Aliyepata update yoyote akaunti ya HESLB

Aliyepata update yoyote akaunti ya HESLB

Watu wengi wanasema hazifunguki sijui kunani ?
 
Bado
IMG_20221027_153830.jpg
 
Amini kua,ss tuliopo kazin tunaelew
Mkuu kesi yangu ni kuwa nilituma form og board bila kuscan form namba 2 na 5 ili niziaploaad mtandaoni .....nimekuja kushtuka Juz naangalia acc nakuta maombi hayajafika so nikascan na kutuma hizo form application imekamilika ila haijawa verifaid hapo inakuwaje ???
 
Mkuu kesi yangu ni kuwa nilituma form og board bila kuscan form namba 2 na 5 ili niziaploaad mtandaoni .....nimekuja kushtuka Juz naangalia acc nakuta maombi hayajafika so nikascan na kutuma hizo form application imekamilika ila haijawa verifaid hapo inakuwaje ???
Mungu atatenda mkuu
 
Bora nyie hazifunguki, yng inafunguka fasta but 27oct ipo vile vile, labda zisizo-fanguka ndio hafanyiwa kazi.[emoji848]
Bora wewe ipo tarehe hiyo hiyo 27😂😂 wengine ndo tushapelekwa mbele kama ivo😂😂😂 inasikitisha sana
 

Attachments

  • Screenshot_2022-10-27-20-57-36.png
    Screenshot_2022-10-27-20-57-36.png
    85.5 KB · Views: 25
Bodi wanafeli sans. Wengine vyuo tayari...na hela za kuanzia hatuna
 
Wanazingua sana, vyuo vimefunguliwa tarehe 24 n watu mpaka sas hawajajisali na hawajui hatima yao
 
Mkuu kesi yangu ni kuwa nilituma form og board bila kuscan form namba 2 na 5 ili niziaploaad mtandaoni .....nimekuja kushtuka Juz naangalia acc nakuta maombi hayajafika so nikascan na kutuma hizo form application imekamilika ila haijawa verifaid hapo inakuwaje ???
Watazipitia Hilo halina shida ,ila chamsingi uende ofisini ufatilie kwa barua
 
Mkuu kesi yangu ni kuwa nilituma form og board bila kuscan form namba 2 na 5 ili niziaploaad mtandaoni .....nimekuja kushtuka Juz naangalia acc nakuta maombi hayajafika so nikascan na kutuma hizo form application imekamilika ila haijawa verifaid hapo inakuwaje ???
Hii ngumu sana sidhani kama watalishughulikia wakati huu wakati watu wengi wamekamilisha kila kitu na bado wapo bali tete,labda ujaribu wakati wa rufaa.
 
Back
Top Bottom