Aliyeona mwezi wa Eid atushtue tujiandae

Aliyeona mwezi wa Eid atushtue tujiandae

Kutoka 20

4 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia. 5 Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao, 6 nami nawarehemu maelfu wanipendao, na kuzishika amri zangu
 
kuufinya tutaufinya tu inshallah sasa kama sjaandaa violoso asbh tunaamkaje??
Madame s wewe upo Tanga?!
Neno VIOLOSO ni lugha ya watu wa Tanga huku kwetu bara sijawahi sikia mkoa wowote wakitumia neno hilo VIOLOSO
 
IMG_8062.png
 
Madame s wewe upo Tanga?!
Neno VIOLOSO ni lugha ya watu wa Tanga huku kwetu bara sijawahi sikia mkoa wowote wakitumia neno hilo VIOLOSO
ndio nipo tanga yani hapa nilipo nina furaha mpaka bas Mungu akipenda kesho nitaandaa sasa rasmi viloso na vidubwa dubwa pamoja na masotojo 🤭🤭
 
Back
Top Bottom