Aliyetuloga Watanzania ni nani?

Aliyetuloga Watanzania ni nani?

Kitu kinatunyima fursa ya kufika mahali ni kupenda umbea hasa linapozushwa jambo la mahusiano.

Mjadala wa Katibu na Masanja umetuhamisha na mitandao imetawala taarifa ambayo haijulikani ni kweli au ni kitu cha kutengeneza.

Watanzania warahisi sana kuwahamisha kwenye Reli hasa ukileta mambo ya ngono ngono.

Tunahitaji ukombozi wa fikra kabla ya kudai Katiba mpya, tunakuza yasiyopaswa kukuzwa. Kwa kifupi ni warahisi kusahaulishwa na upuuzi!
Asilimia 69 ama unaweza kuhamisha 6 au 9 ikawa aslimia 96 ya watanzania wanawaza ngono na trivial matters
 
House girl sio binadamu kama wewe? Nyie ndio wale wale
Umeiona video ya huyo mwanamke wa boss wako akiliwa na ndogo kabisa, na Ni fundi haswa? We endelea kumtetea mchungaji wa mchongo
 
Nini kifanyike Sasa?
Present generation is not fit for purpose, so let nature solve the problem. Ni hivi asili ina ina muhimili wake inauzunguka, na huo mzunguko una stages (Generation) na kila stage au generation ina aina ya watu wake ( Aidha wenye akili sana, wenye nguvu sana, warembo sana nk nk) Sasa kizazi hiki cha hovyo hovyo especially Africans and black people around the world kinafikia mwisho wake. Kinakuja kizazi kinachojitambua kama kile cha miaka ya 1800.
 
Present generation is not fit for purpose, so let nature solve the problem. Ni hivi asili ina ina muhimili wake inauzunguka, na huo mzunguko una stages (Generation) na kila stage au generation ina aina ya watu wake ( Aidha wenye akili sana, wenye nguvu sana, warembo sana nk nk) Sasa kizazi hiki ha hovyo hovyo especially Africans and black people around the world kinafikia mwisho wake. Kinakuja kizazi kinachojitambua kama kile cha miaka ya 1800.
Tutakuwepo Kwenye hicho kizazi au ndio tutakuwa tumeshakufa.
 
Mleta mada hata wewe kwa kuanzisha hii thd pia umeendeleza kulikuza hilo jambo.
 
Well, well sasa ni vipi tutaondoa hii mentality ili tupate watu wapambanaji kama wale wa kule Iran??? maana kule si mtoto, si mama, si baba si kijana na si mzee wote wako ngangari nchi inatikisika tena kwa kutumia hii hii mitandao... Kwanza tubadilishe mind sets zetu, ila nafikiri tatizo kubwa ni elimu yetu ni ya kuunga unga sana.
 
Kitu kinatunyima fursa ya kufika mahali ni kupenda umbea hasa linapozushwa jambo la mahusiano.

Mjadala wa Katibu na Masanja umetuhamisha na mitandao imetawala taarifa ambayo haijulikani ni kweli au ni kitu cha kutengeneza.

Watanzania warahisi sana kuwahamisha kwenye Reli hasa ukileta mambo ya ngono ngono.

Tunahitaji ukombozi wa fikra kabla ya kudai Katiba mpya, tunakuza yasiyopaswa kukuzwa. Kwa kifupi ni warahisi kusahaulishwa na upuuzi!
 
Una uhakika au unaongea ilamradi una mdomo
Mimi nimeiona,na pia ninayo kwenye pc yangu hiyo video, Ni mwenyewe yule mwanamke,Tena analiwa nyuma huku anagumia utamu, na kwa kuungalia hile njia yake ya haja kubwa inaonekana hata baba mchungaji nae ni mzee wa kutibua tope, maana mwanamke nyuma hakuna lock kabisa
 
Back
Top Bottom