Si Kila sadaka Huwa inapokelewa,HUYO MPIGA PICHA NI MIMI HAPA THE BIG SHOW...
LAKINI NAENDELEA KUHOJI KUWA NI KWELI ALICHOSEMA GAGACHUA WA FREEMAN MBOWE KUWA MAKANISA NA MAASKOFU YANAPOKEA RUSHWA KUTOKA KWA WANASIASA??
Wewe ni mwendawazimu,hakuna mtekaji miongoni mwao labda walipa visasa wa uswahilini kujaribu kutaka kulipa visasi vya dhuluma, dharau, jeuri au dhihaka za huyo muungwana mbabe kwenye biashara au familia za wengine mtaani na ndiyo maana wengine wakawa nanashangaa tu kama nyumbu anatafunwa na simba wenzie wakishangaa tu..
ubabe sio dili nje ya eneo lako la kujidai 🐒
Changu sikitoiHakikisha kitambi hakiondoki, kitakuokoa siku wakitaka kukuteka. Concentrate na pumzi tu.
Si Kweli,Alama ya tattoo kwenye mkono wa mmoja wa washukiwa yadhihirisha hawa ni polisi wa "mchongo".
Umeandika upuuzi. Watz hawana ujasiri imagine watu wote hao wanakodoa tu macho. Ila ingekua kigodoro hapo wangejisogeza au fumanizi wangejisogeza wote kwa kuitanaSalaam, Shalom!
Wakati umma wa watz ukilaumu watu waliokuwa wakiangalia tukio lile la ndugu bonge akijaribu kutekwa na wasiojulikana,wenye pingu na silaha za moto.
Kwa jicho la Umakini, yupo shujaa aliyetumia vizuri simu yake na kurekodi tukio Zima tena sauti zikisikika kabisa, hii Ina maana kuwa alikuwa karibu sana na tukio hili.
- Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia
Hii ni hatua kubwa huko tuendako maana ujasiri wa wenye Nchi kujilinda utaenda ukiongezeka.
Shujaa huyu hakuogopa KUPIGWA risasi na dreva aliyekuwa ndani ya gari, Abarikiwe huko aliko shujaa wetu.
Na Hadi hivi sasa wasiojulikana wamejulikana katika tukio lile Kwa picha na sura zao, na soon Majina Yao yatakuwa wazi maana wanatoka ndani ya JAMII zetu, tutajua ni Ushimen wa nani, na ni Jirani wa nani,
What comes around, goes around.
Mungu Mbariki mpiga picha.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Na walaaniwe Hawa waovu, na wote tuseme aamin!
Watanzania wasilaumiwe,Umeandika upuuzi. Watz hawana ujasiri imagine watu wote hao wanakodoa tu macho. Ila ingekua kigodoro hapo wangejisogeza au fumanizi wangejisogeza wote kwa kuitana
relax na upunguze mihemko gentleman,Wewe ni mwendawazimu,
Mtaani Kuna duka la kuuza pingu?
Sipati picha mama aliyewazaa vijana hao anajisikiaje kuona mtoto aliyemzaa, akidhulumu Roho za watoto wa wanawake wenzie,Picha hizo apo waseme hawajulikani
Pingu zinauzwa wapi wewe hayawani?relax gentleman,
kwani kwa raia na kwa watu kibao hakuna bastola au bunduki gentleman?
kwani shukuru Kawambwa kipindi fulani video yake ilienda viral sana alitaka kufungwa pingu na raia au askari walipokua wakigombania mpaka?
kwamba pingu ni anasa zaidi ya bunduki right? Kwani unaishi wap gentleman 🐒
Hata askari akiwa anaua mtaangalia tu. Kijjn kwetu tulishindwa vumilia huu ujuha tukawatwanga polisi. Huwezi kuja kututisha bila makosa kukamata kamata watu wasio na hatia tuna kudunda tu. Bunduki moja haiwez kutuua watu 50 na mpaka akoki tusha mpokonya. Hawa wakudunda na kigari kingechomwa motoWatanzania wasilaumiwe,
Pangekuwapo maduka ya kuuza pingu,
Wananchi wangeamini hao Si askari na wangeend kusaidia .
Hujiulizi aliyerekodi kwann hakuogopa?
Alikuwa ni polisi wako kazini, Yeye alitunza evidence.
Wewe ni raia?Hata askari akiwa anaua mtaangalia tu. Kijjn kwetu tulishindwa vumilia huu ujuha tukawatwanga polisi. Huwezi kuja kututisha bila makosa kukamata kamata watu wasio na hatia tuna kudunda tu. Bunduki moja haiwez kutuua watu 50 na mpaka akoki tusha mpokonya. Hawa wakudunda na kigari kingechomwa moto
kwani bunduki zinauzwa wapi muerevu uliekengeuka 🤣Pingu zinauzwa wapi wewe hayawani?
Deo bonge sio unene tu, bali pia inaonekana ni mtu wa mazoezi.Sasa kitambi ndio kilimuokoa deo bonge,
Angekuwa kimbaumbau, angeshasahaulika.
Hakuna mazoezi pale,Deo bonge sio unene tu, bali pia inaonekana ni mtu wa mazoezi.
Pingu ni Mali ya Jamuhuri ...Watekaji ni waoga sana,
Wamejua Noah zinashtukiwa,
Sasa wamechanganyikiwa, wanaenda kumteka bonge Kwa Toyota raum,
Apiteje kwenye Ule mlango,
Mungu wetu na aendelee kuwaaibisha.
Na Kwakuwa polisi wamekana kutowatambua watekaji,
Ile pingu asiirudishe.
Loh! Asante kwa kunikumbusha.Si Kweli,
Wasiojulikana Hadi Rasta wanafunga wacha tattoos,
Hutegemea mission husika.
Kumbuka muuza madafu.