Aliyeporwa "Range" na Makonda alipuka, atangaza kwenda Mahakamani

Aliyeporwa "Range" na Makonda alipuka, atangaza kwenda Mahakamani

 
Wananchi wengi waliokwazika na kubughudhiwa sasa wameamka.

Huyu ni mmoja wa walio onja joto la jiwe kupitia kwa Makonda.

Hakika haki ucheleweshwa tu na mwanadamu.

Makonda.PNG
 
Hii ndiyo Taarifa iliyoripotiwa na Gazetti la RaiaMwema kwa siku ya leo , kwamba yuko Mtanzania mwenzetu ambaye amemwangukia Mh Rais Samia , ili atie mkono wake kutokana na dhuluma aliyofanyiwa na Makonda aliyekuwa RC wa DSM ya kuporwa gari lake la kisasa aina ya RANGE ROVER .

Taarifa ya Gazeti hilo inaonyesha kwamba kwenye sakata hilo la uporaji , yuko pia Mtuhumiwa mwingine aliyejulikana kwa Jinala bandia la LE MUTUZ , anayedaiwa kuwa ni Mtoto wa Waziri Mkuu wa Zamani wa Tanzania , John Sigwemisi Malecela

Chanzo : RaiaMwema
Subiri chawa wa eneo la Kolomije wakujie ndotoni🤣
 
Back
Top Bottom