Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Marehemu ni yule mama wa TRA?Hahaha[emoji23] Mwana ana hali ngumu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marehemu ni yule mama wa TRA?Hahaha[emoji23] Mwana ana hali ngumu sana
Du hizi za Moshi mashemeji zitawakumbusha maisha ya dada yao.Wana nyumba nyingi hata moshi walijenga na mke wake,
Kabisa jamaa ataishi maisha ya majuto saa, naamini walipendana hakuna ndoa iliyokamili kila ndoa zinachangamo sema sasa mdau kapiga na kaua hapo hapo nahisi hakukusudiaDu hizi za Moshi mashemeji zitawakumbusha maisha ya dada yao.
Akipata lawyer mzuri atapata kesi ya man slaughter lakini anavyokimbia ndiyo anazidi kujiwekea ugumu wa maisha.Kabisa jamaa ataishi maisha ya majuto saa, naamini walipendana hakuna ndoa iliyokamili kila ndoa zinachangamo sema sasa mdau kapiga na kaua hapo hapo nahisi hakukusudia
Ningejua ningemuacha nikalewe nije kulalaKaregret mpaka kachoka ....NINGEJUA,,,NINGEJUAAA
Ningejua ningemwachia kila kitu chake niendelee kujiuzia kitimoto changu...endelea mkuuNingejua ningemuacha nikalewe nije kulala
Ningejua ningemwachia kila kitu chake niendelee kujiuzia kitimoto changu...endelea mkuu
Ningejua ningejua ningejua mimiii.ona sasa badala ya kula naenda kuliwaNingejua ningemuomba tusamehane nimchukulie kitimoto kizuri tuanze upya maisha na tusherekee kwa ushindi x mass na mwaka mpya pamoja
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] Ningejua ningejizuia kumpiga ona sasa naenda jela Mungu wanguNingejua ningejua ningejua mimiii.ona sasa badala ya kula naenda kuliwa
Shukrani mkuu nimeiona.... mleta mada kaweka link hapo kuhusiana na huu mkasa toka mwanzo.
Ningejua ningemwacha tu aendelee kuliwa nje mbona siku hiz hakuna cha pekeyako[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] Ningejua ningejizuia kumpiga ona sasa naenda jela Mungu wangu
Bado hajajutia vizuri ngoja aende kwenye nondo zileNingejua ningemwacha tu aendelee kuliwa nje mbona siku hiz hakuna cha pekeyako
Imekula kwakeBado hajajutia vizuri ngoja aende kwenye nondo zile