Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Mpwayungu Villagenashangaa uzi kama huu wa kutukana wana simba upo ila wa kuwakosoa walimu na kupinga ushoga unafutiwa
unafikirisha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpwayungu Villagenashangaa uzi kama huu wa kutukana wana simba upo ila wa kuwakosoa walimu na kupinga ushoga unafutiwa
unafikirisha sana
Amua wew mbumbu fcJe aliyesema manyani wafamfanyeje?[emoji1241]
Mliosema Nabi atimuliwe ni nyie "Tatu mzuka fc" aka mikia , Zuwena makolo fc!Vipi kuhusu utopolo..? Maana hata nao walikuwa wanalia kwamba Nabi atimuliwe baada ya kufungwa na Al Hilal..!! Na kusema kwamba Hana mbinu au hili majuha wa Utopolo mnajisahaulisha..?
Wewe kama ni Kolo baki na ukolo wako...maana yake huna hata akiliVipi kuhusu utopolo..? Maana hata nao walikuwa wanalia kwamba Nabi atimuliwe baada ya kufungwa na Al Hilal..!! Na kusema kwamba Hana mbinu au hili majuha wa Utopolo mnajisahaulisha..?
Makolo ni mambumbumbu kweli, kila siku mnajipendekeza kwa Haji Manara...unataka nawewe akuoe mke wa 3?Wenye akili huko utupoloni kabaki baba ake haji tu,ambaye anajua wazi kuwa mwanae ni simba ila anadanganya ma utopolo
Kweli kabisa aise [emoji16]Makolo ni mambumbumbu kweli, kila siku mnajipendekeza kwa Haji Manara...unataka nawewe akuoe mke wa 3?