Aliyesambaza habari ya El Merreikh Covid 19 kawageuka baada ya kujistukia ujinga wake

Aliyesambaza habari ya El Merreikh Covid 19 kawageuka baada ya kujistukia ujinga wake

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
unajua alivypost watu walimuuliza signature ya verifier iko wapi? Mbona hiyo tarehe ni after match ina maana wana depart mbona hu post kwamba kule Sudani wachezaji wao 17 walikutwa na covid tarehe 5 march kesho yake tarehe sita wakapungua hadi watano? Simba inahusika vipi na vipimo na ili hali kila mechi siku hizi kuna medical officer wa CAF?

Bwana Nuhu kutoka Ghana akakomalia hii issue huku ha report hata issue ya Al ahly kule congo wachezaji wao watano kukutwa positive ingawa tofauti ya congo na nchi nyingi za kiafrika na ya kwetu ni kwamba SISI KUKANDAMIZANA NDIYO FURAHA YETU.

Simba vs As Vita kinshasa wachezaji 6 walikutwa na covid walipopimwa tena maafisa wa CAF wakasema wako cleared kucheza siku ya kuondoka airport wakazuiliwa wakakaa almost siku 5 karantini ila ikaonekana siyo habari hiyo kabisa.

Hata masaibu ya namungo siyo habari ukweli ni kwamba Nuhu yupo Ghana ila through comments keshajua sisi ni watu wa ain a gani yaani unakuta mwana utopolo ana comment anasema wanatumia GESI ZA SUMU VYUMBANI,daah aiseee ni aibu sana tengenezeni tu hiyo image yatawakuta na nyie kwenye hizo games za kimataifa.

Kigogo 2014 naye kwa chuki zake kwa mo dewji akaruka nayo hewani hadi maria sarungi,nilishangaa sana...Haya jamani chanzo chenu chenyewe kimejiona fala. Mjue tu kitu kimoja utopolo:

Afrika wanajua kwamba team yetu ya taifa ni dhaifu sana wanashangaa simba na namungo kufanya wanayofanya sasa, simba alionekana underdog wa group yanayotokea yamewachanganya wengi sana, na merreikh alijua simba ndo mnyonge wake.

Ndiyo maana hata siku tunamfunga ahly hapa dsm comments nyingi zilikuwa zinadai wachezaji wazawa wa simba first 11 ni wachache.

Hao wanaosema hivy ni raia wa nje hakuna kitu kitafanywa na team ya tanzania cha manaa wakakubali hata kidogo bahati mbaya wana support ya wana utopolo ni wivu uliozidi kiwango.

nuhu.JPG
a.JPG
 
Acha wajihangaishe tu....maana kama timu ya kufanyiwa figusu basi ingekua Al ahly na si hawa "Pisi Kali" kwenye kundi...cha msingi ku-focus kwenye game yetu ijayo dhidi ya As Vita ambayo ni kama final.
 
Acha wajihangaishe tu....maana kama timu ya kufanyiwa figusu basi ingekua Al ahly na si hawa "Pisi Kali" kwenye kundi...cha msingi ku-focus kwenye game yetu ijayo dhidi ya As Vita ambayo ni kama final.
mO KESHAHHIDI MILION 500 wakiipiga vita..jamaa hadi sasa katumia kama dllar 600,000 za bonus kajitoa sana mhnga kwa kweli
 
mO KESHAHHIDI MILION 500 wakiipiga vita..jamaa hadi sasa katumia kama dllar 600,000 za bonus kajitoa sana mhnga kwa kweli
Well n good,maana hiyo game inahitaji motisha sana ili kupata matokeo,la sivyo itakuwa kama hatujafanya kitu kwenye mechi zote zilizopita.
 
Well n good,maana hiyo game inahitaji motisha sana ili kupata matokeo,la sivyo itakuwa kama hatujafanya kitu kwenye mechi zote zilizopita.
GAME ZOTE wamepewa hela kuanzia kuwatoa plateau ..ila ile ya sudan walikosa sababu ya sare ya ahly na hii ya vita ndo ziliahidiwa pesa kubwa, 500 millions hapa katikati wachezaji walikuwa hawataki ijulikane hata hii ndiyo mana haijawaha publicised naona wanakwepa virungu vya ndugu na marafiki
 
GAME ZOTE wamepewa hela kuanzia kuwatoa plateau ..ila ile ya sudan walikosa sababu ya sare ya ahly na hii ya vita ndo ziliahidiwa pesa kubwa, 500 millions hapa katikati wachezaji walikuwa hawataki ijulikane hata hii ndiyo mana haijawaha publicised naona wanakwepa virungu vya ndugu na marafiki
Aisee...kweli pesa inatumika...lakini ndo football ilivyo bila pesa hufanikiwi kabisa..Hongera kwake Mo Dewj.
 
