martial jb
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 863
- 1,462
Update yeyote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siijui mie hata.HELSB ndo taasisi gani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mambo ni mswanoooooo.Nimekuta uzi huko juu nikakumbuka kumchekia dogo maana tulikuwa tushapotezea…
Mungu ni mwema amepata
Pole rafik angu ..usigive up ...kata rufaa ..mi nilisoma chuo na washikaji walikata rufaa na wakapewa .... kubali hata kufake barua ya ufadhili wa masomo wakati upo sekondary uiatach na rufaa yakoNadhani ndiyo ntolee hiyo..
Wamempa boom tu ada hawajampa?Alhamuduilah ...mdogo wangu kapata ...ila nisifiche umaskini ni mbaya sana ...tungekuwa na uwezo asingeomba mkopo ,,,ni hela za kunyanyasana sana ....japo wamempa asilimia sifuri kabisa ...nawashauri ambao hawajapata bado wasikate tamaa ,,hata rufaa kata ,,,nawaombeeni Mungu awanyoshee mkono
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh....Naona dogo kaandikiwa hapa dirisha la rufaa liko tayari naona washafunga kinachofuata ni kuappeal tu hakuna namna
Bumu tu. ..hamna ada ...ni sifuri... maybe buku and stationary pamoja sfr ndo wamempaWamempa boom tu ada hawajampa?
Poleni sana ndo serikali yetu hiyo.Bumu tu. ..hamna ada ...ni sifuri... maybe buku and stationary pamoja sfr ndo wamempa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamempa lini?Alhamuduilah ...mdogo wangu kapata ...ila nisifiche umaskini ni mbaya sana ...tungekuwa na uwezo asingeomba mkopo ,,,ni hela za kunyanyasana sana ....japo wamempa asilimia sifuri kabisa ...nawashauri ambao hawajapata bado wasikate tamaa ,,hata rufaa kata ,,,nawaombeeni Mungu awanyoshee mkono
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo ..nimecheki jioni maana asubuhi ilikuwa rangi ya njanoWamempa lini?
Hongera sama mkuu
Kweli kabisa man ..mim nini jamaa angu alisoma advance private...tulisoma wote mipango hakupata mkopo ilibidi akaforce barua ya ufadhili wa masomo kwamba amesomeshwa Kwa ufadhili wa shule ..aliituma na akapewa mkopo wakati wa rufaakyagata Ebu jaribu tembelea SIPA yako Kama Ni Appeal Angalia shule alizosoma Kama Ni Private mtafutie Barua za udhamini hata kwa ku-force Maisha ya chuo bila mkopo Ni Magumu Sana trust me.
daaah maisha bila mkopo chuo nimagumu sana hasavkwa sisi watoto wa masikinikyagata Ebu jaribu tembelea SIPA yako Kama Ni Appeal Angalia shule alizosoma Kama Ni Private mtafutie Barua za udhamini hata kwa ku-force Maisha ya chuo bila mkopo Ni Magumu Sana trust me.