Sikia wewe utakaye waka mata hao wahuni!! watakukomesha hivi; wanakupa vya kwako peke yako km adhabu na unavipeleke kwa familia yako kabisaa unaona hivi watoto wako na mkeo wanataabika!!! halafu unarudi kuwaomba dawa na msamaha tena juu!!
je nani atadhubutu kufanya hivyo? au unadhani mamlaka za huko kwao hazijui? hao hao ndo wamewapa kuongoza hizo mamlaka tena lao ni moja kabisaaa!! sasa jifanyishe uwageuke uone muziki wake!!!
Hizo ndo sirikali za kibabe na akili mingi halafu wao na familia zao wanapeta tu kirorho safiiiii! , hawaugui!!! hawachanjwi, hawaguswi hata unywele!! msio na akili, Mambululaa! ndo km hivi! mtachezewa weeeee! mpaka mtie akili!!
Suala ni kupiga magoti tu muwaombe! na mjipendekeze sana jamani chonde!! chonde!! punguzeni.hapa..
hata uwe na vinu vya nuclear vipi!! tena za kutosha mbele ya virus vya kimya kimya!! utakufa vibaya heee!! na hizo Nuclea weapons zako za kibabe zitabaki nzimaaa. zitabakia mazalia ya panya tu! covid havionekani vile!
Sasa vinakuja special ajili ya watu weusi tu!! make vya sasa mko wabishi kidogo na kashfa nyingi!! kirusi kinachokuja kinaua mpaka na sisimizi, majani achilia mbali mifugo. halafu watawaaacha kiwapige bure bila dawa km miaka miwili hivi mfe vizuri,
sasa hapo mleta mada hamjatia akili tu? na gwajima weenu muongo huyo!, hajui hata simple mechanism ya Maabara? na usisahau jiwe wenu huyo!!
kwanza mtakufa na mambo mawili
moja; na virus then
cha pili njaa!!! sababu hamtazalisha! mtakufa mnajiona hivi! wenzenu wana mahela! sijui mtamlilia yesu wenu wa vatican yule! nae atawageuka tu! hatawasikiliza kwa sababu ni mzungu mwenzao yule!
kudadaaadeki na Rais wenu anawaponza! anabwabwaja sana, Mabeberu hawajafurahia hizo kauli mbuzi zake!! kwa mtizamo wa Jiwe na waafrica wenzake! eti wao weupe wafe na nyie nyani mnapeta??! subirini tu mtaipata fresh!
Mwezi wa saba siyo mbali!! si hamtaki kufanyiwa majaribio? wanakuja wana hasira na nyie hao! heee! makaburi myachimbe kabisaaa makaburi yenu!! Jiwe anawaponza wanatamani waanze nae! tena watamletea kile chenyewe hasa!
Hivi tunavo bwabwaja hapa wanatuona vizuri sana labda waogope kelele zetu!! ndo itakuwa pona pona yake! wao km kawaida wanaanziaga mbaaali, km kina shana, Rose mary nyerere walivo vuta, lkn lengo ni jiwe!