Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,171
- 34,394
hamna labda mtu awe hajaamua siku hizi mapishi unasomea ukiacha kufundishwa nyumbani, mapishi n mengi ukute mwengine anajua kuchemsha mwengine vya kukaangaHuo ni uzembe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hamna labda mtu awe hajaamua siku hizi mapishi unasomea ukiacha kufundishwa nyumbani, mapishi n mengi ukute mwengine anajua kuchemsha mwengine vya kukaangaHuo ni uzembe
Me mwenzenu hapa sijafunga lakin siku ya kufungua waislamu nitakua na ninyi kwenye pilau(in magufuli voice)tufanye mambo yawe mafupi inasemaje 🙈
👏 Binti wa kitangahamna labda mtu awe hajaamua siku hizi mapishi unasomea ukiacha kufundishwa nyumbani, mapishi n mengi ukute mwengine anajua kuchemsha mwengine vya kukaanga
😂😂😂 kama hujafunga ukale ulikokua unakula mwez wa ramadhanMe mwenzenu hapa sijafunga lakin siku ya kufungua waislamu nitakua na ninyi kwenye pilau(in magufuli voice)
mimi??👏 Binti wa kitanga
Ndio ama sio mzawamimi??
Kwanza Mimi nakataa.
🤭🤭🤭 nimechanganyiaNdio ama sio mzawa
I wish ningemuona Madame🤭🤭🤭 nimechanganyia
😂😂😂😂😂😂 Mungu asaidie ndoto zako zisitimieI wish ningemuona Madame
Uchoyo huo 🤣😂😂😂😂 kama hujafunga ukale ulikokua unakula mwez wa ramadhan
idi ni kwa ajili ya waliofunga na wewe hukufunga, tupunguzie hesabu ukale hukohukoUchoyo huo 🤣😂
🚶😂😂😂😂😂😂 Mungu asaidie ndoto zako zisitimie
ukarea nsurayooo??
Idi ni yawote tusitendeane hivyo ni chakula tu hicho hata mimi napenda kula biriani 😅idi ni kwa ajili ya waliofunga na wewe hukufunga, tupunguzie hesabu ukale hukohuko
🤷ukarea nsurayooo??
umekasirika au ni sura yako?? huku mtu akinuna hua anaambiwa hivyo usiniulize kabila tu
😂😂😂 sasa ndio ulie?? haya uje kulaIdi ni yawote tusitendeane hivyo ni chakula tu hicho hata mimi napenda kula biriani 😅