Aliyerekodi tukio jaribio la kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) apewe maua yake

Aliyerekodi tukio jaribio la kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) apewe maua yake

Ndomana nmeuliza huyo deo bonge ni nani ?anajishugulisha na nini!
Ila kwa uzoefu wangu kwa kungamua mambo issue hyo wala haiko kisiasa
Ukweli anaujuwa deo mwenyewe

Ova
umeongea vizuri sana mrangi ,
uskute umekunywa chai na chapati za mayayi za kumimina

tuishi na watu vizuri, tuepuke dhuluma za fedha au wake za watu. Tuache ubabe na dharau mtaani na kwakweli kwa kufanya hivyo ikiwa unakabiliwa na chochote, yowe lako moja tu linatosha kukusanya mtaa mzima kukusaidia,

vinginevyo uwe mbabe mtaani kwako tu na sio mitaa mingine 🐒
 
Kwa nchi inavyoendeshwa CCM(UVCCM) iko juu ya polisi na pia iko juu ya sheria.
Ndo ivyo ila police wakiamua kumalizana na hawa majangili kimia kimia inawezekana kama kweli hawausiki ,why jeshi liendelee kuchafuliwa na wahuni wachache mpaka kukosa aminika machoni mwa wananchi , hii ni hatari
 
hakuna mtekaji miongoni mwao hao, labda ni kundi la kulipwa kwenda kulipa kisasa huko uswahilini, huenda muungwana dhulumati mwenye madharau, jeuri mwenye dhihaka za kibabe kwenye biashara au familia za wengine mtaani, na ndiyo maana watu wengine wakawa nanashangaa tu kama nyumbu anavyotafunwa na simba wenzie wakishangaa tu..

ubabe sio dili nje ya eneo lako la kujidai. Ishi na watu vizuri 🐒
watatuonyesha wakiapeleka mahakamani? Au uchunguzi loading?
Ni Mfanyabiashara, wachaga wameshatiana ndimu wala siyo issue ya kisiasa.
Sasa kama wanaujasiri gani ktk nchi jeshi lenye nguvu kufanya vitendo hivyo hadharani ?
 
umeongea vizuri sana mrangi ,
uskute umekunywa chai na chapati za mayayi za kumimina

tuishi na watu vizuri, tuepuke dhuluma za fedha au wake za watu. Tuache ubabe na dharau mtaani na kwakweli kwa kufanya hivyo ikiwa unakabiliwa na chochote, yowe lako moja tu linatosha kukusanya mtaa mzima kukusaidia,

vinginevyo uwe mbabe mtaani kwako tu na sio mitaa mingine 🐒
Karibu kapuchino

Ova
 

Attachments

  • 20241017_093619.jpg
    20241017_093619.jpg
    615.1 KB · Views: 2
umeongea vizuri sana mrangi ,
uskute umekunywa chai na chapati za mayayi za kumimina

tuishi na watu vizuri, tuepuke dhuluma za fedha au wake za watu. Tuache ubabe na dharau mtaani na kwakweli kwa kufanya hivyo ikiwa unakabiliwa na chochote, yowe lako moja tu linatosha kukusanya mtaa mzima kukusaidia,

vinginevyo uwe mbabe mtaani kwako tu na sio mitaa mingine 🐒
Kuna wakati nlikuambia,watu wanatembea na upepo huo huo

Sahv kuna style watu wanaamua kumalizana wenyewe wajuavyo

Ova
 
Salaam, Shalom!

Wakati umma wa watz ukilaumu watu waliokuwa wakiangalia tukio lile la ndugu bonge akijaribu kutekwa na wasiojulikana,wenye pingu na silaha za moto.

Kwa jicho la Umakini, yupo shujaa aliyetumia vizuri simu yake na kurekodi tukio Zima tena sauti zikisikika kabisa, hii Ina maana kuwa alikuwa karibu sana na tukio hili.

- Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

Hii ni hatua kubwa huko tuendako maana ujasiri wa wenye Nchi kujilinda utaenda ukiongezeka.

Shujaa huyu hakuogopa KUPIGWA risasi na dreva aliyekuwa ndani ya gari, Abarikiwe huko aliko shujaa wetu.

Na Hadi hivi sasa wasiojulikana wamejulikana katika tukio lile Kwa picha na sura zao, na soon Majina Yao yatakuwa wazi maana wanatoka ndani ya JAMII zetu, tutajua ni Ushimen wa nani, na ni Jirani wa nani,

What comes around, goes around.

Mungu Mbariki mpiga picha.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Na walaaniwe Hawa waovu, na wote tuseme aamin!
cctv
 
Kuna wakati nlikuambia,watu wanatembea na upepo huo huo

Sahv kuna style watu wanaamua kumalizana wenyewe wajuavyo

Ova
uko sahihi sana gentleman

nami nilieleza bayana kwamba kuna watu ukizengea zengea sharubu zao kwa dharau na maneno wao wanakujibu kwa vitendo na kumalizana na wewe kwa haraka sana.

Tuishi na watu vizuri 🐒
 
uko sahihi sana gentleman

nami nilieleza bayana kwamba kuna watu ukizengea zengea sharubu zao kwa dharau na maneno wao wanakujibu kwa vitendo na kumalizana na wewe kwa haraka sana.

Tuishi na watu vizuri 🐒
Ah kabisa ...

Ova
 
uko sahihi sana gentleman

nami nilieleza bayana kwamba kuna watu ukizengea zengea sharubu zao kwa dharau na maneno wao wanakujibu kwa vitendo na kumalizana na wewe kwa haraka sana.

Tuishi na watu vizuri 🐒
Mfano yule smbdy mziba wa kule mikocheni watu wamemchukua tokea 2023 mpaka leo jiii
Nliuliza je anafanyaga clean business wadau wengi walisema hapana jamaa alikuwa mtu wa wash wash .....so inaelekea labda alingia anga za watu wakapita naye mazima

Ova
 
Mfano yule smbdy mziba wa kule mikocheni watu wamemchukua tokea 2023 mpaka leo jiii
Nliuliza je anafanyaga clean business wadau wengi walisema hapana jamaa alikuwa mtu wa wash wash .....so inaelekea labda alingia anga za watu wakapita naye mazima

Ova
it might be,
na hilo ni miongoni mwa mambo serious zaidi ya hizi drama za visasi kama ya huyu mpiga mayowe alie bananishwa nje ya eneo lake la ubabe na kujidai.🐒
 
Watekaji ni waoga sana,

Wamejua Noah zinashtukiwa,

Sasa wamechanganyikiwa, wanaenda kumteka bonge Kwa Toyota raum,

Apiteje kwenye Ule mlango,

Mungu wetu na aendelee kuwaaibisha.

Na Kwakuwa polisi wamekana kutowatambua watekaji,

Ile pingu asiirudishe.
Yawezekana hata wao (watekaji) wameshachoka kutumwa kutekeleza utekaji.
 
Watekaji ni waoga sana,

Wamejua Noah zinashtukiwa,

Sasa wamechanganyikiwa, wanaenda kumteka bonge Kwa Toyota raum,

Apiteje kwenye Ule mlango,

Mungu wetu na aendelee kuwaaibisha.

Na Kwakuwa polisi wamekana kutowatambua watekaji,

Ile pingu asiirudishe.
😃🤣 asirudishe vipi wakat alishaenda kurepot kituo cha polisi na nina uhakik ata iyo pingu alifunguliwa uko uko na kuiacha uko uko

Ila wabongo ni wapumbavu sana yaani mtu anatekwa mbele ya macho yao wapo wapo tu kama mazezeta vile
 
Back
Top Bottom