Kama supplier ana muda mrefu na hayuko verified, mimi huwa naangalia comments ambazo amepata kutoka kwa wateja wengine, lakini pia naangalia value za transaction ambazo amefanya hadi sasa, na respond time. Then nafanya maamuzi. Nikiona hivyo vigezo vipo reasonable nanunua kwake.Kuna supplier wengine wako na miaka 11 wanafanya kazi Ila hawako verified vipi hawawezi kuwa matapeli??
Naona umebase sana ana alibaba na kwenye uzi wako mwanzo kabisa uligusia aliexpress....Kama supplier ana muda mrefu na hayuko verified, mimi huwa naangalia comments ambazo amepata kutoka kwa wateja wengine, lakini pia naangalia value za transaction ambazo amefanya hadi sasa, na respond time. Then nafanya maamuzi. Nikiona hivyo vigezo vipo reasonable nanunua kwake.
Napendelea alibaba kwa sababu kule unapata kwa bei nafuu zaidi kuliko aliexpress. Japo kuwa alibaba ni kwa ajili ya wholesaler na aliexpress ni kwa ajili ya retailers ila kama unataka bidhaa as retailer ukichati na supplier anaweza kukuzia kwa bei ndogo ukilinganisha na ile ambayo utapata aliexpress.Naona umebase sana ana alibaba na kwenye uzi wako mwanzo kabisa uligusia aliexpress....
So aliexpress hutumii tena kabisa? As in why unaprefer alibaba over aliexpress ?
Ohooo asante sanaNapendelea alibaba kwa sababu kule unapata kwa bei nafuu zaidi kuliko aliexpress. Japo kuwa alibaba ni kwa ajili ya wholesaler na aliexpress ni kwa ajili ya retailers ila kama unataka bidhaa as retailer ukichati na supplier anaweza kukuzia kwa bei ndogo ukilinganisha na ile ambayo utapata aliexpress.