Km ulivyosema wacha tu wapige kelele huku watakuja haya wakifanyiwa wasilie watapokelewa opponent wao na kila Aina ya vitimbwi

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
wala hata hatutapokea mtu airport ila comments zao na wanchofanya viongozi wao chini kwa chini vinaharibu image ya nchi na uwanja wa taifa kwa mfano tukio la as vita mwaka juzi kukataa kuingia chumbani baad aya kudanganywa na zahera na viongozi wa yanga kwamba kuna sumu ni ujinga ule?
walijaribu kwa mazembe jamaa wakawapuuza..ila nao wanaingia kimataifa watakutana na maujinga haya na talalamika hadi wachanganyikiwe hao
 
Aisee...kweli pesa inatumika...lakini ndo football ilivyo bila pesa hufanikiwi kabisa..Hongera kwake Mo Dewj.
wamezibabua sana hapa katikati roughly wale starters wale wamevuta kama 20 au 25 k usd kila mmmoja
 
mO KESHAHHIDI MILION 500 wakiipiga vita..jamaa hadi sasa katumia kama dllar 600,000 za bonus kajitoa sana mhnga kwa kweli
Mo asituharibie timu kwa kuwazoesha wachezaji hela ili washinde mechi wakati wana mikataba na mishahara kila mwezi, siku hizo hela zisipoahidiwa tusishangae kuona timu haishindi na wachezaji wanacheza chini ya kiwango.. imekuwa hongo sasa.

Simba inahitaji bus lenye hadhi ya kidunia, hizo 500 unapata bus kali kama timu za ulaya siyo hili li yutong single difu la kizamani.
 
Kumbukeni nazareth ya njombe, ile ya askofu Arusha, kajumulo, singida utd, moro utd zilikufa kwa mtindo huu huu anaoufanya mo, wachezaji wanafuata hela na si mapenzi kwa timu na siku wakikosa hizo hela wanauza mechi.

Simba bado tunahitaji koboresha academy na makazi ya timu, vitega uchumi nk. Hizo hela zikielekezwa kuijenga simba kama timu kwa malengo ya muda mrefu nitajua kweli mo anadhamira ya kweli lakini kwa mtindo huu wa chop money kama pedeshee siku akisitisha tu mtakuja kunikumbuka
 
Mo asituharibie timu kwa kuwazoesha wachezaji hela ili washinde mechi wakati wana mikataba na mishahara kila mwezi, siku hizo hela zisipoahidiwa tusishangae kuona timu haishindi na wanachezaji wanacheza chini ya kiwango.. imekuwa hongo sasa.

Simba inahitaji bus lenye hadhi ya kidunia, hizo 500 unapata bus kali kama timu za ulaya siyo hili li yutong single difu la kizamani.
BUS ni jukumu la sportspesa..bonus ni kitu cha kawaida simba hatua hii inafanyiwa majungu hivi je ikifika nusu fainali?acha wapate hela kama wanaweza wagongeshe semi finals , kwanza kwa hela aliyotoa hadi sasa ni kama 1 billioni na vijana walipoingia group stages wameingiza 1.2 billiions acha fedha yote itumike wafike hata nusu
 
Kumbukeni nazareth ya njombe, ile ya askofu Arusha, kajumulo, singida utd, moro utd zilikufa kwa mtindo huu huu anaoufanya mo, wachezaji wanafuata hela na si mapenzi kwa timu na siku wakikosa hizo hela wanauza mechi.

Simba bado tunahitaji koboresha academy na makazi ya timu, vitega uchumi nk. Hizo hela zikielekezwa kuijenga simba kama timu kwa malengo ya muda mrefu nitajua kweli mo anadhamira ya kweli lakini kwa mtindo huu wa chop money kama pedeshee siku akisitisha tu mtakuja kunikumbuka
ni wachezaji gani wanacheza kwa mapenzi ya team siku hizi?kama ngassa na yanga siyo?academy hostel zinajengwa pale bunju team ya wanawake iko strong,kwa mfano hadi sasa wewe ndugu umechangia nini labda?maan aunalalamika kweli hata jezo original umenunua kweli?
mafanikio ni hata team ifike nusu fainali na kutengeneza mfumo mzuri wa utawala kupata wacheza callibre ya luis na kuwauza kwa bei kubwa kufanya business habari ya mapenzi y awachezaji yashapitwa na wakati
 
