Waminyato
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,197
- 4,525
sahivi anapewa jeuri kimya kimya na b mdashi.Makonda ni mtoto wa baba Magu, bahati mbaya kafa Magu aone nani atampa jeuri
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sahivi anapewa jeuri kimya kimya na b mdashi.Makonda ni mtoto wa baba Magu, bahati mbaya kafa Magu aone nani atampa jeuri
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Imeisha hio!!!Kwaiy jamaa katapeliwa na rc au
Mzee Warioba yupo bwana usituchurieHuyu jamaa nilimchukia kuanzia pale tu alipompiga waryoba R.I.P
Unadhani kwa nini wauza ngada walipotea na wengine kuhama nchi.? Unaweza ukamshika mtu na usipate ushahidi moja kwa moja ila akawa anahusika kweli. Ila kitendo cha kumuonyesha kuwa anafanya tayari umemuwashia taa nyekundu na taacha ama kukimbia. Na hivyo ndivyo wengi walivyofanya.Tatizo ndio liko hapo. Hao unaodai wauza ng'ada why hawakamatwi, hawashtakiwi? Au kila aliegombana na makonda ni muuza ng'ada
Yupo hajatekwaNje ya mada kuna member anaitwa BAK hivi yupo
UmemalizaWewe na hilo Gazeti nawaambieni kuwa kwa Tanzania hii ya sasa hakuna wa Kumkamata na Kumfunga Paul Makonda.
Na wala msipoteze muda Wenu katika hili na huwa nawashangaa kweli kweli Kutwa mnavyohangaika hivi na Sukari ya Mzanzibari.
🤣🤣🤣U luz pawa u luz influensi end u bicam valnerabo
kumbe kuna watu wengi sana waliumia na uongozi wa mwendazake!!Hakimu Mkazi Kisutu huku akaunti zake za benki pamoja na mali zake zikishikiliwa hadi sasa.
Bashite katajirika kwa hela za michongoKumekucha kwa bashite alipumzika sana
R.I.P makondaMzee Warioba yupo bwana usituchurie
Chawa kaziniGazeti la kuchambia.
Makonda ni tapeli haswaHivi yule PCK ni raiya wa Burundi?? Kama ni kweli makonda mtu mbaya Sana.
Ndiyo maana alikufa huyo mzeekumbe kuna watu wengi sana waliumia na uongozi wa mwendazake!!
bila mzee kufa, nchi hii angeivuruga mno - sasa hivi penyewe haijatengemaa tunahangaika tu kila uchao na TOZO.Ndiyo maana alikufa huyo mzee
Yule alikuwa ni zaidi ya shetanibila mzee kufa, nchi hii angeivuruga mno - sasa hivi penyewe haijatengemaa tunahangaika tu kila uchao na TOZO.
Yule alikuwa ni zaidi ya shetani
Hapo chacha kwenye sukari ya MzanzibariWewe na hilo Gazeti nawaambieni kuwa kwa Tanzania hii ya sasa hakuna wa Kumkamata na Kumfunga Paul Makonda.
Na wala msipoteze muda Wenu katika hili na huwa nawashangaa kweli kweli Kutwa mnavyohangaika hivi na Sukari ya Mzanzibari.
chawa wa makonda sio?Chawa kazini