BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Huyu aliombewa MsamahaTunaposema kwamba CCM imeishiwa watu muwe mnaelewa, haiwezekani mtu atenguliwe kwenye U DC mwezi July na kuchafuliwa kila kona, halafu huyo huyo arejeshwe tena baada ya miezi miwili tu.
Hii maana yake ni kwamba nyie wapiga kelele humu JF mkiongozwa na johnthebaptist na mchumia tumbo Lucas mwashambwa hamufai hata kwa kulumangia, nyinyi mtabaki kusifia mauzo ya bandari tu.
Siwahurumii hata kidogo nyie.
View attachment 2759472
Msamaha msamahaHaya ni maigizo kabisa, uchaguzi wa 2024 na 2025 ifike tu tuachane na haya maigizo kwa kweli.
Alisha ombewa msamaha kwa MamaHappens Only In TZ !!!! (INCREDIBLE TZ) !!!!
Hao anao watengua huwa wanaenda wakitembela magoti kwa wastafu kama Kiktwe na Makamba ili waombewe MisamahaHuyu Maza mdini sana. Pitia mageuzi yake ya Leo. 78% ni WA msikitini.
Kwamba alizaliwa ili awe DC tu ?Alisha ombewa msamaha kwa Mama
Noma sana !Vimemo na Kujuana republic.
Huyo mbwa wa shamba atasugua sana bench hajui CCM ni ukoo wa mafisi.
Teuzi za hovyo, huyu kalipwa mafao yote July leo anarudishwa alipwe mamilioni tena ya walipa kodiTunaposema kwamba CCM imeishiwa watu muwe mnaelewa, haiwezekani mtu atenguliwe kwenye U DC mwezi July na kuchafuliwa kila kona, halafu huyo huyo arejeshwe tena baada ya miezi miwili tu.
Hii maana yake ni kwamba nyie wapiga kelele humu JF mkiongozwa na johnthebaptist na mchumia tumbo Lucas mwashambwa hamufai hata kwa kulumangia, nyinyi mtabaki kusifia mauzo ya bandari tu.
Siwahurumii hata kidogo nyie.
View attachment 2759472
CCM ni takataka kabisaUtaachana nayo Kwa tume ipi na katiba gani? Tulieni tu dawa iingie.
Msidhani watawala waovu huwa wanaandika katiba mpya bali wananchi ndio wanapaswa kudai katiba.
...and who are you?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Who's she?
Waislamu wote ni ndugu.Tunaposema kwamba CCM imeishiwa watu muwe mnaelewa, haiwezekani mtu atenguliwe kwenye U DC mwezi July na kuchafuliwa kila kona, halafu huyo huyo arejeshwe tena baada ya miezi miwili tu.
Hii maana yake ni kwamba nyie wapiga kelele humu JF mkiongozwa na johnthebaptist na mchumia tumbo Lucas mwashambwa hamufai hata kwa kulumangia, nyinyi mtabaki kusifia mauzo ya bandari tu.
Siwahurumii hata kidogo nyie.
View attachment 2759472
Hatari aisee 🙌Hakika kama wale chawa wa Lumumba ni mwendo wa buku 7
Aiseeeee !!CCM ni takataka kabisa
Pdf ni lile lile hawaongezi wala kupunguza hata akifa watatafuta basi mdogo wakeTunaposema kwamba CCM imeishiwa watu muwe mnaelewa, haiwezekani mtu atenguliwe kwenye U DC mwezi July na kuchafuliwa kila kona, halafu huyo huyo arejeshwe tena baada ya miezi miwili tu.
Hii maana yake ni kwamba nyie wapiga kelele humu JF mkiongozwa na johnthebaptist na mchumia tumbo Lucas mwashambwa hamufai hata kwa kulumangia, nyinyi mtabaki kusifia mauzo ya bandari tu.
Siwahurumii hata kidogo nyie.
View attachment 2759472
Akina Kipara kipya hadi wamechoka sasa wamekimbia vita.Vyeo vya CCM vinahitaji Network na Kujuana, kama haupo kwenye circle yao utaendelea kulipwa buku 7 hadi Unazeeka 🙌
HeheheMkuu karibu tena Jukwaani , sisi bado tunawaburuza tu humu hawa chawa