Zamani ilikuwa Give a Man a Fish and feed him for a Day teach him how to Fish and feed him for eternity...., Siku hizi hata hizo nyavu tu au sehemu ya kuvua samaki mtu hapewi / haipo..., Inabakia watu kutoa vijisadaka / vimisaada na kuona wamefanya la maana sana..., Kumbe wangefanya kazi yao ipasavyo wala kusingekuwa na haja ya kutoa hizo Bahasha....