goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Ila mnyonge mnyongeni ila makinda kapamban sna na wazambazaji wa dawa za kulevya
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa,lakini kwa wengine ilikuwa style ya wao kujipatia helaIla mnyonge mnyongeni ila makinda kapamban sna na wazambazaji wa dawa za kulevya
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Yupo,we pita pita mitaa ya dar free market utamgumia tu nqona sahv mara nyingi anatumia v8 ile nyeupeBashite ana hali ngumu sana. Sioni anaponaje hata baada ya miaka 20 mbele.
Nikitaka kuwa mkweli kwako, ni kwamba tofauti kubwa sana ipo, katika mtindo wa uporaji. Lakini matokeo ni yale yale ya kupora.Kweli hujaona tofauti hapo au wajitoa akili?
Ninaweza kukubaliana nawe katika hilo.wote waporaji ila aliyekuwa anatumia silaha ni hatari zaidi
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Habari yenyewe imekaa kiduwanzi, hawasemi gari iliporwa vipi wanauma maneno tu, Kwa nilivoelewa Huyu jamaa alikua jambazi mwenzie MakondaWewe na hilo Gazeti nawaambieni kuwa kwa Tanzania hii ya sasa hakuna wa Kumkamata na Kumfunga Paul Makonda.
Na wala msipoteze muda Wenu katika hili na huwa nawashangaa kweli kweli Kutwa mnavyohangaika hivi na Sukari ya Mzanzibari.
Kwa Akili ya kawaida tu,Makonda akufuate achukuwe gari lako ? Hao waliona Makonda Ana mamlaka wakajipendekeza ili kuficha mambo yao haramu, Makonda naye hakuwa fala akawapigaWananchi wengi waliokwazika na kubughudhiwa sasa wameamka.
Huyu ni mmoja wa walio onja joto la jiwe kupitia kwa Makonda.
Hakika haki ucheleweshwa tu na mwanadamu.
View attachment 2341051
Ila mnyonge mnyongeni ila makinda kapamban sna na wazambazaji wa dawa za kulevya
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38]
mpaka kuchereeBado tu wanaye..!
Huna akili weweMaana waathirika wakubwa ni wauza ngada. Kweli wammalize kimila tu( hizi ndio akili za watz)
Jamaa hakuwa hivo, alukuwa mpigaji kwa maslahi yake Mkuu, hivo wote wana makosa ndio maana unqona wanaishia kujiliza tuAkiwa Mtumishi wa uma.
Angewapiga basi na kukabidhi Gari kwa Serikali na si kujimilikisha.
Aiseeeeee !!!Huyo naye mbona anahangaika bure,achukue sheria mkononi tu sidhani huyu mjinga Bashite kama ana ulinzi kama aliokuwa nao enzi za yule dhalim mporipori
Anaemkingia kifua awe makini sana kwani kashfa atakoyopata itammaliza kabisa!Wewe na hilo Gazeti nawaambieni kuwa kwa Tanzania hii ya sasa hakuna wa Kumkamata na Kumfunga Paul Makonda.
Na wala msipoteze muda Wenu katika hili na huwa nawashangaa kweli kweli Kutwa mnavyohangaika hivi na Sukari ya Mzanzibari.
[emoji38][emoji38][emoji38]Anaemkingia kifua awe makini sana kwani kashfa atakoyopata itammaliza kabisa!
Namshauri tena; akae mbali na huyu nyoka katili kwa afya ya maisha na heshina yake!
Alilazimishwa kubadili jina au umiliki?
Wewe na hilo Gazeti nawaambieni kuwa kwa Tanzania hii ya sasa hakuna wa Kumkamata na Kumfunga Paul Makonda.
Na wala msipoteze muda Wenu katika hili na huwa nawashangaa kweli kweli Kutwa mnavyohangaika hivi na Sukari ya Mzanzibari.