Aliyesema mashabiki wa Simba ni mbumbumbu naomba ajengewe sanamu kubwa sana katikati ya Dar es Salaam

ukimtoa kikwete na baba manara mashabiki wote wa yanga waliobaki hawana akili na kweli hawana akili unayakumbuka haya maneno aliyasema nani 😁😁😁
Iko video humu humu JF inaonesha Rage akisema kwenye mkutano kuwa wanasimba wote ni mbumbumbu na wanamzomea ila hakuna video ya Manara akisema wenye akili utopoloni ni wawili TU Kikwete na Babiye! Acheni kujifariji mfungeni Wydad tuone ukubwa mnaojisifia!
 
Ni kweli unaweza kuwa upo sahihi lakini ukumbuke kuwa hata Manara aliwahi kusema kwamba wenye akili Yanga ni Mzee Kikwete na Baba Yake wengine hamnazo..!!Hii kauli nilidhani ni masihara lakini nilithibitisha ni kweli pale alipoletwa yule mchuuzi kutoka Bujumbura aliekuwa akifanya biashara na zake..!!Kwani huyu jamaa alitangazwa kuwa anatoka Newcastle na mashabiki kwa Ujuha wao mkubwa wakawa wanatamba kuwa wanamchezaji kutoka Newcastle..!!
 
MAKOLO hayajielewi siku zote

Makolo ni Makolo tu
Vipi kuhusu utopolo..? Maana hata nao walikuwa wanalia kwamba Nabi atimuliwe baada ya kufungwa na Al Hilal..!! Na kusema kwamba Hana mbinu au hili majuha wa Utopolo mnajisahaulisha..?
 
Kula ndo nini?kweli huko kuna wenye akili 2..kama kuandika tuu tabu
 
Waje wajibu hapa Manzoki alikuja kwenye uchaguzi wao kama nani?
Maana kutokana na umbumbumbu wao, Mwenyekiti alishinda ule uchaguzi kwa wepesi kabisa! Kisa tu aliwaletea Caesar Manzoki kuja kuwasalimia.
kama alivyokuja Ibenge tu. Unawapangia wenzako mtu wa kumualika? Kesho utauliza MwanaFA anaingia jukwaa kuu kama nani, wakati bado hujamalizana na Feisal na Morrison. Hivi Bigirimana wa EPL ametolewa kwa mkopo au ameuzwa? maana Kambole anakiwasha sana kule Zambia na Yikpe ni nyota Uarabuni
cc: NALIA NGWENA
 
Wenye akili huko utupoloni kabaki baba ake haji tu,ambaye anajua wazi kuwa mwanae ni simba ila anadanganya ma utopolo
 
Kwa hiyo manzoki ni mgeni rasmi
 
MBUMBUMBU walimlipa MANZOKI hela ya siku moja kuhudhuria Mkutano lakini wale wenye AKILI WAWILI tu walimlipa Bigirimana hela za Mkutano na mwaka mzima wa kufanya UTALII nchini Tanganyika..
 
Iko video humu humu JF inaonesha Rage akisema wanasimba ni mbumbumbu na wanamzomea ila hakuna video ya Manara akisema wenye akili utopoloni ni wawili TU Kikwete na Babiye!
Unasema???
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…