Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pingu walizitoa wapi?hakuna mtekaji miongoni mwao hao, labda ni kundi la kulipwa kwenda kulipa kisasa huko uswahilini, huenda muungwana dhulumati mwenye madharau, jeuri mwenye dhihaka za kibabe kwenye biashara au familia za wengine mtaani, na ndiyo maana watu wengine wakawa nanashangaa tu kama nyumbu anavyotafunwa na simba wenzie wakishangaa tu..
ubabe sio dili nje ya eneo lako la kujidai. Ishi na watu vizuri 🐒
sasa Mnafiki kwan bunduki, risasi na virungu huwa wanavitoa wapi gentleman 🐒Pingu walizitoa wapi?
Allah akishapanga kukuadhirisha huna cha kufanyaNi vile hao askari ni division zero, wangekuww wako makini huyo aliyerekodi aidha wangeondoka na yeye au hiyo simu yake!!
Hawa polisi?Hakika Mpiga Picha apewe Maua yake. Jamaa hatimaye wamejulikana
MwamposerHUYO MPIGA PICHA NI MIMI HAPA THE BIG SHOW...
LAKINI NAENDELEA KUHOJI KUWA NI KWELI ALICHOSEMA GAGACHUA WA FREEMAN MBOWE KUWA MAKANISA NA MAASKOFU YANAPOKEA RUSHWA KUTOKA KWA WANASIASA??
Baltasar,kwahiyo kesi umeshinda siyo??Mwamposer
Hakutaja na misikiti na masheikh
Mwaipawpaw?
Ni Mfanyabiashara, wachaga wameshatiana ndimu wala siyo issue ya kisiasa.Huyo deo bonge ni nani na anajishugulisha na nini!
Au naye mwanaharakati
Ova
Wapi atakwenda kuwanya vipimo vya fingerprint?Ni dhahiri pia kuwa, watekaji ni waoga sana,
Na soon wananchi watatumia chance hivyo vyema,
Watekaji wamekimbia na kuacha pingu,
Ndugu huyu atumie hizo pingu kuwalocate Kwa finger print zao.
Ni wenzako hao vilaza wa kutekateka watu au nawe ni kundi hilohilo? Umetoa conclusion kana kwamba kuna kitu unafahamu kuhusu hao majuha ambacho wengi hatukifahamu, guts za hao mafala kutoa silaha na pingu hadharani wakijimbulisha kama polisi kwa sasa sisi wengine tutaendanayo hiyohiyo until proved otherwise.hakuna mtekaji miongoni mwao hao, labda ni kundi la kulipwa kwenda kulipa kisasa huko uswahilini, huenda muungwana dhulumati mwenye madharau, jeuri mwenye dhihaka za kibabe kwenye biashara au familia za wengine mtaani, na ndiyo maana watu wengine wakawa nanashangaa tu kama nyumbu anavyotafunwa na simba wenzie wakishangaa tu..
ubabe sio dili nje ya eneo lako la kujidai. Ishi na watu vizuri 🐒
What goes around comes around, kinachokuzunguka kina kuja karibu, (kwako)Salaam, Shalom!
Wakati umma wa watz ukilaumu watu waliokuwa wakiangalia tukio lile la ndugu bonge akijaribu kutekwa na wasiojulikana,wenye pingu na silaha za moto.
Kwa jicho la Umakini, yupo shujaa aliyetumia vizuri simu yake na kurekodi tukio Zima tena sauti zikisikika kabisa, hii Ina maana kuwa alikuwa karibu sana na tukio hili.
- Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia
Hii ni hatua kubwa huko tuendako maana ujasiri wa wenye Nchi kujilinda utaenda ukiongezeka.
Shujaa huyu hakuogopa KUPIGWA risasi na dreva aliyekuwa ndani ya gari, Abarikiwe huko aliko shujaa wetu.
Na Hadi hivi sasa wasiojulikana wamejulikana katika tukio lile Kwa picha na sura zao, na soon Majina Yao yatakuwa wazi maana wanatoka ndani ya JAMII zetu, tutajua ni Ushimen wa nani, na ni Jirani wa nani,
What comes around, goes around.
Mungu Mbariki mpiga picha.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Na walaaniwe Hawa waovu, na wote tuseme aamin!
Usiwazarau sana Mbaumbau, kwenye hatari sense, na mashinary za mwili zote hufanya kazi.Sasa kitambi ndio kilimuokoa deo bonge,
Angekuwa kimbaumbau, angeshasahaulika.
Huyo ni moja kati ya matahila hapa JF,Mimi nimimuignore kitambo, so nawashangaa mkiendelea kubishana nae.Pingu zinauzwa wapi wewe hayawani?
Hawa ndio wanaotumiwa kuteka na kuua, jamani Mungu waue woteeee mbwa hao, na waseme walikowapeleka vijana wetu yule wa mbeya na wale kina soka na wenzake. Na hawa ndio waliomteka na kumuua kada wa chadema kwenye basi, abiria waliokuwemo wajaribu kutambua sura hizi jamanHakika Mpiga Picha apewe Maua yake. Jamaa hatimaye wamejulikana
Hili nalo mkalitizame!!Aliyerekodi atakuwa mmoja wao, na kama kawaida yao wakairusha Kama wale walionfanyia unyama yule binti.
Msichokijua ni kwamba wasiojulikana na watekaji si Jeshi la Polisi kama mnavyo dhani bali ni kikundi ambacho kipo chini ya Chama cha mapinduzi (CCM) kikiratibiwa na Umoja wa vijana UVCCM.
Mimi nataka kitambi ila na mbio ziwepo Kaka ,nyakati hizi Tanzania yetu haiaminiki kabisaSasa kitambi ndio kilimuokoa deo bonge,
Angekuwa kimbaumbau, angeshasahaulika.