Aliyeporwa "Range" na Makonda alipuka, atangaza kwenda Mahakamani

Aliyeporwa "Range" na Makonda alipuka, atangaza kwenda Mahakamani

Hili gari lilipaki pale kwa RC WA Dsm mpaka juziijuzi tangu Makonda aondoke sio Hilo tuu alitumia wadhifa wake kuwa jambazi kutisha watu na kuchukua Mali zao bila ridhaa yeye na sabaya mnyeti nae yumo ni miiongoni mwa viongozi waliofanya ufedhuli Sanaa sijui wanasheria wa Tanzania ni waoga au HAWAJUI kutengeneza ushahidi ingekuwa Kenya Hawa wote kina Ally Happy wangekuwa Magereza

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Hili gari lilipaki pale kwa RC WA Dsm mpaka juziijuzi tangu Makonda aondoke sio Hilo tuu alitumia wadhifa wake kuwa jambazi kutisha watu na kuchukua Mali zao bila ridhaa yeye na sabaya mnyeti nae yumo ni miiongoni mwa viongozi waliofanya ufedhuli Sanaa sijui wanasheria wa Tanzania ni waoga au HAWAJUI kutengeneza ushahidi ingekuwa Kenya Hawa wote kina Ally Happy wangekuwa Magereza

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kila Ubaya utalipwa
 
Hii ndiyo Taarifa iliyoripotiwa na Gazeti la Raia Mwema kwa siku ya leo, Agosti 31, 2022 kwamba yuko Mtanzania mwenzetu ambaye amemwangukia Rais Samia Suluhu Hassan, ili atie mkono wake kutokana na dhuluma aliyofanyiwa na Makonda aliyekuwa RC wa Dar es Salaam ya kuporwa gari lake la kisasa aina ya Range Rover.

Taarifa ya gazeti hilo inaonyesha kwamba kwenye sakata hilo la uporaji, yuko pia mtuhumiwa mwingine aliyejulikana kwa Jina bandia la LE MUTUZ, anayedaiwa kuwa ni mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania, John Sigwemisi Malecela.



MFANYABIASHARA Patrick Christopher Kamwelwe mkazi wa New York nchini Marekani ameshusha tuhuma nzito dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Tuhuma hizo zinahusu madai ya kumpora gari lake aina ya Ranger Rover na kuibandika namba za RC DSM (Mkuu wa mkoa Dar es Salaam) kipindi akiwa kwenye wadhifa huo.

Kamwelwe ambaye pia anajulikana kwa jina maarufu kama PCK amedai Makonda anaendelea kuitumia gari hiyo hata baada ya kuondolewa madarakani licha ya kwamba si mali yake halali.

Akizungumza na Raia Mwema katika mahojiano maalum Kamwelwe ambaye ni mzaliwa wa Mpanda mkoani Katavi aliyekuwa akiishia jijini Dar es Salaam kabla ya kukimbilia Marekani kutokana na vitisho, amedai kwamba baada ya kufuatilia ili arejeshwe gari hiyo nyeusi yenye thamani ya Sh milioni 220, ndipo vitimbi na vitisho Vilipoanza na kubambikiwa kesi ya jinai kwa kumiliki mali haramu.

Alidai kutokana na tuhuma hizo Juni 2017 alifikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu huku akaunti zake za benki pamoja na mali zake zikishikiliwa hadi sasa.

GARI ILIVYOKWAPULIWA
Kamwelwe ambaye awali alikuwa mfanyabiashara wa magari, msanii wa Bongofleva na promota wa muziki, alisema mwaka 2017 alifuatwa na mtoto wa Waziri Mkuu mstaafu, Samwel Malecela, William Malecela maarufu kwa jina la Lemutuz na kumueleza kuwa Makonda...

Chanzo : Raia Mwema
Ila niwaambie kitu Makonda ni tapeli sana Kuna sehem alipanga akavunja eneo alafu kuliendeleza ameshindwa
Amevunja nyumba akajenga jengo ameshindwa kuliendeleza Kodi anadaiwa ya mwaka mmja na miez kadhaa......Huyu Makonda amekua ni chanzo Cha maisha yangu pia kuyumba
 
Ila niwaambie kitu Makonda ni tapeli sana Kuna sehem alipanga akavunja eneo alafu kuliendeleza ameshindwa
Amevunja nyumba akajenga jengo ameshindwa kuliendeleza Kodi anadaiwa ya mwaka mmja na miez kadhaa......Huyu Makonda amekua ni chanzo Cha maisha yangu pia kuyumba

Na PCK je unamjua vizuri. Mana Huyu ndo tapeli Orginal
 
Hii ndiyo Taarifa iliyoripotiwa na Gazeti la Raia Mwema kwa siku ya leo, Agosti 31, 2022 kwamba yuko Mtanzania mwenzetu ambaye amemwangukia Rais Samia Suluhu Hassan, ili atie mkono wake kutokana na dhuluma aliyofanyiwa na Makonda aliyekuwa RC wa Dar es Salaam ya kuporwa gari lake la kisasa aina ya Range Rover.

Taarifa ya gazeti hilo inaonyesha kwamba kwenye sakata hilo la uporaji, yuko pia mtuhumiwa mwingine aliyejulikana kwa Jina bandia la LE MUTUZ, anayedaiwa kuwa ni mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania, John Sigwemisi Malecela.



MFANYABIASHARA Patrick Christopher Kamwelwe mkazi wa New York nchini Marekani ameshusha tuhuma nzito dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Tuhuma hizo zinahusu madai ya kumpora gari lake aina ya Ranger Rover na kuibandika namba za RC DSM (Mkuu wa mkoa Dar es Salaam) kipindi akiwa kwenye wadhifa huo.

