Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure vijana wapo very depressedHii inchi ngumu sana..
Mkuu kesi yangu ni kuwa nilituma form og board bila kuscan form namba 2 na 5 ili niziaploaad mtandaoni .....nimekuja kushtuka Juz naangalia acc nakuta maombi hayajafika so nikascan na kutuma hizo form application imekamilika ila haijawa verifaid hapo inakuwaje ???Amini kua,ss tuliopo kazin tunaelew
Mungu atatenda mkuuMkuu kesi yangu ni kuwa nilituma form og board bila kuscan form namba 2 na 5 ili niziaploaad mtandaoni .....nimekuja kushtuka Juz naangalia acc nakuta maombi hayajafika so nikascan na kutuma hizo form application imekamilika ila haijawa verifaid hapo inakuwaje ???
Itakuwa wanapakia pesa kubwakubwaWatu wengi wanasema hazifunguki sijui kunani ?
subiri baada ya sa6 usiku ndo siku itakuwa imeishaLoan board mliahidi 27/10 Ila tangu asubuhi nacheck hamjaweka
Bora nyie hazifunguki, yng inafunguka fasta but 27oct ipo vile vile, labda zisizo-fanguka ndio hafanyiwa kazi.[emoji848]Watu wengi wanasema hazifunguki sijui kunani ?
Bora wewe ipo tarehe hiyo hiyo 27😂😂 wengine ndo tushapelekwa mbele kama ivo😂😂😂 inasikitisha sanaBora nyie hazifunguki, yng inafunguka fasta but 27oct ipo vile vile, labda zisizo-fanguka ndio hafanyiwa kazi.[emoji848]
Loans Board! Hivi wanaopata mikopo wako wapi??
..yaan, sijaona mtu kusema kapate leo.Loans Board! Hivi wanaopata mikopo wako wapi??
hyo ni kwanzia kesho+ kesho kutwa...hukumbuk yale mambo ya Tarh 21 yalikuwaje?[emoji16]..yaan, sijaona mtu kusema kapate leo.
Watazipitia Hilo halina shida ,ila chamsingi uende ofisini ufatilie kwa baruaMkuu kesi yangu ni kuwa nilituma form og board bila kuscan form namba 2 na 5 ili niziaploaad mtandaoni .....nimekuja kushtuka Juz naangalia acc nakuta maombi hayajafika so nikascan na kutuma hizo form application imekamilika ila haijawa verifaid hapo inakuwaje ???
Hii ngumu sana sidhani kama watalishughulikia wakati huu wakati watu wengi wamekamilisha kila kitu na bado wapo bali tete,labda ujaribu wakati wa rufaa.Mkuu kesi yangu ni kuwa nilituma form og board bila kuscan form namba 2 na 5 ili niziaploaad mtandaoni .....nimekuja kushtuka Juz naangalia acc nakuta maombi hayajafika so nikascan na kutuma hizo form application imekamilika ila haijawa verifaid hapo inakuwaje ???