Aliyeporwa "Range" na Makonda alipuka, atangaza kwenda Mahakamani

Aliyeporwa "Range" na Makonda alipuka, atangaza kwenda Mahakamani

Tatizo ndio liko hapo. Hao unaodai wauza ng'ada why hawakamatwi, hawashtakiwi? Au kila aliegombana na makonda ni muuza ng'ada
Unadhani kwa nini wauza ngada walipotea na wengine kuhama nchi.? Unaweza ukamshika mtu na usipate ushahidi moja kwa moja ila akawa anahusika kweli. Ila kitendo cha kumuonyesha kuwa anafanya tayari umemuwashia taa nyekundu na taacha ama kukimbia. Na hivyo ndivyo wengi walivyofanya.
 
Yule alikuwa ni zaidi ya shetani
FB_IMG_1652379712226.jpg
 
Back
Top Bottom