SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Wengi walioumizwa na Bashite ni wenye uwezo mkubwa kifedha sasa wanashindwa nini kujipanga wakaunganisha nguvu wakamalizana naye 'kimila'? Huyu kuna kila dalili za kukingiwa kifua na dola kwa sababu zilizo wazi. Kwa mkondo wa sheria watachemsha tu.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app