Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hujasikia taarifa juzi na jana kutoka huko Geita?Kuna mtu kweli anaweza kujijonga akikosa nauli ya kwenda kwa baba mkwe? Hapa mkuu umetupanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujasikia taarifa juzi na jana kutoka huko Geita?Kuna mtu kweli anaweza kujijonga akikosa nauli ya kwenda kwa baba mkwe? Hapa mkuu umetupanga
Niliisikia kwenye kipindi cha jana na Leo cha Wasafifm lakini still siamini nazani nitakuwa na sababu zingine zaidi sio hiyoHujasikia taarifa juzi na jana kutoka huko Geita?
Helaaa hata kwenye Ndoa inahitajikaa mnooo...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pesanyingi umeshindwa kumgawia rafiki yako pesa kidogo.
Huyo rafiki yako akiwa na pesa basi mwambie amshauri mkewe kuliko atafute mwingine waingie makubaliano, jamaa awe anamlipa elfu 10 tu kwa kila dakika wanayotumia kwenye kula mbususu.
Akienda dakika 30 basi anaweka 300k ambayo mke ana Uhuru kamili.
Najua mwanzoni atagoma lakini akiona mzigo unakaribia 1m mke ndo atakuwa anamkumbusha kupiga show
SanaHelaaa hata kwenye Ndoa inahitajikaa mnooo...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Habari za ijumaa wadau.Niende moja kwa moja kwenye mada. Nina class mate wangu tupo karibu sana kama ndugu kwenye urafiki wetu.
Sasa anachangamoto ya kimahusiano na mke wake ameniomba ushauri.
Niende moja Kwa moja kwenye mada class mate wangu huyo kutokana na ukaribu nliokuwa nao japo tupo mikoa miwili tofauti ila amekuwa akinishirisha mambo kadhaa juu ya mahusiano yake na mke wake.
Kufupisha story wamekuwa wakiingia kwenye migogoro ya mara Kwa mara na mke wake hususa mume anapotaka huduma ya kiondoa mke anakuwa anampa sababu ambazo haziishii.
Ila Kwa Jana amenipigia simu kunieleza ujumbe ambao mke wake amemtumia wakati akiwa safarini Sasa anaomba ushauri mimi mwenyewe nimeshindwa kumjibu lolote tangu Jana, nikasema nilete jambo hili hapa jukwaani pengine naweza kupata pa kuanzia kumshauri.
Mke wa class mate wangu huyo amemtumia muwe sms kwamba"haisi chochote kwenye mapenzi na hatamani kufanya tendo la ndoa (ni mke na mume ndoa ya kanisani) na akimsihi mume atafute mtu mwingine ibakie kulea watoto TU kwani wana watoto wawili" Nakaribisha mwenye ushauri wa kujenga atoe ushauri wake ila Kwa ambaye huna ushauri usijibu kejeli.
Safi sana kutukumbusha kanuni ya msingi ya kiasili ya haki: Audi alteram partem, ni lazma tuusikie upande wa pili kabla ya kuhukumu wala kuonyesha hurumaRafiki yako amekuwa akikushirikisha madhaifu ya upande mmmoja, je amewahi kukwambia na yeye jinsi anamkosea mkewe? Uyo dada nna uhakika kuna sababu imemtoa hisia kwa mumewe, labda ni ule usaliti wa mumewe na wamekuwa wakigombana mara nyingi, mke amevumilia hadi amejikuta anamchukia mumewe.....haya maisha wanayaishi wanawake wengi sana kwenye ndoa
Mwanamke wa aina hii ndiye anatakiwa aisee! Hataki kumchosha mumewe....kaamua kumruhusu akamue nje ya ndoa. Safi sanaHabari za ijumaa wadau.Niende moja kwa moja kwenye mada. Nina class mate wangu tupo karibu sana kama ndugu kwenye urafiki wetu.
Sasa anachangamoto ya kimahusiano na mke wake ameniomba ushauri.
Niende moja Kwa moja kwenye mada class mate wangu huyo kutokana na ukaribu nliokuwa nao japo tupo mikoa miwili tofauti ila amekuwa akinishirisha mambo kadhaa juu ya mahusiano yake na mke wake.
Kufupisha story wamekuwa wakiingia kwenye migogoro ya mara Kwa mara na mke wake hususa mume anapotaka huduma ya kiondoa mke anakuwa anampa sababu ambazo haziishii.
