mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
KauaWe ndiyo umewaza upupu
Kakikmbia
Kaishi kama digidigi
Kakamatwa
Ataozea jela
Atapoteza kila kitu
Hapo sasa nani ana mawazo ya kiupupu
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KauaWe ndiyo umewaza upupu
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] Msaidie japo kumtembelea gerezaniKaua
Kakikmbia
Kaishi kama digidigi
Kakamatwa
Ataozea jela
Atapoteza kila kitu
Hapo sasa nani ana mawazo ya kiupupu
Ova
Hajiewi huyo kwanini aue[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] Msaidie japo kumtembelea gerezani
Aone uzuri wa alikompeleka mkeweWana JF
Habari za kuaminika kutoka Muleba ni kwamba, mme wa Irene Mzava amepatikana akiwa hoi katika jaribio la kutaka kujua jana kwa rafiki yake ambaye alienda kujificha lakini ikashindikana baada ya watu kutoa taarifa kuwepo kwake eneo hilo.
Aliona wakinyatia, akafunga milango, akatafuta waya wa umeme extension cable, akajininginiza kwenye feni kwa lengo la kujitoa roho, watu wakawa wanangongea afungue yeye akawa anapambana kujiua ndipo wakamuwahi akiwa hoi, wakampeleka katika hospitali ya Kaigara,wakapima vipimo vyote akaonekana yupo sawa, wakamweka pingu, sasa yupo njiani akiletwa dar kujibu tuhuma za mauaji.
R.I.P Ireni hakika damu yako mzito, jamaa kakamatwa kabla ujazikwa.
Pia soma > Mama wa TRA akutwa amefariki Bunju Beach, mume wake naye amepotea
Hajiewi huyo kwanini aue
Kashaaribu mfumo wote wa maisha yake
Si bora wangepigana chini tu
Ova
Atatoka tu.Shukrani mkuu nimeiona.
Huyu muuaji si mzoefu na labda ni hasira zilimpanda mpaka akafanya huo ujinga
Hivi yule wa kigamboni ametokaAtatoka tu.
Si mzoefu wa kuua!!?? Au uzoefu wa nini??Shukrani mkuu nimeiona.
Huyu muuaji si mzoefu na labda ni hasira zilimpanda mpaka akafanya huo ujinga
Uzoefu wa kuua!? Au uzoefu upi mkuu?Sio mzoefu.. Damu ya mtu hunuka vibaya sana
Si mzoefu wa kuua!!?? Au uzoefu wa nini??
YeahMarehemu ni yule mama wa TRA?
Mnamuokoa kujiua halafu mnamshtaki na akipatikana na hatia anahukumiwa anyongwe hadi kufa.Wana JF
Habari za kuaminika kutoka Muleba ni kwamba, mme wa Irene Mzava amepatikana akiwa hoi katika jaribio la kutaka kujua jana kwa rafiki yake ambaye alienda kujificha lakini ikashindikana baada ya watu kutoa taarifa kuwepo kwake eneo hilo.
Aliona wakinyatia, akafunga milango, akatafuta waya wa umeme extension cable, akajininginiza kwenye feni kwa lengo la kujitoa roho, watu wakawa wanangongea afungue yeye akawa anapambana kujiua ndipo wakamuwahi akiwa hoi, wakampeleka katika hospitali ya Kaigara,wakapima vipimo vyote akaonekana yupo sawa, wakamweka pingu, sasa yupo njiani akiletwa dar kujibu tuhuma za mauaji.
R.I.P Ireni hakika damu yako mzito, jamaa kakamatwa kabla ujazikwa.
Pia soma > Mama wa TRA akutwa amefariki Bunju Beach, mume wake naye amepotea
Eeeh uzoefu wa kuua au hujui kua kuua nako kuna wazoefu wa hizo kazi??Si mzoefu wa kuua!!?? Au uzoefu wa nini??
Sasa na wewe mtu anakusubirisha muda wote huo upo tu?Hivi viumbe ndo maana Mungu ametuambia tuishi navyo kwa akili.
nikiri siku moja nilitaka kuua mtoto wa mtu.
Siku moja aliniambia niende kwa mdogo wake jioni ilipofika usiku nikaenda nikampigia nikamwambia nipo nje.akasema anakuja bwana wee.lisaa lizima mtu hatoki nikampigia simu kwani upo wapi akaniambia ametoka amemsindikiza Dada yao alikuja nikamwambia mbona haujaniambia akasema alijua atarudi mapema.nikamsubiri mpaka saa 4 usiku.
Kiukweli nilishikwa na hasiraaa nilitamani nimbamize kichwa ukutani nimpasue lakini nikawaza naweza nikaua alafu nikaja kuishia JELA.nikajituliza Ila Hawa viumbe wanakera Sana.
Mbaya zaidi hapo nimetoka kupotezwa kibarua changu .kazi Sina mwanamke analeta Mambo ya ajabu.unaweza ukawa chizi.nikaamua kwenda nae anavyotaka yeye anitafute sawa asinitafute sawa.mpaka akachoka tukaachana
Sasa na wewe mtu anakusubirisha muda wote huo upo tu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mzee WA Nimekosa, Nimekosa Mimi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakujipanga sawa na Ndugai tu.