kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
ungemwonea wapiNi vile hao askari ni division zero, wangekuww wako makini huyo aliyerekodi aidha wangeondoka na yeye au hiyo simu yake!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ungemwonea wapiNi vile hao askari ni division zero, wangekuww wako makini huyo aliyerekodi aidha wangeondoka na yeye au hiyo simu yake!!
umeongea vizuri sana mrangi ,Ndomana nmeuliza huyo deo bonge ni nani ?anajishugulisha na nini!
Ila kwa uzoefu wangu kwa kungamua mambo issue hyo wala haiko kisiasa
Ukweli anaujuwa deo mwenyewe
Ova
Unadhan alikua mjinga? Pengine alkua amejiandaa kutoka mbio mithili ya swalaNi vile hao askari ni division zero, wangekuww wako makini huyo aliyerekodi aidha wangeondoka na yeye au hiyo simu yake!!
Ndo ivyo ila police wakiamua kumalizana na hawa majangili kimia kimia inawezekana kama kweli hawausiki ,why jeshi liendelee kuchafuliwa na wahuni wachache mpaka kukosa aminika machoni mwa wananchi , hii ni hatariKwa nchi inavyoendeshwa CCM(UVCCM) iko juu ya polisi na pia iko juu ya sheria.
unapoweza kupata bunduki na risasi huwezi kukosa pingu gentleman 🐒Amekuuliza PINGU, jibu swali.
watatuonyesha wakiapeleka mahakamani? Au uchunguzi loading?hakuna mtekaji miongoni mwao hao, labda ni kundi la kulipwa kwenda kulipa kisasa huko uswahilini, huenda muungwana dhulumati mwenye madharau, jeuri mwenye dhihaka za kibabe kwenye biashara au familia za wengine mtaani, na ndiyo maana watu wengine wakawa nanashangaa tu kama nyumbu anavyotafunwa na simba wenzie wakishangaa tu..
ubabe sio dili nje ya eneo lako la kujidai. Ishi na watu vizuri 🐒
Sasa kama wanaujasiri gani ktk nchi jeshi lenye nguvu kufanya vitendo hivyo hadharani ?Ni Mfanyabiashara, wachaga wameshatiana ndimu wala siyo issue ya kisiasa.
Karibu kapuchinoumeongea vizuri sana mrangi ,
uskute umekunywa chai na chapati za mayayi za kumimina
tuishi na watu vizuri, tuepuke dhuluma za fedha au wake za watu. Tuache ubabe na dharau mtaani na kwakweli kwa kufanya hivyo ikiwa unakabiliwa na chochote, yowe lako moja tu linatosha kukusanya mtaa mzima kukusaidia,
vinginevyo uwe mbabe mtaani kwako tu na sio mitaa mingine 🐒
Kuna wakati nlikuambia,watu wanatembea na upepo huo huoumeongea vizuri sana mrangi ,
uskute umekunywa chai na chapati za mayayi za kumimina
tuishi na watu vizuri, tuepuke dhuluma za fedha au wake za watu. Tuache ubabe na dharau mtaani na kwakweli kwa kufanya hivyo ikiwa unakabiliwa na chochote, yowe lako moja tu linatosha kukusanya mtaa mzima kukusaidia,
vinginevyo uwe mbabe mtaani kwako tu na sio mitaa mingine 🐒
🤣Baltasar,kwahiyo kesi umeshinda siyo??
So,utaendeleza pale ulipoishia au?
cctvSalaam, Shalom!
Wakati umma wa watz ukilaumu watu waliokuwa wakiangalia tukio lile la ndugu bonge akijaribu kutekwa na wasiojulikana,wenye pingu na silaha za moto.
Kwa jicho la Umakini, yupo shujaa aliyetumia vizuri simu yake na kurekodi tukio Zima tena sauti zikisikika kabisa, hii Ina maana kuwa alikuwa karibu sana na tukio hili.
- Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia
Hii ni hatua kubwa huko tuendako maana ujasiri wa wenye Nchi kujilinda utaenda ukiongezeka.
Shujaa huyu hakuogopa KUPIGWA risasi na dreva aliyekuwa ndani ya gari, Abarikiwe huko aliko shujaa wetu.
Na Hadi hivi sasa wasiojulikana wamejulikana katika tukio lile Kwa picha na sura zao, na soon Majina Yao yatakuwa wazi maana wanatoka ndani ya JAMII zetu, tutajua ni Ushimen wa nani, na ni Jirani wa nani,
What comes around, goes around.
Mungu Mbariki mpiga picha.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Na walaaniwe Hawa waovu, na wote tuseme aamin!
uko sahihi sana gentlemanKuna wakati nlikuambia,watu wanatembea na upepo huo huo
Sahv kuna style watu wanaamua kumalizana wenyewe wajuavyo
Ova
Ah kabisa ...uko sahihi sana gentleman
nami nilieleza bayana kwamba kuna watu ukizengea zengea sharubu zao kwa dharau na maneno wao wanakujibu kwa vitendo na kumalizana na wewe kwa haraka sana.
Tuishi na watu vizuri 🐒
Mfano yule smbdy mziba wa kule mikocheni watu wamemchukua tokea 2023 mpaka leo jiiiuko sahihi sana gentleman
nami nilieleza bayana kwamba kuna watu ukizengea zengea sharubu zao kwa dharau na maneno wao wanakujibu kwa vitendo na kumalizana na wewe kwa haraka sana.
Tuishi na watu vizuri 🐒
it might be,Mfano yule smbdy mziba wa kule mikocheni watu wamemchukua tokea 2023 mpaka leo jiii
Nliuliza je anafanyaga clean business wadau wengi walisema hapana jamaa alikuwa mtu wa wash wash .....so inaelekea labda alingia anga za watu wakapita naye mazima
Ova
Yawezekana hata wao (watekaji) wameshachoka kutumwa kutekeleza utekaji.Watekaji ni waoga sana,
Wamejua Noah zinashtukiwa,
Sasa wamechanganyikiwa, wanaenda kumteka bonge Kwa Toyota raum,
Apiteje kwenye Ule mlango,
Mungu wetu na aendelee kuwaaibisha.
Na Kwakuwa polisi wamekana kutowatambua watekaji,
Ile pingu asiirudishe.
The enemy wihinYawezekana hata wao (watekaji) wameshachoka kutumwa kutekeleza utekaji.
Kwa hiyo unashabikia wasijulikane .bosi Mungu na akajibu hivo kwa uzao wakoNi vile hao askari ni division zero, wangekuww wako makini huyo aliyerekodi aidha wangeondoka na yeye au hiyo simu yake!!
😃🤣 asirudishe vipi wakat alishaenda kurepot kituo cha polisi na nina uhakik ata iyo pingu alifunguliwa uko uko na kuiacha uko ukoWatekaji ni waoga sana,
Wamejua Noah zinashtukiwa,
Sasa wamechanganyikiwa, wanaenda kumteka bonge Kwa Toyota raum,
Apiteje kwenye Ule mlango,
Mungu wetu na aendelee kuwaaibisha.
Na Kwakuwa polisi wamekana kutowatambua watekaji,
Ile pingu asiirudishe.