Aliyetufikisha Uchumi wa Kati ni Kikwete na siyo Magufuli, acheni kudanganya!

Aliyetufikisha Uchumi wa Kati ni Kikwete na siyo Magufuli, acheni kudanganya!

The road less traveled – unleashing public private partnerships in Tanzania​

8TH TANZANIA ECONOMIC UPDATE, MAY 2016.
The Tanzanian economy has grown at an average annual rate of around 6-7 percent for more than a decade. The rate of inflation has declined since January 2016, although it trended upwards in the preceding few months due to increases in domestic food prices and the lagged impacts of the sharp depreciation of the Tanzanian Shilling during the first half of 2015. However, the Shilling stabilized in the second half of 2015, with the real exchange rate now close to the equilibrium level. The current account deficit has also improved, standing at around 8.7 percent of GDP in 2014/15. The level of aid inflows declined during 2014/15, although this was offset by increases in FDI and external non-concessional borrowing, maintaining the overall balance of payments in a stable position. Tanzania's infrastructure and social services deficits are already massive and projected to increase into the future. Traditional financing instruments are clearly insufficient to bridge the profound gap between existing public resources and financing requirements. By leveraging synergy between the public and private sectors, PPPs can mobilize additional sources of finance to fund the development of vitally needed infrastructure; to deliver on budget and on time to a greater extent than in the case of publicly financed projects; and to deliver higher quality services than in the case of publicly managed projects. Tanzania’s own policy documents identify PPP as a key instrument to attract new investment and to deliver infrastructure more efficiently.
 
Na mleta mada huyu huyu alikuwa anasema tz haijawahi kuwa uchumi wa kati
 
Uchumi wa kati tumeingia kwa takwimu za WB za kuishia mwaka 2015. Ushahidi Ni kufungwa kwa NGOs zilizokuwa zina deal na poverty alleviation kama Worldwide Concern iliyofunga ofisi mnamo May 2016.

JK alikuwa siyo mtu wa kupiga debe sana ndiyo maana Watanzania wengi hawajui. Mwendazake yeye alikuwa anapenda MASIFA sana ndiyo maana hata akina Kangi Lugola na Aggrrey Mwanri waliposema yeye ni kama Mungu aliona sawa tu
Fact
 
Unajua hawa watu wanatufanya mazezeta aisee ukweli ni kwamba kikwete ndo alifanya Tanzania kuingia uchumi wa kati kwa hoja zifuatazo:

Kwanza kabisa kigezo cha kua uchumi wa kati mdogo unapaswa uwe na Per capita income ambayo ni dola za kimarekani $1036 hadi $4045.

Kwa uchumi wa kati mkubwa unapaswa kuwa na per capita income ambaye ni dola za kimarekani $4046 hadi $12535

Sasa wakati wa kikwete alipambana sana hadi tukakaribia point zote kuwa uchumi wa kati kabisa

Mfano mdogo tu mwaka 2014 per capita income ilikua dola za kimarekani $1030 ambapo ukitazama hapo ilibakia point 6 tu ili kufikia dola $1036 ambazo zinahitajika kuwa uchumi wa kati sasa hapo kwa lugha rahisi ni kikwete ndo alitufikisha uchumi wa kati

Jpm miaka yote mitano hakuweza zaidi ya kuongeza hizo point 6 tu nawaambia mfano jk angekua madarakani hadi 2020 Tanzania ingekua kwenye per capita income ya $2000 hadi $5000 au zaidi ya hapo maana jk alikua anaenda kiutekelezaji wa dira hii ya 2025 ambayo muasisi ni mzee mkapa ambapo alitaka ikifika 2025 Tanzania iwe tumefika $3000 na kuendelea

Pia msisahau vipaumbele vya jk 2010-2015 vilikua ni kuibua fursa za maendeleo tz ambapo pia.

2015-2020 vipaumbele vingekua ni tz ya viwanda ambavyo jpm alituaminisha ni yeye lakini hii ilikua kwenye priority ya Jk na hii sera jpm amefeli vibaya sana.

Pia 2020- 2025 vipaumbele ni kuimarisha tz katika ushindani na katika masoko ambapo ndo tunamuona mama Samia akipambana na atafanikiwa.

Pia tusisahau awamu ya nne na tatu uchumi ulikua hadi 7% lakini toka jpm kaingia uchumi ulidumaa hadi asilimia 4 kwa sababu ya sera zake mbovu.

