Aliyepata update yoyote akaunti ya HESLB

Aliyepata update yoyote akaunti ya HESLB

kyagata Ebu jaribu tembelea SIPA yako Kama Ni Appeal Angalia shule alizosoma Kama Ni Private mtafutie Barua za udhamini hata kwa ku-force Maisha ya chuo bila mkopo Ni Magumu Sana trust me.
Mkuu hebu naomba fafanua kidogo kwenye hii issue ya barua ya udhamini, Kuna dogo nilimwombea mkopa, O'level na A'level kasomea private, Allocation status ina display tangazo la ku appeal tu
Screenshot_20221113-180100_1.jpg
 
kyagata Ebu jaribu tembelea SIPA yako Kama Ni Appeal Angalia shule alizosoma Kama Ni Private mtafutie Barua za udhamini hata kwa ku-force Maisha ya chuo bila mkopo Ni Magumu Sana trust me.
Sawa mkuu..ni kweli dogo mwanzo mwisho kapiga St Mary's mazinde juu.sasa hiyo barua inakua ni ya kuonyesha kuwa alikua na sponsorship kule mazinde au inakuaje format yake mkuu?
 
Sawa mkuu..ni kweli dogo mwanzo mwisho kapiga St Mary's mazinde juu.sasa hiyo barua inakua ni ya kuonyesha kuwa alikua na sponsorship kule mazinde au inakuaje format yake mkuu?
IMG_20221113_182532_415.jpg

Hapa step number moja nenda katika shule aliyosoma Waambie wakuandikie barua kuwa huyo dogo kasomeshwa kwa udhamini .

Lengo hasa Ni kuhakikisha hiyo barua ina muhuri wa shule na Hiko signed either na Mwalimu Mkuu au msaidizi wake au Academic

Ukienda pale shule hawawezi shindwa kukusaidia kukupa ushirikiano , ingawa wanaona wazi situation unayoipitia so Jaribu kuzingatia hayo mambo kazaa .before deadline then Una -Ambatanisha katika maombi yake ya ku-Appeal Fanya Mkuu

Pia unaweza kusoma hiyo screen shot hapo

Cc Mgwebe
 
View attachment 2415640
Hapa step number moja nenda katika shule aliyosoma Waambie wakuandikie barua kuwa huyo dogo kasomeshwa kwa udhamini .

Lengo hasa Ni kuhakikisha hiyo barua ina muhuri wa shule na Hiko signed either na Mwalimu Mkuu au msaidizi wake au Academic

Ukienda pale shule hawawezi shindwa kukusaidia kukupa ushirikiano , ingawa wanaona wazi situation unayoipitia so Jaribu kuzingatia hayo mambo kazaa .before deadline then Una -Ambatanisha katika maombi yake ya ku-Appeal Fanya Mkuu

Pia unaweza kusoma hiyo screen shot hapo

Cc Mgwebe
Nina jamaa yangu anafanya kwenye NGO flani.nataka nimuombe anitengenezee barua aichape muhuri wa office kuonyesha kwamba shirika lao lilikua linamsomesha dogo.hapo vipi mkuu?
 
WanaJF hivi mtu anataka kukata rufaa na ana kadi ya Bibi yake ya tasaf lakini mwanzo hakuambatanisha hii kwenye appeal stage inawezekana kuiattach????au wanataka taarifa ziwe sawa na za mwanzo??muongozo wenu tafadhali
 
WanaJF hivi mtu anataka kukata rufaa na ana kadi ya Bibi yake ya tasaf lakini mwanzo hakuambatanisha hii kwenye appeal stage inawezekana kuiattach????au wanataka taarifa ziwe sawa na za mwanzo??muongozo wenu tafadhali
Kwa navyojua taarifa zinzohitajika ni za baba na mama tu!
 
WanaJF hivi mtu anataka kukata rufaa na ana kadi ya Bibi yake ya tasaf lakini mwanzo hakuambatanisha hii kwenye appeal stage inawezekana kuiattach????au wanataka taarifa ziwe sawa na za mwanzo??muongozo wenu tafadhali
Weka tu ondoa shaka watu wameweka mpk za majirani zao na bado wamepata hawajatatizwa
 
Back
Top Bottom