Aliyeona mwezi wa Eid atushtue tujiandae

Aliyeona mwezi wa Eid atushtue tujiandae

iwe kadhi au yeyote sisi tunajua ni kiongozi wa kiislam ndiye mwenye mamlaka ya kusema mwezi umeandama kesho iddi inatosha
Nipatie dalili( uthibitisho)toka kwenye Qur'an ama Sunnah Yaani hadithi za Mtume
 
Kila kitu si unajua vyakula vya kula kwa kushtukiza, wengine tushazoea chukuchuku
duh, sasa lile basmati la kucheshwa kama ubwabwa wa mafuta kasoro rangi na viungo na rojo ambalo muda mwengine hukawii kushinda chooni vya nini, bas uupate mchuzi wa chukuchuku na wali wa nazi utakula had uingie kwenye sufuria
 
duh, sasa lile basmati la kucheshwa kama ubwabwa wa mafuta kasoro rangi na viungo na rojo ambalo muda mwengine hukawii kushinda chooni vya nini, bas uupate mchuzi wa chukuchuku na wali wa nazi utakula had uingie kwenye sufuria
Sio kwamba nalila lote 😂
Umenichekesha eti nitakula ad niingie kwenye sufuria 😂😂😂😂
 
Sio kwamba nalila lote 😂
Umenichekesha eti nitakula ad niingie kwenye sufuria 😂😂😂😂
yaani kwa utam wake utataman uingie kabisa kwenye sufuria,kuna siku nilimkuta mtu anapika mchuzi wa nazi ameweka mafuta jikon akaanza kukaanga vitunguu namuuliza hiko unapika n mchuzi gan ananambia wa naz,wakat mchuzi wa nazi haupikwi hivo napenda kula vitu ambavyo kama ni nazi nazi iwe hiohio sio ya kuongezea mafuta, kama mafuta bas kwa kiasi kidogo sana
 
yaani kwa utam wake utataman uingie kabisa kwenye sufuria,kuna siku nilimkuta mtu anapika mchuzi wa nazi ameweka mafuta jikon akaanza kukaanga vitunguu namuuliza hiko unapika n mchuzi gan ananambia wa naz,wakat mchuzi wa nazi haupikwi hivo napenda kula vitu ambavyo kama ni nazi nazi iwe hiohio sio ya kuongezea mafuta, kama mafuta bas kwa kiasi kidogo sana
Mambo ya tanga hayo 😋
SI mtanifanya nizamie huko navopenda mapishi matamu ?
 
Nipatie dalili( uthibitisho)toka kwenye Qur'an ama Sunnah Yaani hadithi za Mtume
wanatangaza viongozi hata kama dunia nzima mwezi umeandama haitoshi kusema kesho iddi, mpaka viongozi wa dini waseme iddi ni lini. Mwezi tayari umeandama, kesho utakuwa ni mkubwa na uko juu kila mtu anauona
 
Back
Top Bottom