Anayestahili kupewa sifa ni Jk kwa kutupeleka uchumi wa kati na sio Jpm maana hakuna alichofanya.

Rejea hotuba ya Jk msiba wa Rais Mkapa video[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]kuanzia dk ya 9 hadi mwisho kaeleza[emoji1313][emoji1313]


My take

Mnaoteseka na hizi hoja huu ndo ukweli, na ukweli utabaki kuwa ukweli na lazima usemwe,zama za kupika data, na kudanganya zimepitwa na wakati, mnaopinga leteni ukweli wenu mnaodai sasa.

Leteni hoja zenu zinazothibitisha kwamba jpm ndo alitufikisha uchumi wa kati ukweli ndo huo hakuna kitu kama hicho ashukuriwe Jk na mkapa!
Kwani kuna mtu anabisha kwa hilo?
 
Unajua hawa watu wanatufanya mazezeta aisee ukweli ni kwamba kikwete ndo alifanya Tanzania kuingia uchumi wa kati kwa hoja zifuatazo:

Kwanza kabisa kigezo cha kua uchumi wa kati mdogo unapaswa uwe na Per capita income ambayo ni dola za kimarekani $1036 hadi $4045.

Kwa uchumi wa kati mkubwa unapaswa kuwa na per capita income ambaye ni dola za kimarekani $4046 hadi $12535

Sasa wakati wa kikwete alipambana sana hadi tukakaribia point zote kuwa uchumi wa kati kabisa

Mfano mdogo tu mwaka 2014 per capita income ilikua dola za kimarekani $1030 ambapo ukitazama hapo ilibakia point 6 tu ili kufikia dola $1036 ambazo zinahitajika kuwa uchumi wa kati sasa hapo kwa lugha rahisi ni kikwete ndo alitufikisha uchumi wa kati

Jpm miaka yote mitano hakuweza zaidi ya kuongeza hizo point 6 tu nawaambia mfano jk angekua madarakani hadi 2020 Tanzania ingekua kwenye per capita income ya $2000 hadi $5000 au zaidi ya hapo maana jk alikua anaenda kiutekelezaji wa dira hii ya 2025 ambayo muasisi ni mzee mkapa ambapo alitaka ikifika 2025 Tanzania iwe tumefika $3000 na kuendelea

Pia msisahau vipaumbele vya jk 2010-2015 vilikua ni kuibua fursa za maendeleo tz ambapo pia.

2015-2020 vipaumbele vingekua ni tz ya viwanda ambavyo jpm alituaminisha ni yeye lakini hii ilikua kwenye priority ya Jk na hii sera jpm amefeli vibaya sana.

Pia 2020- 2025 vipaumbele ni kuimarisha tz katika ushindani na katika masoko ambapo ndo tunamuona mama Samia akipambana na atafanikiwa.

Pia tusisahau awamu ya nne na tatu uchumi ulikua hadi 7% lakini toka jpm kaingia uchumi ulidumaa hadi asilimia 4 kwa sababu ya sera zake mbovu.

Anayestahili kupewa sifa ni Jk kwa kutupeleka uchumi wa kati na sio Jpm maana hakuna alichofanya.

Rejea hotuba ya Jk msiba wa Rais Mkapa video[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]kuanzia dk ya 9 hadi mwisho kaeleza[emoji1313][emoji1313]


My take

Mnaoteseka na hizi hoja huu ndo ukweli, na ukweli utabaki kuwa ukweli na lazima usemwe,zama za kupika data, na kudanganya zimepitwa na wakati, mnaopinga leteni ukweli wenu mnaodai sasa.

Leteni hoja zenu zinazothibitisha kwamba jpm ndo alitufikisha uchumi wa kati ukweli ndo huo hakuna kitu kama hicho ashukuriwe Jk na mkapa!

Ukitaka. kufanya analysis vizuri siku zote uwe objectively yaani chuki na mahaba binafsi uweke pembeni.

Kila rais anapoingia madarakani anakuta mipango iliyopangwa na aliyemtangulia , anaitekeleza hiyo na kuanzisha mingine mipya hivyo kinachofanikiwa wakati wa rais husika tunasema kimefanywa na rais huyo na sio aliyetangulia.

