mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
- Thread starter
- #81
Uroda noma aiseeJamaa mpuz sana
Unatoa uhai wa mwenzako kisa kutoelewana
Watu mkizinguana kila mtu atafute ustarabu wake tu
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uroda noma aiseeJamaa mpuz sana
Unatoa uhai wa mwenzako kisa kutoelewana
Watu mkizinguana kila mtu atafute ustarabu wake tu
Ova
Wana JF
Habari za kuaminika kutoka Muleba ni kwamba, mme wa Irene Mzava amepatikana akiwa hoi katika jaribio la kutaka kujua jana kwa rafiki yake ambaye alienda kujificha lakini ikashindikana baada ya watu kutoa taarifa kuwepo kwake eneo hilo.
Aliona wakinyatia, akafunga milango, akatafuta waya wa umeme extension cable, akajininginiza kwenye feni kwa lengo la kujitoa roho, watu wakawa wanangongea afungue yeye akawa anapambana kujiua ndipo wakamuwahi akiwa hoi, wakampeleka katika hospitali ya Kaigara,wakapima vipimo vyote akaonekana yupo sawa, wakamweka pingu, sasa yupo njiani akiletwa dar kujibu tuhuma za mauaji.
R.I.P Ireni hakika damu yako mzito, jamaa kakamatwa kabla ujazikwa.
Pia soma > Mama wa TRA akutwa amefariki Bunju Beach, mume wake naye amepotea
Guest za serikali hazina beer Wala kitimotoDu jamaa kama hajajenga ndiyo ameshaepukana na kodi ya nyumba. Ataishi kwenye majengo ya serikali kwa muda mrefu sana.
Na hujipangii muda wa kulala na kuamka lakini kula na kulala bure.Guest za serikali hazina beer Wala kitimoto
Wana JF
Habari za kuaminika kutoka Muleba ni kwamba, mme wa Irene Mzava amepatikana akiwa hoi katika jaribio la kutaka kujua jana kwa rafiki yake ambaye alienda kujificha lakini ikashindikana baada ya watu kutoa taarifa kuwepo kwake eneo hilo.
Aliona wakinyatia, akafunga milango, akatafuta waya wa umeme extension cable, akajininginiza kwenye feni kwa lengo la kujitoa roho, watu wakawa wanangongea afungue yeye akawa anapambana kujiua ndipo wakamuwahi akiwa hoi, wakampeleka katika hospitali ya Kaigara,wakapima vipimo vyote akaonekana yupo sawa, wakamweka pingu, sasa yupo njiani akiletwa dar kujibu tuhuma za mauaji.
R.I.P Ireni hakika damu yako mzito, jamaa kakamatwa kabla ujazikwa.
Pia soma > Mama wa TRA akutwa amefariki Bunju Beach, mume wake naye amepotea
angejua angeenda zake bar,anakula pombe mpaka saa 7,halafu anaondoka nazingine ndani ya gari yake, anarudi home ,geti linafunguliwa anaingia na gari ,anaamuru geti lifungwe yy anabaki ndani ya gari yake anaendelea kula pombe mpaka awe chakari halafu anapiga usngz ndani ya gari Hadi asbh!, Leo hii asingekuwa na hii kesi ya mauaji!!Ningejua ningejua ningejua mimiii.ona sasa badala ya kula naenda kuliwa
Wana nyumba nyingi hata moshi walijenga na mke wake,
Mshana Jr huyu jamaa Ni mpare mwenzetu au katuchukulia Dada yetu.Hahaha[emoji23] Mwana ana hali ngumu sana
Aletwe na difenda kama wanavyofanywa magaidi wenzake.Wana JF
Habari za kuaminika kutoka Muleba ni kwamba, mme wa Irene Mzava amepatikana akiwa hoi katika jaribio la kutaka kujua jana kwa rafiki yake ambaye alienda kujificha lakini ikashindikana baada ya watu kutoa taarifa kuwepo kwake eneo hilo.
Aliona wakinyatia, akafunga milango, akatafuta waya wa umeme extension cable, akajininginiza kwenye feni kwa lengo la kujitoa roho, watu wakawa wanangongea afungue yeye akawa anapambana kujiua ndipo wakamuwahi akiwa hoi, wakampeleka katika hospitali ya Kaigara,wakapima vipimo vyote akaonekana yupo sawa, wakamweka pingu, sasa yupo njiani akiletwa dar kujibu tuhuma za mauaji.
R.I.P Ireni hakika damu yako mzito, jamaa kakamatwa kabla ujazikwa.
Pia soma > Mama wa TRA akutwa amefariki Bunju Beach, mume wake naye amepotea
mke mwenyewe mbona wakawaida tu ,Tena Hana chura@ eti mrangiNi wakawaida ila wivu View attachment 2069737
Ke yupi ambaye hayupo kimaslahi?Ulivyopoteza kibarua alikuona huna maana. Huyo alikua hakufai, angekusumbua mbele ya safari. Alikua yupo kimaslahi tu.
Angejua angeenda nyumba ndogo, akalishwa maini ya kukaanga, beer tatu, massage ya nguvu, akitoka huko mwepesi Kama unyoya.angejua angeenda zake bar,anakula pombe mpaka saa 7,halafu anaondoka nazingine ndani ya gari yake, anarudi home ,geti linafunguliwa anaingia na gari ,anaamuru geti lifungwe yy anabaki ndani ya gari yake anaendelea kula pombe mpaka awe chakari halafu anapiga usngz ndani ya gari Hadi asbh!, Leo hii asingekuwa na hii kesi ya mauaji!!
Mi mwenyewe nlijua atakua na kiuno nyigu +churamke mwenyewe mbona wakawaida tu ,Tena Hana chura@ eti mrangi
Mwambie huyo Jamaa, andhani hivi viumbe huwa vina formula, kumbe kuishi nako hadi uzeeni ni majaliwa yake Mungu pekeeWanawake wote 99% Kama hauna kazi au kibarua kukuvumilia NI majaaliwa ya Mungu.
Mwanamke Ana badilika vibayaaa
Angejua hasira zake angemalizia kwa wauza nyuchi tu siku ipiteangejua angeenda zake bar,anakula pombe mpaka saa 7,halafu anaondoka nazingine ndani ya gari yake, anarudi home ,geti linafunguliwa anaingia na gari ,anaamuru geti lifungwe yy anabaki ndani ya gari yake anaendelea kula pombe mpaka awe chakari halafu anapiga usngz ndani ya gari Hadi asbh!, Leo hii asingekuwa na hii kesi ya mauaji!!
Sema atokosa bia nyama choma ila atapata bwana mnyapara atakua anapewa ugali mkubwaGuest za serikali hazina beer Wala kitimoto
Kwenye uzi uliotoa taarifa ilikuwepo picha yake labda kama walishaitoa.Picha ya marehemu mpka sasa hatujaiona,
Yawezekana alikuwa yaliyomo yamo
Ova
Ndio basi tena mwisho wa siku watakutana aheraDamu ya Irene haitanyamaza