Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hashughulikiwi
Hao wanapoteza muda huyu wangemchukulia sheria mkononi tu kama tunavyowafanya vibaka wa kawaida,hizo njia wanazopita kumshughulikia haziwezi kuwapa matokeo wanayotarajiaAliongoza kufanya maovu mengi sn
Mbona hai downloadikiii?View attachment 2340556
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji817][emoji817]
Ni mshirikina balaa kumpata siyo kazi rahisiHao wanapoteza muda huyu wangemchukulia sheria mkononi tu kama tunavyowafanya vibaka wa kawaida,hizo njia wanazopita kumshughulikia haziwezi kuwapa matokeo wanayotarajia
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Kisa limeandika habari usiyoipenda? Au unadhani ukisema hivyo ndio kweli litakuwa hivyo? Vumilia kusoma usiyoyapenda ndugu na maisha yaendelee.Gazeti la kuchambia.
Yasemekana ndiyo karata aliyoitumia kumfanya jiwe amuone mwana wake wa pekeeNi mshirikina balaa kumpata siyo kazi rahisi
When life beginsZa mwizi kwani ngapi.
Yeye mwenyewe alikuwa anamtegemea, ushonga wao ulivyoyumba tu jiwe akatoweka mazimaYasemekana ndiyo karata aliyoitumia kumfanya jiwe amuone mwana wake wa pekee
Nilipukatana na Makonda mwezi uliopita nilimshauri he need to lay low na pia abadili line ya simuWananchi wengi waliokwazika na kubughudhiwa sasa wameamka.
Huyu ni mmoja wa walio onja joto la jiwe kupitia kwa Makonda.
Hakika haki ucheleweshwa tu na mwanadamu.View attachment 2340574