Aliyeona mwezi wa Eid atushtue tujiandae

Aliyeona mwezi wa Eid atushtue tujiandae

itategemea na mke utakayekua naye, uombe awe na hofu ya Mungu na mwenye akili hasa ya maisha utaliepuka, kama unaoa tu mke kwanza unaweza kugombanishwa na nduguzo hatushindwi
Namuomba Mungu kwa hilo nimpate mwenye akili ya maisha asiwe na tamaa iliyokubuhu mpaka ifikie kunifanyia mambo ya kitaalam.
 
Namuomba Mungu kwa hilo nimpate mwenye akili ya maisha asiwe na tamaa iliyokubuhu mpaka ifikie kunifanyia mambo ya kitaalam.
haswaa mwanamke akiweza kuishinda tamaa yake hakika utakua unepata mke na ajue kuridhika na kila kitu, ukimpata uoe ndoa ni nzuri
 
Mchina kasharusha mwezi wake feki .China watu wanaliendeleza libeneke.Macho madogo nishai sana.
 
Kweli kabisa Madame ila ninaokutana nao sasa 🙌
Mungu hukupa wa kufanana na wewe, huwezi kua mcha Mungu ukapewa kahaba hapana lazima upate mwenzio muendane ukiona hivo ujue bado wako yuko njiani au una vigezo vikali kiasi unajikuta hawafit in?? vigezo vyako n vipi
 
kikawaida huku kwetu hua tuna desturu ya kuandaa ile siku ya mwandamo wa mwezi sasa mimi sina moja nipo nipo ndio naomba Mungu usiandame leo sina mood ya kuandaa
Muanze matusi mkishamaliza tupo ngangari na vyema kabisa
 
Mungu hukupa wa kufanana na wewe, huwezi kua mcha Mungu ukapewa kahaba hapana lazima upate mwenzio muendane ukiona hivo ujue bado wako yuko njiani au una vigezo vikali kiasi unajikuta hawafit in?? vigezo vyako n vipi
Naamini Mwenyezi Mungu atanipa nnaestahili wala hata sina vigezo vingi.
 
Back
Top Bottom