'Aliyetaka kuuza mechi ya Simba vs Zamalek 2003 bado ana kinyongo. Tarehe 23 kuweni makini nae'

'Aliyetaka kuuza mechi ya Simba vs Zamalek 2003 bado ana kinyongo. Tarehe 23 kuweni makini nae'

Jina lake lina akisi..kuna sehemu amebanwa hadi anashindwa kupumua
Bichwa kesharudi toka angola kwa lift ya team anayoiombea mabaya usiku na mchana ili CEO Aondoke..kamtafute akupe hela ya soda..ila deal ya jezi feki imebanwa simba safari hi
 
kumuelewa njaakalihatari inatakiwa uwe na data jumuishi.lile ni moja kati ya wanaomchukia ceo kwa kubana mianya ya upigaji.zee zima lina tupa madongo kwa binti yake[emoji28][emoji23][emoji125][emoji125]

Sent using Jamii Forums mobile app
haya mazee yamejenga yamesomesha kupitia club ya simba hayawezi kumpenda huyu dada, sasa wanatuumiza sana wengine kwa kuiharibia simba kwa manufaa yao ili tumchukie huyo bi dada, inakera sana
 
Niliwahi kumtaja Simba wa Yuda kwenye uzi fulani humu kuwa naye ni nyoka wadau wakaniwakia sana. Barbara ana maadui wengi na ndiyo wako radhi Simba iumie ili mradi tu wafanikiwe kumtoa Barbara hapo.
Na kwa sasa hata zile simu za waandishi wa habari makanjanja kuwapigia akina Kassim Dewji na Aden Rage zimepugua..!

Na hata wao kwenda kwenye vituo vya radio na kuongea mazagazaga kuhusu CEO na Bodi ya Simba SC pia kumepungua.

Na hata Kigwangala sijamuona anaTweet lolote kuhusu mwendo wa Simba SC kwa sasa.

Wote wanasubiri fursa tupoteze game, tufanye vibaya uone lawama kwa CEO, wao wanadhani mafaniko yanakuwa milele tu, hivyo kwenye jamii huwezi kuwakosa wacha waendelee tu.
 
Mbona mmekuwa mkipoteza Mara kwa Mara ndugu yangu na Babra bado anapeta tu?hebu wacha tabia mbaya ya uchochezi mkuu
 
Na kwa sasa hata zile simu za waandishi wa habari makanjanja kuwapigia akina Kassim Dewji na Aden Rage zimepugua..!

Na hata wao kwenda kwenye vituo vya radio na kuongea mazagazaga kuhusu CEO na Bodi ya Simba SC pia kumepungua.

Na hata Kigwangala sijamuona anaTweet lolote kuhusu mwendo wa Simba SC kwa sasa.

Wote wanasubiri fursa tupoteze game, tufanye vibaya uone lawama kwa CEO, wao wanadhani mafaniko yanakuwa milele tu, hivyo kwenye jamii huwezi kuwakosa wacha waendelee tu.
kabisaaa you nailed it....ndiyo maana hii momentum nzuri simba aliyonayo lazima watataka ifie tarehe 23...rage, kaduguda, kassim dewji(hapa weka na makanjanja yake likiwepo lile lilioenda angola)Kigwangwala.....wanasubiri simba ifungwe nan yanga mashambulizi kwa Barbara yaanze sasa na zile simu za maulidi kitenge zitakuwa za kutosha
 
Mbona mmekuwa mkipoteza Mara kwa Mara ndugu yangu na Babra bado anapeta tu?hebu wacha tabia mbaya ya uchochezi mkuu
Hujawahi ona wala sikia mtikisiko kabisaa simba akipoteza kwa yanga..hukusikia interview ya kassim dewji EFM? hukusikia Rage na kaduguda wanayoyaongea? ukija nyuma ya pazia siyo watakatifu wala kwamba wanaipenda sana simba
Kabla ya kuniambia niache uchochezi, waambie hao watu wamuache huyo dada afanye kazi yake wasiwe makupe wa kuinyonya club , hawajaridhika tu miaka yote hiyo?
 
Back
Top Bottom