Najua Police excuse yao kubwa ni namba hazisomwi na camera zao wanaotegesha zisome madeni etc.
Ila twende na technology, Police wanatakiwa wawe na magari ya patrol ambayo yapo equiped na ANPR cameras (Automatic Number Plate Recognition Cameras). Ambayo inafanya kazi kama zile camera zao wanazotegesha njiani zina detect magari yasio na bima, yenye madeni na yenye uharifu.
View attachment 2938807
Issue ya kuzingizia 3D numbers ñi kwasababu vifaa vyetu vipo outdated sana.
Baadhi ya Nchi zilioendelea wameweka 3D numbers kama premium option tu kwa magari, na wala haikatazwi.
View attachment 2938810