basi ni jukumu la sportspesa..bonus ni kitu cha kawaida simba hatua hii inafanyiwa majungu hivi je ikifika nusu fainali?acha wapate hela kama wanaweza wagongeshe semi finals , kwanza kwa hela aliyotoa hadi sasa ni kama 1 billioni na vijana walipoingia group stages wameingiza 1.2 billiions acha fedha yote itumike wafike hata nusu
Bonus kwenye sports industry ipo kisheria mfano man utd kila inapovuka hatua champions league kuna kiasi mchezaji anapata (ni % chache ya mshahara), timu isipofanikiwa kuingia uefa champions league wachezaji wanakatwa 25% ya mshahara kwa msimu nzima. Mfumo huu unatumika karibu timu zote kubwa, iwapo timu itashuka daraja mshahara unakatwa karibu nusu na zaidi.
Leicester city wamereport loss ya paund mil 37 msimu uliopita. Hata simba tunatakiwa tusomewe taarifa ya revenues za robo, nusu, robotatu na mwaka tuone tunapoelekea kwasababu tunasema sisi ni next level.
Hakuna kitu kigumu kama kutengeneza profit kwenye sports industry
 
Bonus kwenye sports industry ipo kesheria mfano man utd kila inapovuka hatua champions league kuna kiasi mchezaji anapata (ni % chache ya mshahara), timu isipofanikiwa kuingia uefa champions league wachezaji wanakatwa 25% ya mshahara kwa msimu nzima. Mfumo huu unatumika karibu timu zote kubwa, iwapo timu itashuka daraja mshahara unakatwa karibu nusu na zaidi.
Leicester city wamereport loss ya paund mil 37 msimu uliopita. Hata simba tunatakiwa tusomewe taarifa ya revenues za robo, nusu, robotatu na mwaka tuone tunapoelekea kwasababu tunasema sisi ni next level.
Hakuna kitu kigumu kama kutengeneza profit kwenye sports industry
report ya hasara na faida wakati serikali hadi leo haijapitisha rasmi zaidi ya vikwazo tu?basi naona Mo tu aache kutoa bonus tukatafute vijana mtaani watakaocheza kwa mapenzi ya simba..hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
report ya hasara na faida wakati serikali hadi leo haijapitisha rasmi zaidi ya vikwazo tu?basi naona Mo tu aache kutoa bonus tukatafute vijana mtaani watakaocheza kwa mapenzi ya simba..hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Rage hakukosea kuwaita baadhi ya mashabiki vile.
Kabla mo hajaingia timu ilikuwa na matumizi ya 40m kwa mwezi na ilibidi kina hans watafute hela kwa mtindo wa bakuli ili kujazia 40 walipe mishahara. Hata biashara ya genge ni lazima utakuwa na hesabu.
Mfumo wa kisasa tunaouabudu simba unahitaji timu iweze kujiendesha yenyewe kifedha hakuna kutoa hela hela ya mfukoni kwa mapenzi (kasome fifa ffp).
Fikiri siku mo akisitisha hizi hisani kama alivyofanya manji
Nb mo yupo kisheria ila kuna mambo anayafanya kihisani hayapo kisheria kama hizo ahadi ipo siku atakuja kustick na sheria
 
Rage hakukosea kuwaita baadhi ya mashabiki vile.
Kabla mo hajaingia timu ilikuwa na matumizi ya 40m kwa mwezi na ilibidi kina hans watafute hela kwa mtindo wa bakuli ili kujazia 40 walipe mishahara. Hata biashara ya genge ni lazima utakuwa na hesabu.
Mfumo wa kisasa tunaouabudu simba unahitaji timu iweze kujiendesha yenyewe kifedha hakuna kutoa hela hela ya mfukoni kwa mapenzi (kasome fifa ffp).
Fikiri siku mo akisitisha hizi hisani kama alivyofanya manji
Nb mo yupo kisheria ila kuna mambo anayafanya kihisani hayapo kisheria kama hizo ahadi ipo siku atakuja kustick na sheria
unaruhusiwa kupeleka maoni yako kwa washabiki sababu unaonekana wewe ni msomi sana ila uko sahihi TUFUKUZE WOTE WASIO NA MAPENZI N ASIMBA
 
mO KESHAHHIDI MILION 500 wakiipiga vita..jamaa hadi sasa katumia kama dllar 600,000 za bonus kajitoa sana mhnga kwa kweli
Kwa utu wa Mama Samia naona Mo akifika mbali na Simba Sc. Siku Simba ikitinga nusu fainali kuna watu wataandamana kupinga
 
mpaka sasa sijaona kosa la Nuhu, maana hiyo habari za wachezaji kukutwa na covid zimeripotiwa na official page ya el merekh wenyewe, al ahly hawajarepot wachezaj wao kukutwa na covid
 
Back
Top Bottom