Aliyeua Mke apatikana Muleba alikokwenda kujificha, akutwa katika harakati za kujiua

Aje apate haki yake. Unauwaje mtu kisa kakusaliti.We si muachane tu uoe mtoto mkale mwembamba uwe una kelega vile utakavyo. Tena asizidi miaka 23 ili awe kifaranga kwako.
 
Aje apate haki yake. Unauwaje mtu kisa kakusaliti.We si muachane tu uoe mtoto mkale mwembamba uwe una kelega vile utakavyo. Tena asizidi miaka 23 ili awe kifaranga kwako.
Jamaa zembe sana. Watoto wakali wamejaa kila kona wa moto. Acha kabisa yaani niue kisa unaniletea za kuleta. Ama nakuroga tu au natafuta pini kali naitafuna huku nadondokwa chozi la uroho.
 
Ulivyopoteza kibarua alikuona huna maana. Huyo alikua hakufai, angekusumbua mbele ya safari. Alikua yupo kimaslahi tu.
 
Eti hivi kweli uache K Vant kiurahisi kabisa ivo.K Vant+ Ugali Dona na Kitimoto Roast Mchicha, iwekwe na pilipili Kwabali.Ukimaliza unashushia na Serengeti lite 2 za baridi.
Unakuta alimuua kwa wivu wa kimapenzi ona sasa anaenda kunyea ndoo na kuacha starehe zote za hili jiji tamu..hatakunywa soda baridi tena
 
Eti hivi kweli uache K Vant kiurahisi kabisa ivo.K Vant+ Ugali Dona na Kitimoto Roast Mchicha, iwekwe na pilipili Kwabali.Ukimaliza unashushia na Serengeti lite 2 za baridi.
Yaani kafanya maamuzi kijinga sana bora angemwacha Irene watu waendelee kumfaidi huku na yeye akizishughulikia pisi kali.
 
Jamaa zembe sana. Watoto wakali wamejaa kila kona wa moto. Acha kabisa yaani niue kisa unaniletea za kuleta. Ama nakuroga tu au natafuta pini kali naitafuna huku nadondokwa chozi la uroho.
Jamaa mpuz sana

Unatoa uhai wa mwenzako kisa kutoelewana

Watu mkizinguana kila mtu atafute ustarabu wake tu

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…