Aliyetumia Silent Ocean - naomba msaada wa ufafanuzi

Aliyetumia Silent Ocean - naomba msaada wa ufafanuzi

Unao chukua nafasi ndogo kuliko hiyo cbm inakuaje
kama mzigo wako uko na size chini ya cbm, utazidisha size ya mzigo na 400$ ambayo ndio gharama ya usafiri kwa CBM, the utapata bei ya kusafirisha mzigo wako.

Mfano mzigo wako una 0.3CBM itakuwa 0.3*400$ = 120$, kwa hiyo 120$ ndiyo itakuwa gharama ya usafiri.
 
kama mzigo wako uko na size chini ya cbm, utazidisha size ya mzigo na 400$ ambayo ndio gharama ya usafiri kwa CBM, the utapata bei ya kusafirisha mzigo wako.

Mfano mzigo wako una 0.3CBM itakuwa 0.3*400$ = 120$, kwa hiyo 120$ ndiyo itakuwa gharama ya usafiri.
Vizuri sana ipo pouwa!

Kingine hawa jamaa hawausiki na kukunulia mzigo au kumkutanusha na seller kama security ya malipo unayotaka kufanya!!?

Yaani! Wao wapo china na tz! Mimi nimeona kitu kwa seller china kupitia alibaba au aliexpress au made in china, labda kina gharimu zaidi ya millioni moja, hivyo namuunganisha seller na wao ili wakamilishe deal as security kuliko kuituma pesa moja kwa moja kwa mchina huku sina uhakika na atakacho nitumia au asitume kabisa!!?
 
Vizuri sana ipo pouwa!

Kingine hawa jamaa hawausiki na kukunulia mzigo au kumkutanusha na seller kama security ya malipo unayotaka kufanya!!?

Yaani! Wao wapo china na tz! Mimi nimeona kitu kwa seller china kupitia alibaba au aliexpress au made in china, labda kina gharimu zaidi ya millioni moja, hivyo namuunganisha seller na wao ili wakamilishe deal as security kuliko kuituma pesa moja kwa moja kwa mchina huku sina uhakika na atakacho nitumia au asitume kabisa!!?
Hawahusiki na kukununulia mizigo, ila Alibaba ni sehemu salama kununua mizigo kwa China, kikubwa angalia profile ya supplier wako, soma comments za wateja wengine (kuwa makini pia kuna scammers comments pia), soma specifications za bidhaa unayotaka kununua (picha hudanganya sana ikiwezekana mwambie akutumie video ya bidhaa uione), kama unachukua mzigo mkubwa ni bora ukanunua sample kidogo akutumie ili kuangalia ubora wa bidhaa kabla hujanunua mzigo mkubwa (njia hii imenisaidia sana). Baada ya hapo chat na supplier wako akutengenezee order ya product unayotaka na unampa addrress ya silent ocean, then fanya malipo kwa Alibaba, usilipie nje ya alibaba kwa usalama.

Binafsi transaction zangu za alibaba si nyingi sana ila zimevuka 10M kwa sasa, na sijawahi kupata changamoto yoyote kwa kuzingatia hizo tips ambazo nimekupa.
 
Hawahusiki na kukununulia mizigo, ila Alibaba ni sehemu salama kununua mizigo kwa China, kikubwa angalia profile ya supplier wako, soma comments za wateja wengine (kuwa makini pia kuna scammers comments pia), soma specifications za bidhaa unayotaka kununua (picha hudanganya sana ikiwezekana mwambie akutumie video ya bidhaa uione), kama unachukua mzigo mkubwa ni bora ukanunua sample kidogo akutumie ili kuangalia ubora wa bidhaa kabla hujanunua mzigo mkubwa (njia hii imenisaidia sana). Baada ya hapo chat na supplier wako akutengenezee order ya product unayotaka na unampa addrress ya silent ocean, then fanya malipo kwa Alibaba, usilipie nje ya alibaba kwa usalama.

Binafsi transaction zangu za alibaba si nyingi sana ila zimevuka 10M kwa sasa, na sijawahi kupata changamoto yoyote kwa kuzingatia hizo tips ambazo nimekupa.
Sawa , utajuaje Kama unalipia kwa Alibaba, maana anakupa Kama link then una press kununua inakuja kulipa kwa Visa card nk
 
Ukiagiza simu Moja smart phone kwa Silent ocean inaweza gharimu bei Gani?
 
Mm Naomba uzoefu kwenye mzigo wa laki Moja usafiri ilikugharimu kias gn na pia utajuaje km muuzaji ni mwaminifu na wakat kwenye comment section hata yy anaweza kuforge
Bei ya usafiri haitokani na bei ya mzigo, kwenye meli mizigo inapimwa kwa CBM, inaweza kuwa ni mzigo wa laki ila umechukua nafasi kubwa. Mfani bei ya kusafirisha meza ya laki moja ni kubwa kuliko bei ya kusafirisha simu ya laki tano. So ni muhimu kusoma descriptions za bidhaa vizuri kujua dimensions zake au mwulize supplier wako mzigo wako una cbm ngapi ili ujue mapema kiasi cha gharama ambayo utalipa kwenye usafiri.

Unapofanya review ya comments ni muhimu uangalie pia ambao wame_comment wanatoka nchi gani na utofauti wa user id zao. Kuna baadhi utagundua location ya waliocomment ni moja na user id zinafanana, so kuwa makini nao utapigwa.
 
Bei ya usafiri haitokani na bei ya mzigo, kwenye meli mizigo inapimwa kwa CBM, inaweza kuwa ni mzigo wa laki ila umechukua nafasi kubwa. Mfani bei ya kusafirisha meza ya laki moja ni kubwa kuliko bei ya kusafirisha simu ya laki tano. So ni muhimu kusoma descriptions za bidhaa vizuri kujua dimensions zake au mwulize supplier wako mzigo wako una cbm ngapi ili ujue mapema kiasi cha gharama ambayo utalipa kwenye usafiri.

Unapofanya review ya comments ni muhimu uangalie pia ambao wame_comment wanatoka nchi gani na utofauti wa user id zao. Kuna baadhi utagundua location ya waliocomment ni moja na user id zinafanana, so kuwa makini nao utapigwa.
Kuna supplier wengine wako na miaka 11 wanafanya kazi Ila hawako verified vipi hawawezi kuwa matapeli??
 
Back
Top Bottom