Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi nimgeni simjui huyu mtuNjoo kwa ID yako iliyozoelekaView attachment 758790
Mkuu, huo ndio ukweliHahahaaaa!!!
Sawa brooMkuu, huo ndio ukweli
Huyu bibie atakua na stress zake huko, na kimsingi ukiyasoma maandishi yake utagundua kwamba amejeruhiwa na sasa anahitaji faraja kama binadamu, ingawa haonekani kama yupo tayari kupnda kwa sasa zaidi ya kuumizwa na upweke tuKama nakuona ulivyo chukia kwa kauli mbovu
Hahaha,yule jamaa inaonekana yupo serious,hataki utaniDahhh....
Niliuona ule uzi, jamaa kashusha lugha ya bepari na CV utadhani anaomba kazi... tehteehhh
Wakumpa faraja tupo ila tatizo masharti aliyo weka na majibu jeuliHuyu bibie atakua na stress zake huko, na kimsingi ukiyasoma maandishi yake utagundua kwamba amejeruhiwa na sasa anahitaji faraja kama binadamu, ingawa haonekani kama yupo tayari kupnda kwa sasa zaidi ya kuumizwa na upweke tu
sijaumizwa mbondei miye sina kasoro napia kwetu nimekuzwa kujali mme nitakayempata sijaumizwa kwa maana wala sijawahi kuliwa ovyo .Huyu bibie atakua na stress zake huko, na kimsingi ukiyasoma maandishi yake utagundua kwamba amejeruhiwa na sasa anahitaji faraja kama binadamu, ingawa haonekani kama yupo tayari kupnda kwa sasa zaidi ya kuumizwa na upweke tu
Yote yanawezekana mkuuHahaha,yule jamaa inaonekana yupo serious,hataki utani
Basi jibu PM yangu ili tuyajenge, maana namimi natafuta toto la kibondei lenye malezi ya kumtii mume mwenye tabia kama zangu....[emoji39] [emoji39] [emoji39]sijaumizwa mbondei miye sina kasoro napia kwetu nimekuzwa kujali mme nitakayempata sijaumizwa kwa maana wala sijawahi kuliwa ovyo .
so nimetaka kutulia nimeshauriwa hapa.
sijui kuandika serious hii hapo acheni utoto.
kueni for ones
akuu sipendi mtu anayesagia kwanzaUnataka mwanaume handsome na mrefu, je wewe chura ipo?
Mbona wamzibia rizki mtoto wa mwanaume mwenzio?Kwajeuri hii na maneno yasio hekma, wewe hufai kua mke hata kwa kupewa bure aiseeeee