Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh.sion kama kuna matumaini ya dogo kupata chochoteWale wa mwisho hupewa 100 bila ubishi
Ok vizuri Sana MkuuYes mkuu..boom + ada japo kiasi kidgo namshukuru Mungu..ntajaribu option ya ku appeal
Duh.sion kama kuna matumaini ya dogo kupata chochote
Kupata mkopo aAmini kwamba..
Yupo koz gn
Chuo gn
Yes mkuu..boom + ada japo kiasi kidgo namshukuru Mungu..ntajaribu option ya ku appeal
Yuko suaAmini kwamba..
Yupo koz gn
Chuo gn
Ndio mkuu,niliicheck alfajiri ya leoUmeingia katika SIPA yake?
Mwemwe![emoji848]Kuna probability kubwa watu WA mwisho wakala 100
Ukiona haifunguki ndio wanamimina pesa, usiwasumbue! Wataghairi kuweka we haya!![emoji1787][emoji1787]Hivi website ya heslb inafunguka huko kwenu? Au mm tu ndio napigwa ndoige[emoji28]
Duh hiyo kama M.D tu kusoma bila mkopo ni uongoYuko sua
Kozi ni veterinary medicine.
Aliweka TASAF document?Kupata mkopo hawaangalii kozi wala chuo,
Tuliambiwaga dogo hawezi kupata mkopo kwa masomo yake, na matokeo yake ya six lkn Mungu ni mwema dogo kapata zote kakosa ya research tu, tena kapata round ya kwanza,
NdoigeHivi website ya heslb inafunguka huko kwenu? Au mm tu ndio napigwa ndoige😅
Ada bei gan umepewaYes mkuu..boom + ada japo kiasi kidgo namshukuru Mungu..ntajaribu option ya ku appeal
Hata mim mdogo angu amepewa 500,5000 sijui hapa anabid aongeze bei gan kweny chuo cha NIT coz mechanical engineering500500
Angalia joining instruction yake kujua gharama za ada kisha lete tukanyie hesabu.Hata mim mdogo angu amepewa 500,5000 sijui hapa anabid aongeze bei gan kweny chuo cha NIT coz mechanical engineering
Asante mkuu ngoja nikiangalieAngalia joining instruction yake kujua gharama za ada kisha lete tukanyie hesabu.