Ila Kwa Jana amenipigia simu kunieleza ujumbe ambao mke wake amemtumia wakati akiwa safarini Sasa anaomba ushauri mimi mwenyewe nimeshindwa kumjibu lolote tangu Jana, nikasema nilete jambo hili hapa jukwaani pengine naweza kupata pa kuanzia kumshauri.
Mke wa class mate wangu huyo amemtumia muwe sms kwamba"haisi chochote kwenye mapenzi na hatamani kufanya tendo la ndoa (ni mke na mume ndoa ya kanisani) na akimsihi mume atafute mtu mwingine ibakie kulea watoto TU kwani wana watoto wawili" Nakaribisha mwenye ushauri wa kujenga atoe ushauri wake ila Kwa ambaye huna ushauri usijibu kejeli.
Za kuambiwa changanya na zako.MIMI NA JUA NI WEWE NA HAPO UNACHAPIWA NJE , NA MWANAMKE AMEKUONA BWEGE HUNA PAKWENDA NA ANAJUA AKIKUPEA HUWEZI PIGA SHOW KALI KAMA ZA HUKO NJE ANAZOPEWA KUBALI UKATAE ILA HUU NDIYO UKWELI
Sasa Fanya hivi, tengeneza mazingira huyo mke aende kwao kusalimia na akifika kwao usiwe na time nae kabisa yani kua busy na mambo yako mpaka ahisi humpendi tena na umepata mwanamke mwingine anayekufaya umsahau
Siku akirudi na akikupa mbusu isuse kwa muda jifanye hiyo siku hauko poa alafu endelea kupotezea yani usiwe na time na mbususu yake kabisa wala kuonyesha una hisia nae yoyote ile alafu kua bahili bahili tuu sana, busy na harakati zako , punguza kabisa upendo kijanja, na usionyeshe kutafuta huruma zake. hapa mwanamke atashtuka kuna mahali umetekwa au umepata mwanamke mwingine na lazima atanza kujirudisha pia atakutegea sana minyanduo ila jifanye huelewi somo na siku ingine akikupa ichape kojoa sepa na usimwambie hata asante wala kumsifia yani iwe kama tuu mtu aliyeenda kukojoa chooni na kurudi.
Ili uweze hili na kujiepusha na punyeto. Hakikisha unakademu ka pembeni kakukutoa wenge ila usikape mimba. ( zingatia sana usimpe mimba ila mpe hela)
NB: MFANYIE PSYCHOLOGICAL TORTURE MPAKA AKAE SAWA.
KATAA NDOA , NDOA NI ANASA
(Indirect )Hapo ndo kaambiwa hatakiwi .Amruhusu akaolewe huko nje ana mtu wake, au ana mapepo, halafu akiachika atasema ni single Mama anaonewa, kuna wanawake wana laana.
Ss inahusianaje na kataa ndoa mkuu!Habari za ijumaa wadau. Niende moja kwa moja kwenye mada. Nina class mate wangu tupo karibu sana kama ndugu kwenye urafiki wetu.
Sasa anachangamoto ya kimahusiano na mke wake ameniomba ushauri.
Niende moja Kwa moja kwenye mada class mate wangu huyo kutokana na ukaribu niliokuwa nao japo tupo mikoa miwili tofauti ila amekuwa akinishirisha mambo kadhaa juu ya mahusiano yake na mke wake.
Kufupisha story wamekuwa wakiingia kwenye migogoro ya mara Kwa mara na mke wake hususa mume anapotaka huduma ya kindoa mke anakuwa anampa sababu ambazo haziishii.
Ila Kwa Jana amenipigia simu kunieleza ujumbe ambao mke wake amemtumia wakati akiwa safarini Sasa anaomba ushauri mimi mwenyewe nimeshindwa kumjibu lolote tangu Jana, nikasema nilete jambo hili hapa jukwaani pengine naweza kupata pa kuanzia kumshauri.
Mke wa class mate wangu huyo amemtumia mume sms kwamba "haisi chochote kwenye mapenzi na hatamani kufanya tendo la ndoa (ni mke na mume ndoa ya kanisani) na akimsihi mume atafute mtu mwingine ibakie kulea watoto TU kwani wana watoto wawili" Nakaribisha mwenye ushauri wa kujenga atoe ushauri wake ila Kwa ambaye huna ushauri usijibu kejeli.
YesWakati mwingine unaweza kumlaumu mwanamke kumbe AKAWA na jini Mahaba,
Jini Mahaba Huwa linawamaliza hamu ya NDOa wanawake