Kamwelwe ambaye pia anajulikana kwa jina maarufu kama PCK amedai Makonda anaendelea kuitumia gari hiyo hata baada ya kuondolewa madarakani licha ya kwamba si mali yake halali.

Akizungumza na Raia Mwema katika mahojiano maalum Kamwelwe ambaye ni mzaliwa wa Mpanda mkoani Katavi aliyekuwa akiishia jijini Dar es Salaam kabla ya kukimbilia Marekani kutokana na vitisho, amedai kwamba baada ya kufuatilia ili arejeshwe gari hiyo nyeusi yenye thamani ya Sh milioni 220, ndipo vitimbi na vitisho Vilipoanza na kubambikiwa kesi ya jinai kwa kumiliki mali haramu.

Alidai kutokana na tuhuma hizo Juni 2017 alifikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu huku akaunti zake za benki pamoja na mali zake zikishikiliwa hadi sasa.

GARI ILIVYOKWAPULIWA
Kamwelwe ambaye awali alikuwa mfanyabiashara wa magari, msanii wa Bongofleva na promota wa muziki, alisema mwaka 2017 alifuatwa na mtoto wa Waziri Mkuu mstaafu, Samwel Malecela, William Malecela maarufu kwa jina la Lemutuz na kumueleza kuwa Makonda...

Chanzo : Raia Mwema
Kiukweli awamu ya jiwe haifai hata kukumbukwa, wenye majereha Ni wengi,Ni suala la muda tu wataibuka wote nahisi
 
Hii ndiyo Taarifa iliyoripotiwa na Gazeti la Raia Mwema kwa siku ya leo, Agosti 31, 2022 kwamba yuko Mtanzania mwenzetu ambaye amemwangukia Rais Samia Suluhu Hassan, ili atie mkono wake kutokana na dhuluma aliyofanyiwa na Makonda aliyekuwa RC wa Dar es Salaam ya kuporwa gari lake la kisasa aina ya Range Rover.

Taarifa ya gazeti hilo inaonyesha kwamba kwenye sakata hilo la uporaji, yuko pia mtuhumiwa mwingine aliyejulikana kwa Jina bandia la LE MUTUZ, anayedaiwa kuwa ni mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania, John Sigwemisi Malecela.



MFANYABIASHARA Patrick Christopher Kamwelwe mkazi wa New York nchini Marekani ameshusha tuhuma nzito dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Tuhuma hizo zinahusu madai ya kumpora gari lake aina ya Ranger Rover na kuibandika namba za RC DSM (Mkuu wa mkoa Dar es Salaam) kipindi akiwa kwenye wadhifa huo.

Kamwelwe ambaye pia anajulikana kwa jina maarufu kama PCK amedai Makonda anaendelea kuitumia gari hiyo hata baada ya kuondolewa madarakani licha ya kwamba si mali yake halali.

Akizungumza na Raia Mwema katika mahojiano maalum Kamwelwe ambaye ni mzaliwa wa Mpanda mkoani Katavi aliyekuwa akiishia jijini Dar es Salaam kabla ya kukimbilia Marekani kutokana na vitisho, amedai kwamba baada ya kufuatilia ili arejeshwe gari hiyo nyeusi yenye thamani ya Sh milioni 220, ndipo vitimbi na vitisho Vilipoanza na kubambikiwa kesi ya jinai kwa kumiliki mali haramu.

Alidai kutokana na tuhuma hizo Juni 2017 alifikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu huku akaunti zake za benki pamoja na mali zake zikishikiliwa hadi sasa.

GARI ILIVYOKWAPULIWA
Kamwelwe ambaye awali alikuwa mfanyabiashara wa magari, msanii wa Bongofleva na promota wa muziki, alisema mwaka 2017 alifuatwa na mtoto wa Waziri Mkuu mstaafu, Samwel Malecela, William Malecela maarufu kwa jina la Lemutuz na kumueleza kuwa Makonda...

Chanzo : Raia Mwema
Halafu hapo juu kuna mtu mmoja amesema yule afrit maalun apewe tuzo! Yule mfugaji wa haya madubu; Sabaya, Makonda, Ali hapi, na chawa wao akina Lemutuz apewe tuzo.
Watanzania ni wapole sana hivi mtu sasa hana ulinzi halafu anatamba na mali yako mtaani hivi tuuuuu!! Haya bhana tuone kama huyo SSH atafanya lolote maana wengine tunakumbuka historia yao! Jiteetee mwanaume tafuta waungwana tumweke mtu kati akupe mali zako huyu dubu!
 
Ila anaemkingia "kifua" bashite asichukuliwe hatua kwa ukatili, uovu na ujambazi aliofanya anafanya kitu cha kuja kumdhalilisha sana, ni vyema akaacha sheria ichukue mkondo wake!
 
Ila niwaambie kitu Makonda ni tapeli sana Kuna sehem alipanga akavunja eneo alafu kuliendeleza ameshindwa
Amevunja nyumba akajenga jengo ameshindwa kuliendeleza Kodi anadaiwa ya mwaka mmja na miez kadhaa......Huyu Makonda amekua ni chanzo Cha maisha yangu pia kuyumba
Kwaiyo hapo kakutapeli nini?
 
Ila anaemkingia "kifua" bashite asichukuliwe hatua kwa ukatili, uovu na ujambazi aliofanya anafanya kitu cha kuja kumdhalilisha sana, ni vyema akaacha sheria ichukue mkondo wake!
Bashite ana hali ngumu sana. Sioni anaponaje hata baada ya miaka 20 mbele.
 
Back
Top Bottom