kuduman201036
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 4,058
- 2,175
Hahaha[emoji23] Mwana ana hali ngumu sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mzee WA Nimekosa Mimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha[emoji23] Mwana ana hali ngumu sana
Jamaa zembe sana. Watoto wakali wamejaa kila kona wa moto. Acha kabisa yaani niue kisa unaniletea za kuleta. Ama nakuroga tu au natafuta pini kali naitafuna huku nadondokwa chozi la uroho.Aje apate haki yake. Unauwaje mtu kisa kakusaliti.We si muachane tu uoe mtoto mkale mwembamba uwe una kelega vile utakavyo. Tena asizidi miaka 23 ili awe kifaranga kwako.
Nimekosa sana.. Watanzania nisameheni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mzee WA Nimekosa Mimi
Mmhhh [emoji1787]Du jamaa kama hajajenga ndiyo ameshaepukana na kodi ya nyumba. Ataishi kwenye majengo ya serikali kwa muda mrefu sana.
Wauwaji mara nyingi hukamatwa tena ndani ya muda mfupi tuHakujipanga sawa na Ndugai tu.
DuuhEeeh uzoefu wa kuua au hujui kua kuua nako kuna wazoefu wa hizo kazi??
NingeondokaWewe ungeenda wapi?
Ulivyopoteza kibarua alikuona huna maana. Huyo alikua hakufai, angekusumbua mbele ya safari. Alikua yupo kimaslahi tu.Hivi viumbe ndo maana Mungu ametuambia tuishi navyo kwa akili.
nikiri siku moja nilitaka kuua mtoto wa mtu.
Siku moja aliniambia niende kwa mdogo wake jioni ilipofika usiku nikaenda nikampigia nikamwambia nipo nje.akasema anakuja bwana wee.lisaa lizima mtu hatoki nikampigia simu kwani upo wapi akaniambia ametoka amemsindikiza Dada yao alikuja nikamwambia mbona haujaniambia akasema alijua atarudi mapema.nikamsubiri mpaka saa 4 usiku.
Kiukweli nilishikwa na hasiraaa nilitamani nimbamize kichwa ukutani nimpasue lakini nikawaza naweza nikaua alafu nikaja kuishia JELA.nikajituliza Ila Hawa viumbe wanakera Sana.
Mbaya zaidi hapo nimetoka kupotezwa kibarua changu .kazi Sina mwanamke analeta Mambo ya ajabu.unaweza ukawa chizi.nikaamua kwenda nae anavyotaka yeye anitafute sawa asinitafute sawa.mpaka akachoka tukaachana
Ningeondoka
Ulivyopoteza kibarua alikuona huna maana. Huyo alikua hakufai, angekusumbua mbele ya safari. Alikua yupo kimaslahi tu.
Picha ya marehemu mpka sasa hatujaiona,Unakuta alimuua kwa wivu wa kimapenzi ona sasa anaenda kunyea ndoo na kuacha starehe zote za hili jiji tamu..hatakunywa soda baridi tena
Unakuta alimuua kwa wivu wa kimapenzi ona sasa anaenda kunyea ndoo na kuacha starehe zote za hili jiji tamu..hatakunywa soda baridi tena
Yaani kafanya maamuzi kijinga sana bora angemwacha Irene watu waendelee kumfaidi huku na yeye akizishughulikia pisi kali.Eti hivi kweli uache K Vant kiurahisi kabisa ivo.K Vant+ Ugali Dona na Kitimoto Roast Mchicha, iwekwe na pilipili Kwabali.Ukimaliza unashushia na Serengeti lite 2 za baridi.
Itakua atakua pisi flani si unajua majina ya kina IrenePicha ya marehemu mpka sasa hatujaiona,
Yawezekana alikuwa yaliyomo yamo
Ova
Wana jumajumba Na magariDu jamaa kama hajajenga ndiyo ameshaepukana na kodi ya nyumba. Ataishi kwenye majengo ya serikali kwa muda mrefu sana.
Ni wakawaida ila wivuPicha ya marehemu mpka sasa hatujaiona,
Yawezekana alikuwa yaliyomo yamo
Ova
Jamaa mpuz sanaJamaa zembe sana. Watoto wakali wamejaa kila kona wa moto. Acha kabisa yaani niue kisa unaniletea za kuleta. Ama nakuroga tu au natafuta pini kali naitafuna huku nadondokwa chozi la uroho.