Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,171
- 34,394
🏃🏃🏃🏃Niambie basi kulee private
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🏃🏃🏃🏃Niambie basi kulee private
Jumamosi ndugu zangu, tuvute subra.
Tanga upo sehemu gani ? Mimi nimewahi kuishi Tanga mjini Barbara ya 19 mwaka mmoja na chuda Kata ya majengo pale nyuma ya soko la Tangamano miaka 8.ndio nipo tanga yani hapa nilipo nina furaha mpaka bas Mungu akipenda kesho nitaandaa sasa rasmi viloso na vidubwa dubwa pamoja na masotojo 🤭🤭
mkuu 🙈🙈🙈🙈Tanga upo sehemu gani ? Mimi nimewahi kuishi Tanga mjini Barbara ya 19 mwaka mmoja na chuda Kata ya majengo pale nyuma ya soko la Tangamano miaka 8.
Nimeondoka Tanga mwaka 2014 na huko nimeacha watoto 2.
Mama yao alikataa kuja kuishi bara.
Allah alisikia alisikia ombi lako, vipi umejiandaa sasa leo?unafikiri shida ni pesa?? hapana ni mimi sina hio mood ya kuandaa kabisa sasa ili nisiande huo mwezi nauombea usionekae leo
Alikuwa MH Mwinyi mzee wa Lupaso akaiondoaAtakua kama kikwete full kuwapa watumishi wa umma holiday!mfano idd jumamosi kesho ijumaa holiday inaanza !!
Zamani vijijini tulikuwa tunapata shida sana, kabla ya umeme, mnafika shule ndiyo anaambiwa leo sikukuu [emoji1][emoji1] roho inauma umekatisha usingizi bure jamaniSikukuu za hivi zinatesa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sisi tunafuata mwezi wa Korea Kaskazini
Duu [emoji43][emoji43][emoji43]Siku mwezi ukigoma kutoka sijui mtatumia jua la saa 2 asubuhi
Yamekuwa hayo tena jamani.[emoji23][emoji23][emoji23] kama hujafunga ukale ulikokua unakula mwez wa ramadhan
Dakaa kikombe kimoja cha chai maji jagi 2 za maji, ukitoweza tonge dagaa wa kuvua mchuzi mpaka kwenye kiwiko cha mkono [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yan kinachokuleta ni kula?? ni hapo unakuja unakutana na mchuzi wa dagaa wanataka kufufuka tena chuzi tele dagaa kiduchu sjui utafanyaje
leo alhamdulillah mambo yanaendaAllah alisikia alisikia ombi lako, vipi umejiandaa sasa leo?
Hongera sana kwa maandalizi mwezi mzima mmm parefu sana.leo alhamdulillah mambo yanaenda
Nakumbuka 1990'sZamani vijijini tulikuwa tunapata shida sana, kabla ya umeme, mnafika shule ndiyo anaambiwa leo sikukuu [emoji1][emoji1] roho inauma umekatisha usingizi bure jamani