Wapendwa kwa unyenyekevu natanguliza salamu kwenu nyote.
Nimeamua kuanza kununua bidhaa kama mikoba na pochi za wanawake moja kwa moja kutoka China kupitia Alibaba na Aliexpress na kuzileta hapa nikauza, sasa nimeout source baadhi ya supplier kwenye hiyo mitandao na kuona bei zao ni rafiki sana.
Sasa naomba uzoefu kwa mzigo wa milioni moja wa bidhaa hizo gharama za usafiri kupitia Silent Ocean zinaweza kufika kiasi gani? maana nimefuatilia wanasema wanacharge kwa CBM, sasa kwa wazoefu wa kusafirisha bidhaa na hao ndugu naomba japo kujua kadirio la gharama kwa mzigo wa mikoba na pochi wenye thamani ya millioni moja
Ahsanteni
------------------------------------------
Mrejesho
---------------------------------------------------
Ahsanteni sana wadau kwa mchango wenu wa ufafanuzi na uzoefu wenu, nilifanikiwa kusafirisha mzigo wangu wa kwanza kutoka china kwa kuwatumia hao Silent Ocean na hilo lilifanikiwa kutokana na uzoefu ambao mlinishirikisha hapa, na sasa najiona kuwa mfanyabiashara anaye yaelekea mafanikio kwa kuwa nimeanza kufanya hivyo kwa kila bidhaa ambazo wateja wangu wanahitaji.
Mungu awabariki sana
Nimeamua kuanza kununua bidhaa kama mikoba na pochi za wanawake moja kwa moja kutoka China kupitia Alibaba na Aliexpress na kuzileta hapa nikauza, sasa nimeout source baadhi ya supplier kwenye hiyo mitandao na kuona bei zao ni rafiki sana.
Sasa naomba uzoefu kwa mzigo wa milioni moja wa bidhaa hizo gharama za usafiri kupitia Silent Ocean zinaweza kufika kiasi gani? maana nimefuatilia wanasema wanacharge kwa CBM, sasa kwa wazoefu wa kusafirisha bidhaa na hao ndugu naomba japo kujua kadirio la gharama kwa mzigo wa mikoba na pochi wenye thamani ya millioni moja
Ahsanteni
------------------------------------------
Mrejesho
---------------------------------------------------
Ahsanteni sana wadau kwa mchango wenu wa ufafanuzi na uzoefu wenu, nilifanikiwa kusafirisha mzigo wangu wa kwanza kutoka china kwa kuwatumia hao Silent Ocean na hilo lilifanikiwa kutokana na uzoefu ambao mlinishirikisha hapa, na sasa najiona kuwa mfanyabiashara anaye yaelekea mafanikio kwa kuwa nimeanza kufanya hivyo kwa kila bidhaa ambazo wateja wangu wanahitaji.
Mungu awabariki sana