Aliyeua Mke apatikana Muleba alikokwenda kujificha, akutwa katika harakati za kujiua

Aliyeua Mke apatikana Muleba alikokwenda kujificha, akutwa katika harakati za kujiua

Kaua

Kakikmbia

Kaishi kama digidigi

Kakamatwa

Ataozea jela

Atapoteza kila kitu

Hapo sasa nani ana mawazo ya kiupupu

Ova
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] Msaidie japo kumtembelea gerezani
 
Wana JF

Habari za kuaminika kutoka Muleba ni kwamba, mme wa Irene Mzava amepatikana akiwa hoi katika jaribio la kutaka kujua jana kwa rafiki yake ambaye alienda kujificha lakini ikashindikana baada ya watu kutoa taarifa kuwepo kwake eneo hilo.

Aliona wakinyatia, akafunga milango, akatafuta waya wa umeme extension cable, akajininginiza kwenye feni kwa lengo la kujitoa roho, watu wakawa wanangongea afungue yeye akawa anapambana kujiua ndipo wakamuwahi akiwa hoi, wakampeleka katika hospitali ya Kaigara,wakapima vipimo vyote akaonekana yupo sawa, wakamweka pingu, sasa yupo njiani akiletwa dar kujibu tuhuma za mauaji.

R.I.P Ireni hakika damu yako mzito, jamaa kakamatwa kabla ujazikwa.

Pia soma > Mama wa TRA akutwa amefariki Bunju Beach, mume wake naye amepotea
Aone uzuri wa alikompeleka mkewe
 
Hivi viumbe ndo maana Mungu ametuambia tuishi navyo kwa akili.
nikiri siku moja nilitaka kuua mtoto wa mtu.
Siku moja aliniambia niende kwa mdogo wake jioni ilipofika usiku nikaenda nikampigia nikamwambia nipo nje.akasema anakuja bwana wee.lisaa lizima mtu hatoki nikampigia simu kwani upo wapi akaniambia ametoka amemsindikiza Dada yao alikuja nikamwambia mbona haujaniambia akasema alijua atarudi mapema.nikamsubiri mpaka saa 4 usiku.
Kiukweli nilishikwa na hasiraaa nilitamani nimbamize kichwa ukutani nimpasue lakini nikawaza naweza nikaua alafu nikaja kuishia JELA.nikajituliza Ila Hawa viumbe wanakera Sana.
Mbaya zaidi hapo nimetoka kupotezwa kibarua changu .kazi Sina mwanamke analeta Mambo ya ajabu.unaweza ukawa chizi.nikaamua kwenda nae anavyotaka yeye anitafute sawa asinitafute sawa.mpaka akachoka tukaachana
Si mzoefu wa kuua!!?? Au uzoefu wa nini??
 
Wana JF

Habari za kuaminika kutoka Muleba ni kwamba, mme wa Irene Mzava amepatikana akiwa hoi katika jaribio la kutaka kujua jana kwa rafiki yake ambaye alienda kujificha lakini ikashindikana baada ya watu kutoa taarifa kuwepo kwake eneo hilo.

Aliona wakinyatia, akafunga milango, akatafuta waya wa umeme extension cable, akajininginiza kwenye feni kwa lengo la kujitoa roho, watu wakawa wanangongea afungue yeye akawa anapambana kujiua ndipo wakamuwahi akiwa hoi, wakampeleka katika hospitali ya Kaigara,wakapima vipimo vyote akaonekana yupo sawa, wakamweka pingu, sasa yupo njiani akiletwa dar kujibu tuhuma za mauaji.

R.I.P Ireni hakika damu yako mzito, jamaa kakamatwa kabla ujazikwa.

Pia soma > Mama wa TRA akutwa amefariki Bunju Beach, mume wake naye amepotea
Mnamuokoa kujiua halafu mnamshtaki na akipatikana na hatia anahukumiwa anyongwe hadi kufa.
 
Hivi viumbe ndo maana Mungu ametuambia tuishi navyo kwa akili.
nikiri siku moja nilitaka kuua mtoto wa mtu.
Siku moja aliniambia niende kwa mdogo wake jioni ilipofika usiku nikaenda nikampigia nikamwambia nipo nje.akasema anakuja bwana wee.lisaa lizima mtu hatoki nikampigia simu kwani upo wapi akaniambia ametoka amemsindikiza Dada yao alikuja nikamwambia mbona haujaniambia akasema alijua atarudi mapema.nikamsubiri mpaka saa 4 usiku.
Kiukweli nilishikwa na hasiraaa nilitamani nimbamize kichwa ukutani nimpasue lakini nikawaza naweza nikaua alafu nikaja kuishia JELA.nikajituliza Ila Hawa viumbe wanakera Sana.
Mbaya zaidi hapo nimetoka kupotezwa kibarua changu .kazi Sina mwanamke analeta Mambo ya ajabu.unaweza ukawa chizi.nikaamua kwenda nae anavyotaka yeye anitafute sawa asinitafute sawa.mpaka akachoka tukaachana
Sasa na wewe mtu anakusubirisha muda wote huo upo tu?
 
Huyo alikua hajiui alikua anatania tu. Maana angeshajiua siku nyingi asingeenda hadi huko mbali afu asubiri hadi waje wamkamate
 
Back
Top Bottom