Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kipite kwanza hiki kizazi cha ngonoLazima kutokee mwenye kuthubutu
Asilimia 69 ama unaweza kuhamisha 6 au 9 ikawa aslimia 96 ya watanzania wanawaza ngono na trivial mattersKitu kinatunyima fursa ya kufika mahali ni kupenda umbea hasa linapozushwa jambo la mahusiano.
Mjadala wa Katibu na Masanja umetuhamisha na mitandao imetawala taarifa ambayo haijulikani ni kweli au ni kitu cha kutengeneza.
Watanzania warahisi sana kuwahamisha kwenye Reli hasa ukileta mambo ya ngono ngono.
Tunahitaji ukombozi wa fikra kabla ya kudai Katiba mpya, tunakuza yasiyopaswa kukuzwa. Kwa kifupi ni warahisi kusahaulishwa na upuuzi!
Umeiona video ya huyo mwanamke wa boss wako akiliwa na ndogo kabisa, na Ni fundi haswa? We endelea kumtetea mchungaji wa mchongoHouse girl sio binadamu kama wewe? Nyie ndio wale wale
Present generation is not fit for purpose, so let nature solve the problem. Ni hivi asili ina ina muhimili wake inauzunguka, na huo mzunguko una stages (Generation) na kila stage au generation ina aina ya watu wake ( Aidha wenye akili sana, wenye nguvu sana, warembo sana nk nk) Sasa kizazi hiki cha hovyo hovyo especially Africans and black people around the world kinafikia mwisho wake. Kinakuja kizazi kinachojitambua kama kile cha miaka ya 1800.Nini kifanyike Sasa?
Tutakuwepo Kwenye hicho kizazi au ndio tutakuwa tumeshakufa.Present generation is not fit for purpose, so let nature solve the problem. Ni hivi asili ina ina muhimili wake inauzunguka, na huo mzunguko una stages (Generation) na kila stage au generation ina aina ya watu wake ( Aidha wenye akili sana, wenye nguvu sana, warembo sana nk nk) Sasa kizazi hiki ha hovyo hovyo especially Africans and black people around the world kinafikia mwisho wake. Kinakuja kizazi kinachojitambua kama kile cha miaka ya 1800.
Kitu kinatunyima fursa ya kufika mahali ni kupenda umbea hasa linapozushwa jambo la mahusiano.
Mjadala wa Katibu na Masanja umetuhamisha na mitandao imetawala taarifa ambayo haijulikani ni kweli au ni kitu cha kutengeneza.
Watanzania warahisi sana kuwahamisha kwenye Reli hasa ukileta mambo ya ngono ngono.
Tunahitaji ukombozi wa fikra kabla ya kudai Katiba mpya, tunakuza yasiyopaswa kukuzwa. Kwa kifupi ni warahisi kusahaulishwa na upuuzi!
Sisi definitely hatutakuwepo labda uzao wa mwanaoTutakuwepo Kwenye hicho kizazi au ndio tutakuwa tumeshakufa.
Nakazia hapohapoUchawi kwenye mwenge.
Mimi nimeiona,na pia ninayo kwenye pc yangu hiyo video, Ni mwenyewe yule mwanamke,Tena analiwa nyuma huku anagumia utamu, na kwa kuungalia hile njia yake ya haja kubwa inaonekana hata baba mchungaji nae ni mzee wa kutibua tope, maana mwanamke nyuma hakuna lock kabisaUna uhakika au unaongea ilamradi una mdomo