi tunajua ni kiongozi wa kiislam ndiye mwenye mamlaka ya kusema mwezi umeandama kesho iddi inatoshaSheria ya dini yetu haimpi mamlaka Mufti kutangaza mwezi kazi ya kutangaza mwezi ni kazi ya kadhi
Kazi ya Mufti ni kutoa fatawa
Tuseme dini
Kukumsela
Alikuwa anawafurahishaje!!?Kiukweli mzee Mwinyi alitufurahisha sana kwa Sikukuu zilizoangukia weekend
Mungu wa mbinguni azidi kumbariki
Ramadan kareem!
Kwa mfano Idd hii Jumatatu na Jumanne ingekuwa MapumzikoAlikuwa anawafurahishaje!!?
Atakua kama kikwete full kuwapa watumishi wa umma holiday!mfano idd jumamosi kesho ijumaa holiday inaanza !!Alikuwa anawafurahishaje!!?
pole sana,unatesekajeSikukuu za hivi zinatesa
Saudi Arabia 🇸🇦