Aliyewaandaa Masanja na Nyerere kwenda kuzungumza Mbele ya viongozi wa Mataifa mbalimbali awajibishwe

Aliyewaandaa Masanja na Nyerere kwenda kuzungumza Mbele ya viongozi wa Mataifa mbalimbali awajibishwe

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Katika hafla kubwa ya Kitaifa kama iliyofanyika Le ambayo camera za mataifa Mbalimbali zinaelekezwa Kwetu tumeshindwaje kuleta watu wenye akili wanaoweza kuitangaza nchi tunaleta watu Wanafoka na kuongea vitu visivyoeleweka.

Mtu huyu anaongea as if yupo kwenye mkutano wa Kijiji. Bora tungewapa Maliasili hizo dakika watuonyeshe rasilimali zetu za kitalii.

Kama tuliona Masanja ana umuhimu tulishindwa kumuuliza anakwenda kusema nini? Aliyempa tenda Masanja anafanya nini Ofisini?
 
Yaani jamaa very bogus tena akawananga wanajeshi wa tz eti wapowapo tu hawana kazi kwa hiyo rais amuombe kagame awachukue akawape kazi wanajeshi wa tanzania.

Halafu akamleta jamaa yake akamuiga nyerere akaboronga hadi akaambiwa inatosha.

Eti majaliwa kijana wa nyerere wapi na wapi huyu samia mwenyewe hata nyerere alikuwa hamtambui.

Nyie akina shaka achaneni na Huyo masanja anaropokaropoka tu upumbavu
 
Sema Masanja nae chenga asee yani kujiongeza hajui,anajua kwamba Kenya walipatwa na nzige juzi kati hapa na rais wao alikuepo bado analeta pigo kama zina kejeli flani hivi(sio tafsiri rasmi), anaposema sisi Mungu anatupenda huwezi ona vitu kama nzige(ndio ni ukweli lakini binafsi nimeona kazingua)
 
Sema Masanja nae chenga asee yani kujiongeza hajui,anajua kwamba Kenya walipatwa na nzige juzi kati hapa na rais wao alikuepo bado analeta pigo kama zina kejeli flani hivi(sio tafsiri rasmi), anaposema sisi Mungu anatupenda huwezi ona vitu kama nzige(ndio ni ukweli lakini binafsi nimeona kazingua)
Na wewe nadhani hauko mbali sana na mawazo yake finyu
 
Katika hafla kubwa ya Kitaifa kama iliyofanyika Le ambayo camera za mataifa Mbalimbali zinaelekezwa Kwetu tumeshindwaje kuleta watu wenye akili wanaoweza kuitangaza nchi tunaleta watu Wanafoka na kuongea vitu visivyoeleweka. Mtu huyu anaongea as if yupo kwenye mkutano wa Kijiji. Bora tungewapa Maliasili hizo dakokika watuonyeshe rasilimali zetu za kitalii.

Kama tuliona masanja ana umuhimu tulishindwa kumuuliza anakwenda kusema nn? Aliyempa tenda masanJa anafanya nn Ofisini?
Elimu.... Elimu.... Elimu.....
Ifike mahala elimu iwe kigezo hata kwa tasnia ya sanaa na maigizo linapokuja suala la kitaifa!!
 
Back
Top Bottom