Aliyetenguliwa Julai Temeke arejeshwa Septemba Mtwara

Aliyetenguliwa Julai Temeke arejeshwa Septemba Mtwara

Tunaposema kwamba CCM imeishiwa watu muwe mnaelewa, haiwezekani mtu atenguliwe kwenye U DC mwezi July na kuchafuliwa kila kona, halafu huyo huyo arejeshwe tena baada ya miezi miwili tu.

Hii maana yake ni kwamba nyie wapiga kelele humu JF mkiongozwa na johnthebaptist na mchumia tumbo Lucas mwashambwa hamufai hata kwa kulumangia, nyinyi mtabaki kusifia mauzo ya bandari tu.

Siwahurumii hata kidogo nyie.

View attachment 2759472
Huyu aliombewa Msamaha
 
Vimemo na Kujuana republic.

Huyo mbwa wa shamba atasugua sana bench hajui CCM ni ukoo wa mafisi.
 
Tunaposema kwamba CCM imeishiwa watu muwe mnaelewa, haiwezekani mtu atenguliwe kwenye U DC mwezi July na kuchafuliwa kila kona, halafu huyo huyo arejeshwe tena baada ya miezi miwili tu.

Hii maana yake ni kwamba nyie wapiga kelele humu JF mkiongozwa na johnthebaptist na mchumia tumbo Lucas mwashambwa hamufai hata kwa kulumangia, nyinyi mtabaki kusifia mauzo ya bandari tu.

Siwahurumii hata kidogo nyie.

View attachment 2759472
Teuzi za hovyo, huyu kalipwa mafao yote July leo anarudishwa alipwe mamilioni tena ya walipa kodi
 
Yawezekana hawana mvuto hata kidogo Kwa wana-pdf...
pdf la mrembo yuleee, ndy Kila kitu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tunaposema kwamba CCM imeishiwa watu muwe mnaelewa, haiwezekani mtu atenguliwe kwenye U DC mwezi July na kuchafuliwa kila kona, halafu huyo huyo arejeshwe tena baada ya miezi miwili tu.

Hii maana yake ni kwamba nyie wapiga kelele humu JF mkiongozwa na johnthebaptist na mchumia tumbo Lucas mwashambwa hamufai hata kwa kulumangia, nyinyi mtabaki kusifia mauzo ya bandari tu.

Siwahurumii hata kidogo nyie.

View attachment 2759472
Waislamu wote ni ndugu.
 
Tunaposema kwamba CCM imeishiwa watu muwe mnaelewa, haiwezekani mtu atenguliwe kwenye U DC mwezi July na kuchafuliwa kila kona, halafu huyo huyo arejeshwe tena baada ya miezi miwili tu.

Hii maana yake ni kwamba nyie wapiga kelele humu JF mkiongozwa na johnthebaptist na mchumia tumbo Lucas mwashambwa hamufai hata kwa kulumangia, nyinyi mtabaki kusifia mauzo ya bandari tu.

Siwahurumii hata kidogo nyie.

View attachment 2759472
Pdf ni lile lile hawaongezi wala kupunguza hata akifa watatafuta basi mdogo wake
 
Vyeo vya CCM vinahitaji Network na Kujuana, kama haupo kwenye circle yao utaendelea kulipwa buku 7 hadi Unazeeka 🙌
Akina Kipara kipya hadi wamechoka sasa wamekimbia vita.

Haiwezekani Nchi nzima lakini teuzi ni watu wale wale. Hata akifukuzwa huku wanasubiri nafasi nyingine wampeleke kule as if hakuna watu wengine.

Cc Maharage Juma Pumba.
 
Back
Top Bottom