myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Sio kuvizia, kuona mwezi. KUONA.Hivi ni kwanini inakuwa ni ya kuvizia vizia kusiwe na tarehe maalum
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kuvizia, kuona mwezi. KUONA.Hivi ni kwanini inakuwa ni ya kuvizia vizia kusiwe na tarehe maalum
Exactly 💯Depends on Sighting of the Moon.
Nikajua kesho uhakika kulifinyapole sana,unatesekaje
Madame s wewe upo Tanga?!kuufinya tutaufinya tu inshallah sasa kama sjaandaa violoso asbh tunaamkaje??
Itawasaidia nini, mpo kwenye li nchi maskini lakini bado mnatamani mpate muda mwingi wa kulewa, kula hovyo hovyo na kufanya ngono.Chuma kiwepo kesho ndio vizuri, tuunge na jamas
Sisi tunafuata mwezi wa Korea KaskaziniSaudia Arabia confirmed eid kesho
Sikukuu zote ni za mchongo mkuu!!Hizi sikukuu za kusikiliza waarabu zinanshida sana. Alafu sikukuu zenyewe hazieleweki
ndio nipo tanga yani hapa nilipo nina furaha mpaka bas Mungu akipenda kesho nitaandaa sasa rasmi viloso na vidubwa dubwa pamoja na masotojo 🤭🤭Madame s wewe upo Tanga?!
Neno VIOLOSO ni lugha ya watu wa Tanga huku kwetu bara sijawahi sikia mkoa wowote wakitumia neno hilo VIOLOSO
😂😂😂 polee, idi j mos karibia uje ufinye hukuNikajua kesho uhakika kulifinya
Nipe location😂😂😂 polee, idi j mos karibia uje ufinye huku
niko tangaNipe location
Na huko kwa mapishi ndio kwenyeweniko tanga
hahaha unaweza ukawa unakaa tanga na bado jikoni ukatoa maedeNa huko kwa mapishi ndio kwenyewe
tufanye mambo yawe mafupi inasemaje 🙈
Huo ni uzembehahaha unaweza ukawa unakaa tanga na bado jikoni ukatoa maede