Kb Ulayaulaya
JF-Expert Member
- Jan 5, 2023
- 727
- 1,059
Duh🤭🤭
Asante mkuu,basi hapo Kuna ulaji upande B hauko sawa.
Nchi ngumu Sana hii
Asante mkuu,basi hapo Kuna ulaji upande B hauko sawa.
Nchi ngumu Sana hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wengine wanawekaHaswa kama UK walikuwa wanasumbuliwa na 3D ila sasa ni Legal kwa sababu wameboresha camera hakuna ujanja tena View attachment 2939110
KUNA MTU MAALUM KAMPUNI MAALUM SOON ATAANZA YEYE KUZIWEKA HIZO 3D NUMBERS PLATEMkuu,
Kimantiki una kesi kubwa sana na inayokubalika unaweza kuijenga hapo, hata kabla ya kuangalia the nitty gritty detail huko.
Haiwezekani tudanganywe 3D numbers zina tatizo kusomeka wakati tunaona hizo nchi zilizoendelea zenyewe wanazotuambia wameweka mpaka muongozo wa kuweka legal 3D numbers. Nimeweka link hapo.
Walifikiri hatutaweza hata ku Google?
Wanadanganya mpaka vitu tunavyoweza ku Google na kupata majibu ndani ya dakika tano tu.
Mapolisi yetu mengi bure kabisa.Siongei chochote, ila nauliza tu, baada ya kubandua, hizo namba zinapofutika, ndio Camera za polisi zinaweza kusoma?View attachment 2938786
==========================
=========================
View attachment 2939407
Africa majangaKuna wengine wanaweka
KUNA MTU MAALUM KAMPUNI MAALUM SOON ATAANZA YEYE KUZIWEKA HIZO 3D NUMBERS PLATE
WANAZUNGUKA TU MBUYU HAO
ova
Hii kazi ya plate numbers ilikuwa ya kina Masasi enzi zetu.Kuna wengine wanaweka
KUNA MTU MAALUM KAMPUNI MAALUM SOON ATAANZA YEYE KUZIWEKA HIZO 3D NUMBERS PLATE
WANAZUNGUKA TU MBUYU HAO
ova
Heee, kumbe!Kuna wengine wanaweka
KUNA MTU MAALUM KAMPUNI MAALUM SOON ATAANZA YEYE KUZIWEKA HIZO 3D NUMBERS PLATE
WANAZUNGUKA TU MBUYU HAO
ova
Wanaotengeneza number plates wamepewa tenda kihalali na wanalipia vibari vyao. Hawa wa 3D hawako kisheria. Walio lalamika ni wenye leseni halali ya kutengeneza number plates kuhusu masirahi yao.
Cameras zimesingiziwa tu kuongeza uzito.