Unadai kuwa Jk alibakiza pointi sita tu lakini uelewe kuwa kinachozungumzwa ni per capita GNI ambayo inahusisha pia ongezeko la watu usichofahamu ni kuwa idadi ya watu mwaka 2015 sio ile ya mwaka 2019. hizo pointi 6 za mwaka 2015 sio zile zile za mwaka 2019.

Pili mipango ya kuupeleka nchi uchumi wa kati iliasisiwa na Mkapa mwaka 1999 kupitia TDV 2025 ( Dira ) ambapo iliwekwa kuwa kufikia mwaka huo Tanzania iwe ya uchumi wa kati. Hatua mbalimbali za kimkakati zilitayarishwa ambapo ilianzwa na kupunguza umasikini kama vile PRS, MKUKUTA I & II. institutional reforms nk . Baada ya kupunguza umasikini kwa kuwango kilichowekwa ndipo wakati wa Jk kwa kumtumia Dr Mpango ukaandaliwa long term perspective plan wa miaka 15 ambao uligawanywa katika vipindi vitatu vya miaka mitano mitano. mpango wa kwanza wa miaka 5 ulilenga kuifungua nchi kwa kuboresha miundombinu ya barabara, reli, bandari ( 2011/12 - 20115/16 ), mpango wa pili ulilenga zaidi kujenga viwanda ( 2016/17-2020/21). Mpango wa tatu ( 2021/22-2025/26) ulilenga export zaidi ya product za viwanda. Mipango yote hiyo ya maendeleo ilidizainiwa na Dr Mpango wakati wa JK akitumia dira ya Mkapa ya mwaka 2025. Hivyo utaona kila rais kati ya hawa watatu waliopita alikuwa na kipande chake alichotekeleza; huyu wa sasa naye atatekeleza mpango wa maendekeo wa tatu na wa mwisho katika mlolongo huo wa long term perspective plan.

Hivyo aliyeiingiza nchi uchumi wa kati ni JPM, Mkapa alidesign road map kuelekea uchumi wa kati na pia kujikita zaidi kupunguza umaskini na kujenga mifumo na JK alitengeneza long term perspective plan na kujenga zaidi miundombinu ( awamu ya 1) ingawa waziri aliyeijenga alikuwa JPM. JPM alishughulika na awamu ya 2 ya olan na awamu ya 3 ya plan itakamilishwa na SSH.

Hivyo kila rais alikuwa/ana role katika kusukuma maendeleo ya nchi.
 
Kwa uchumi wa kati aliyecheza karata vizuri ni JK na Mkapa yule mzee wa chemistry mchango na uelewa wake ni mdogo kwenye uchumi
 
Mwisho wa siku mtasema JPM Haujawahi kua Rais wa TZ.

Mbona mmahangaika hvyo wajukuu wa Msoga?
Nyinyi ni miongoni mwa awamu zilizokua za hovyo kuwahi tokea,hata mfagiaji wa ofisi tu aliiba na mafisadi na matapeli kama pappas MSOFE walijaa mtaani
Nakumbuka wakati ule madaktari wamegoma watu wanakufa muhimbili halafu JK anabembea na mama Salma kule Jamaica.
 
Historia ya Magufuli haitawezwa kufutwa KAMWE. Nyie wazembe , mafisadi, wala rushwa,majizi, watumbuliwaji mtaendelea kupiga kelele dhidi ya ukweli lakini hamwezi na hamtaweza kuufuta.

Magufuli atasomwa kwa mazuri mashuleni na watoto wenu na Africa nzima. Najua unachuki na sababu inajulikana kati ya hizo juu. Ila Magufuli alikuwa jembe, chuma.

Ukitaka kuamini wananchi walimwelewa angalia umati uliojitokeza kumuaga na kumzika...usijiangalie ww na wenzako mnaobwabwaja kwenye mitandao. Wenye akili zao wanajua Magu alikuwa chuma na ndiye aliyetupeleka uchumi wa kati.
JPM kaweka rada nne nchi yote ipo chini ya uangalizi salama, hakuna tena zile ndege za wizi zilizokuwa zinachukua mawe ya dhahabu kila alhamisi pale bulyanhulu.

Alifanya mengi ya maana, usafiri maziwani umerudi.

Wanajaribu kumponda JPM lakini huko mikoani walipo wananchi wa kawaida huwaambii kitu wakakuelewa.
 
Back
Top Bottom